Rais Samia anatarajia kuanza ziara ya kikazi nchini Marekani

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Wakuu Kazi iendeleee na Mama anaupiga Mwingi

Taarifa zilizopo ni kwamba inadaiwa Rais Samia ana ziara ya kikazi Kwa Joe Biden.

Ataanza ziara hiyo wakati atakapomaliza Kurecord Kipindi Cha Royal Tour, Na Kesho Atakuwa Yuko Mwanza.

Akifika Marekani atapokekewa na Mwenyeji Wake Waziri wa Fulani Ambae Hajatajwa Mpaka Sasa.

Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi.

Weki Iendelee Wakuu
 
Back
Top Bottom