Rais Samia aombwa kusaidia mwili wa mtanzania uliotekelekezwa nchini India ukidaiwa 100M.

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,666
Familia ya Angelo Ngiyiye inamuomba Rais Samia Suluhu Hasani kusaidia kurejeshwa nchini kwa mwili mtanzania Angelo Nzigiye uliotelekezwa nchini India ukidaiwa 100M ili uanchiwe ili uletwe nchini na kuzikwa wilayani biharamulo mkoani Kagera na ndugu na wapendwa wake ?

Mzee Nzigiye alikuwa anasumbuliwa na salatani na kupelekwa India kupata matibabu ambapo kifo kilimkuta huko na familia kushindwa gharama za matibabu ambapo awali walidaiwa 165M na familia ikaweza kulipa 65 na kubakiza Deni la 100M .

CC
waziri Ummy Mwalimu
Waziri Dorothy Gwajima

USSR

FB_IMG_1708179415970.jpg
 
Upo uzeeni, unaumwa saratani, unaenda kutibiwa India, wakati hamna hela, na hapo usikute walishaambiwa ocean road kuwa huyu mtu tunahesabia siku wao wakajua ni utani

Sometimes ndugu mna ujuaji wa ajabu sana, anyway, m naona ni matumizi mabaya ya 100M, mana wakati anapelekwa hatukushirikishwa
 
Mpaka wanafikia maamuzi ya kumpleka India hawakupiga hesabu za kuzidi gharama?!

Haya mambo ya kila kitu kuachiwa Rais sio sawa kabisa, familia lazima wabebe jukumu lao la kumrudisha nyumbani kama walivyompeleka India.
 
Upo uzeeni, unaumwa saratani, unaenda kutibiwa India, wakati hamna hela, na hapo usikute walishaambiwa ocean road kuwa huyu mtu tunahesabia siku wao wakajua ni utani

Sometimes ndugu mna ujuaji wa ajabu sana, anyway, m naona ni matumizi mabaya ya 100M, mana wakati anapelekwa hatukushirikishwa
Mhaya huyo, kasikilize historia ya Marehem sasa siku wakibahatika kuleta huo mwili
 
Ata iyo 65ml walio toa for a dead body ni utapeli tu .. afu ndo itolewe 100ml ..awako seriouse hawa
 
Poleni sana familia.

Mgonjwa anapokua katika hali mbaya hasa kama ni tegemezi kwa familia bila kujalisha umri wake, wanafamilia hupambana ili arudi katika hali yake, huenda si mara ya kwanza huko.
 
Back
Top Bottom