Kweli Rais Samia Suluhu ameamua kusimamia haki kwa vitendo watanzania wote tunajivunia wewe mamaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelionya jeshi la Polisi nchini kutotumia wadhamini kufanya vikao kazi na badala yake Jeshi hilo lijitegemee na vikao vyake vifanyika kwa gharama za Jeshi.
Amesema kuwatumia wadhamini katika kuwezesha kuendesha vikao hivyo, kutawafanya washindwe kuwaadhibu pale wanapofanya makosa.
Rais Samia ametoa maelekezo hayo leo Jumanne Agost 30, 2022, wakati akifungua kikao cha maofisa wa polisi makao makuu, makamanda wa mikoa na vikosi, kinachofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania, mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Amesema kikao kinachofanyika leo kimedhaminiwa na taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za serikali ambazo nazo zina binadamu na wanaweza kufanya makosa na wakashindwa kuwashughulikia.
"Leo tumekuja tuna wadhamini kama watano sita wametudhamini, lakini kama jeshi la polisi kikao kama hiki tunatakiwa tukifanye wenyewe, tujipange wenyewe,β amesema Rais Samia na kuongeza; "Waliodhamini leo ni taasisi mbalimbali za serikali na ambazo si za kiserikali, zina wanadamu wanaweza wakafanya makosa mkashindwa kuwashughulikia, kwa sababu wamewadhamini, mkutano kama huu mfanye kwa uwezo wenu wa Jeshi la Polisi, mjipekue mifukoni mfanye kikao."View attachment 2339954
Ni sawa kabisa kwa utekelezaji wa kazi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelionya jeshi la Polisi nchini kutotumia wadhamini kufanya vikao kazi na badala yake Jeshi hilo lijitegemee na vikao vyake vifanyika kwa gharama za Jeshi.
Amesema kuwatumia wadhamini katika kuwezesha kuendesha vikao hivyo, kutawafanya washindwe kuwaadhibu pale wanapofanya makosa.
Rais Samia ametoa maelekezo hayo leo Jumanne Agost 30, 2022, wakati akifungua kikao cha maofisa wa polisi makao makuu, makamanda wa mikoa na vikosi, kinachofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania, mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Amesema kikao kinachofanyika leo kimedhaminiwa na taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za serikali ambazo nazo zina binadamu na wanaweza kufanya makosa na wakashindwa kuwashughulikia.
"Leo tumekuja tuna wadhamini kama watano sita wametudhamini, lakini kama jeshi la polisi kikao kama hiki tunatakiwa tukifanye wenyewe, tujipange wenyewe,β amesema Rais Samia na kuongeza; "Waliodhamini leo ni taasisi mbalimbali za serikali na ambazo si za kiserikali, zina wanadamu wanaweza wakafanya makosa mkashindwa kuwashughulikia, kwa sababu wamewadhamini, mkutano kama huu mfanye kwa uwezo wenu wa Jeshi la Polisi, mjipekue mifukoni mfanye kikao."View attachment 2339954
Hakika mama anafanya vizuri sana na anatenda kwa jitihada zote na Mungu ambariki. Anasimamia haki kwa vitendoKweli Rais Samia Suluhu ameamua kusimamia haki kwa vitendo watanzania wote tunajivunia wewe mama
Ni kweli kabisa, huwezi kukata tawi ulilokalia hata siku moja au kunyea kambi πππRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelionya jeshi la Polisi nchini kutotumia wadhamini kufanya vikao kazi na badala yake Jeshi hilo lijitegemee na vikao vyake vifanyika kwa gharama za Jeshi.
Amesema kuwatumia wadhamini katika kuwezesha kuendesha vikao hivyo, kutawafanya washindwe kuwaadhibu pale wanapofanya makosa.
Rais Samia ametoa maelekezo hayo leo Jumanne Agost 30, 2022, wakati akifungua kikao cha maofisa wa polisi makao makuu, makamanda wa mikoa na vikosi, kinachofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania, mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Amesema kikao kinachofanyika leo kimedhaminiwa na taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za serikali ambazo nazo zina binadamu na wanaweza kufanya makosa na wakashindwa kuwashughulikia.
"Leo tumekuja tuna wadhamini kama watano sita wametudhamini, lakini kama jeshi la polisi kikao kama hiki tunatakiwa tukifanye wenyewe, tujipange wenyewe,β amesema Rais Samia na kuongeza; "Waliodhamini leo ni taasisi mbalimbali za serikali na ambazo si za kiserikali, zina wanadamu wanaweza wakafanya makosa mkashindwa kuwashughulikia, kwa sababu wamewadhamini, mkutano kama huu mfanye kwa uwezo wenu wa Jeshi la Polisi, mjipekue mifukoni mfanye kikao."View attachment 2339954
Si wanadhaminiwa na matajiri wa ccm?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelionya jeshi la Polisi nchini kutotumia wadhamini kufanya vikao kazi na badala yake Jeshi hilo lijitegemee na vikao vyake vifanyika kwa gharama za Jeshi.
