Rais Samia apokea Ndege mpya ya Mizigo Boeing B767-300F Uwanja cha Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Juni 3, 2023

Nje ya mada kidogo, naomba mwenye CV ya rubani Neema Swai yaani kabla ya kuendesha ndege hii ya juzi alikuwa anaendesha ndege wapi?
 
Sema sisu bado tunamentality ya kimaskini.Yaani nchi kama Tz kununua ndege ya mizigo ndo taifa zima linahamia uwanjani kweli..hapo tumenunua tu..siku tukitengeneza ya kwetu...
Yaani na utajiri wote huu still kununua ndege inaonekana kama jambo la ajabu na la kitaifa...
Mh Rais hizi mambo asiwe anaenda, awe anapokea hata waziri tu..au tunapiga kimya kimya.
 
Back
Top Bottom