Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,430
- 4,222
Tumepigwa kama TaifaMbona yupo huko tayari
Tumepigwa kama TaifaMbona yupo huko tayari
Wacha ujinga we kuwa na heshima kwa mwanamke ndiye aliyekuwa na kukulea mpaka ukafika hapo na dharau zako kwa mwanamke mwanamke ndiye mtunza familia wakati baba ako akitoka kwenda baa kunywa na kushulika na machangu doa. Sote tunaona nchi ilivyobadilika toka mama samia achukuwe uongozi hakuna manyanyaso hakuna amri za wakuu wa mikoa na wilaya kutia watu ndani hovyo hatuoni udhalilishaji wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kulazimishwa kuhudhuria kila kwenye ghafla za kuapishwa watendaji ikulu, utekwaji wa watu umeondoka kabisa kwa kweli amani imeanza kurudi.Nchi yetu bado tunaishi kwa kuhemea.kuwa na rais mwanamke ni hatari.anaweza akaenda kuhemea akaolewa hukohuko.aio maneno yangu ni ya mwalimu Nyerere mwaka 1995 pale Dodoma
Rais unapokelewa na waziri ni tusiWakuu Kazi iendeleee na Mama anaupiga Mwingi
Taarifa zilizopo ni kwamba inadaiwa Rais Samia ana ziara ya kikazi Kwa Joe Biden.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapomaliza Kurecord Kipindi Cha Royal Tour, Na Kesho Atakuwa Yuko Mwanza.
Akifika Marekani atapokekewa na Mwenyeji Wake Waziri wa Fulani Ambae Hajatajwa Mpaka Sasa.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi.
Weki Iendelee Wakuu
Marekani rais huwa hapokewi na rais mwenzie,huo ndio utanaduni waoNanukuu
Akifika Marekani atapokekewa na Mwenyeji Wake Waziri Wa Fulani Ambae Hajatajwa Mpaka Sasa.
Kama hamjaona faida za ziara za samia basi huo ni upofu mkubwaNchi yetu bado tunaishi kwa kuhemea.kuwa na rais mwanamke ni hatari.anaweza akaenda kuhemea akaolewa hukohuko.aio maneno yangu ni ya mwalimu Nyerere mwaka 1995 pale Dodoma
Asante kwa taarifa ya ukweliWakuu Kazi iendeleee na Mama anaupiga Mwingi
Taarifa zilizopo ni kwamba inadaiwa Rais Samia ana ziara ya kikazi Kwa Joe Biden.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapomaliza Kurecord Kipindi Cha Royal Tour, Na Kesho Atakuwa Yuko Mwanza.
Akifika Marekani atapokekewa na Mwenyeji Wake Waziri wa Fulani Ambae Hajatajwa Mpaka Sasa.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi.
Weki Iendelee Wakuu
Ni mkuu wa nchi anaenda kukutana na wakuu wenzake wa nchi. Hakuna tatizoSamia Huyoooooo Marekani Kwa Kigezo Cha Kuhudhuria Mkutano Wa UN
Hana Cha Kuongea naoNi mkuu wa nchi anaenda kukutana na wakuu wenzake wa nchi. Hakuna tatizo
Eya BasiHivi mama anakwenda na ndege ipi huko unyamwezini.. ni ile airbus au dreamuliner..
Acha uzushi.Wakuu Kazi iendeleee na Mama anaupiga Mwingi
Taarifa zilizopo ni kwamba inadaiwa Rais Samia ana ziara ya kikazi Kwa Joe Biden.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapomaliza Kurecord Kipindi Cha Royal Tour, Na Kesho Atakuwa Yuko Mwanza.
Akifika Marekani atapokekewa na Mwenyeji Wake Waziri wa Fulani Ambae Hajatajwa Mpaka Sasa.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi.
Weki Iendelee Wakuu