Kitendo kilicho fanywa na Mhe. Rais Samia cha kukutana na Kiongozi wa chama cha Upinzani Mh.Mbowe mara baada ya kuachiwa huru ni mwanzo mzuri wa kuimarisha demokrasia ya vyama vya upinzaani nchini.
Ni dhahiri shahiri kuwa Mama ana nia ya dhati ya kutaka kushirikiana na vyama vyote vya upinzani hususan chama kikuu cha upinzaani chadema.
ni dhahiri shahiri kuwa Rais anania ya dhati ya kuzika chuki za nyuma za kisiasa na kufungua ukurasa mpya wa kuijenga nchi yetu kwa pamoja.
Tunafahamu kuwa democracy is not only about election but also how you treat opposition parties.Rais Samia ameamua kushirikiana kwa ukaribu na vyama vya upinzani.
hofu na mashaka ni kwa viongozi wa Chadema;
Viongozi wa chadema hawaaminiki...wengi wao ni wanafiki wa viwango vya juu.
1.Viongozi wa chadema sio wazalendo.
2.Ving'ang'anizi kwa kile wanacho taka wao tu.
3. hawana uvumilivu wala busra, hawakawii kuto lugha za matusi na kejeli.
n.k n.k n.k
Viongozi wa chadema badilikeni ili nchi yetu isonge mbele,
sisi wananchi tunataka maendeleo sio malumbano ya ovyo.
Mhe. Rais Samia kafungua mlango, sasa kazi kwa Mh. Mbowe na yeye kuonyesha njia ya mshikamano kwa watanzania wote.
Njia pekee ya kujenga msingi wa kuaminiana ni kuli zetu zinazo ambatana na matendo sahihi.
Ni dhahiri shahiri kuwa Mama ana nia ya dhati ya kutaka kushirikiana na vyama vyote vya upinzani hususan chama kikuu cha upinzaani chadema.
ni dhahiri shahiri kuwa Rais anania ya dhati ya kuzika chuki za nyuma za kisiasa na kufungua ukurasa mpya wa kuijenga nchi yetu kwa pamoja.
Tunafahamu kuwa democracy is not only about election but also how you treat opposition parties.Rais Samia ameamua kushirikiana kwa ukaribu na vyama vya upinzani.
hofu na mashaka ni kwa viongozi wa Chadema;
Viongozi wa chadema hawaaminiki...wengi wao ni wanafiki wa viwango vya juu.
1.Viongozi wa chadema sio wazalendo.
2.Ving'ang'anizi kwa kile wanacho taka wao tu.
3. hawana uvumilivu wala busra, hawakawii kuto lugha za matusi na kejeli.
n.k n.k n.k
Viongozi wa chadema badilikeni ili nchi yetu isonge mbele,
sisi wananchi tunataka maendeleo sio malumbano ya ovyo.
Mhe. Rais Samia kafungua mlango, sasa kazi kwa Mh. Mbowe na yeye kuonyesha njia ya mshikamano kwa watanzania wote.
Njia pekee ya kujenga msingi wa kuaminiana ni kuli zetu zinazo ambatana na matendo sahihi.