Amesema kuwatumia wadhamini katika kuwezesha kuendesha vikao hivyo, kutawafanya washindwe kuwaadhibu pale wanapofanya makosa.
Rais Samia ametoa maelekezo hayo leo Jumanne Agost 30, 2022, wakati akifungua kikao cha maofisa wa polisi makao makuu, makamanda wa mikoa na vikosi, kinachofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania, mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Amesema kikao kinachofanyika leo kimedhaminiwa na taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za serikali ambazo nazo zina binadamu na wanaweza kufanya makosa na wakashindwa kuwashughulikia.
"Leo tumekuja tuna wadhamini kama watano sita wametudhamini, lakini kama jeshi la polisi kikao kama hiki tunatakiwa tukifanye wenyewe, tujipange wenyewe,β amesema Rais Samia na kuongeza; "Waliodhamini leo ni taasisi mbalimbali za serikali na ambazo si za kiserikali, zina wanadamu wanaweza wakafanya makosa mkashindwa kuwashughulikia, kwa sababu wamewadhamini, mkutano kama huu mfanye kwa uwezo wenu wa Jeshi la Polisi, mjipekue mifukoni mfanye kikao."View attachment 2339954
π€£π€£π€£Kwa kweli kikao cha polisi kudhaminiwa na UVCCM, hapana.. haikubaliki
Mifumo ya kisheria na kisera pia aifanyie kaziHakika mama anafanya vizuri sana na anatenda kwa jitihada zote na Mungu ambariki. Anasimamia haki kwa vitendo
π€£π€£π€£Watajuana wenyewe bhana.
Amuambie na Mwigulu aache kutuibia banki kwa kisingizio cha tozoMapolisi msikilizeni mama Sasa.
Mama la mama anamwaga cheche ππNi kweli kabisa, huwezi kukata tawi ulilokalia hata siku moja au kunyea kambi πππ
Hii ni sawa na kumkandia Mwajuma mbele ya wana halafu wakiwa hawapo unampigia simu Mwajuma mkabanjuke.Mama la mama anamwaga cheche ππ
Mwigulu ana suit ya kurinia asali atamfukuzejeπππAmuambie na Mwigulu aache kutuibia banki kwa kisingizio cha tozo
Ndio nchi yetu tunavyo ishi hakuna namna. Hata wanao lia tuzo, itokee uso kwa uso na mama la mama alafu amuulize anazungumzia vipi kuhusu tuzo, lazima aipambe. So acha kila mtu aishi pale kamba yake inapofikiaHii ni sawa na kumkandia Mwajuma mbele ya wana halafu wakiwa hawapo unampigia simu Mwajuma mkabanjuke.
Safi sana,ameongea vizuri.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelionya jeshi la Polisi nchini kutotumia wadhamini kufanya vikao kazi na badala yake Jeshi hilo lijitegemee na vikao vyake vifanyika kwa gharama za Jeshi.
Amesema kuwatumia wadhamini katika kuwezesha kuendesha vikao hivyo, kutawafanya washindwe kuwaadhibu pale wanapofanya makosa.
Rais Samia ametoa maelekezo hayo leo Jumanne Agost 30, 2022, wakati akifungua kikao cha maofisa wa polisi makao makuu, makamanda wa mikoa na vikosi, kinachofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania, mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Amesema kikao kinachofanyika leo kimedhaminiwa na taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za serikali ambazo nazo zina binadamu na wanaweza kufanya makosa na wakashindwa kuwashughulikia.
"Leo tumekuja tuna wadhamini kama watano sita wametudhamini, lakini kama jeshi la polisi kikao kama hiki tunatakiwa tukifanye wenyewe, tujipange wenyewe,β amesema Rais Samia na kuongeza; "Waliodhamini leo ni taasisi mbalimbali za serikali na ambazo si za kiserikali, zina wanadamu wanaweza wakafanya makosa mkashindwa kuwashughulikia, kwa sababu wamewadhamini, mkutano kama huu mfanye kwa uwezo wenu wa Jeshi la Polisi, mjipekue mifukoni mfanye kikao."View attachment 2339954
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni sawa na kumkandia Mwajuma mbele ya wana halafu wakiwa hawapo unampigia simu Mwajuma mkabanjuke.