Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Kweli aseeAzurure tu hadi uchaguzi ifike
Kweli aseeAzurure tu hadi uchaguzi ifike
Upo sahihihamna kitu humu. nchi inaenda kuwa zaidi ya shamba la bibi.
Kwa mtazamo wangu.. kuna matatizo huwa ni magumu kusolve mpaka pale unapopata exposure ukiachilia kuleta mahusiano mazuri ya kimataifa Kwa nchi..Wakuu Kazi iendeleee na Mama anaupiga Mwingi
Taarifa zilizopo ni kwamba inadaiwa Rais Samia ana ziara ya kikazi Kwa Joe Biden.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapomaliza Kurecord Kipindi Cha Royal Tour, Na Kesho Atakuwa Yuko Mwanza.
Akifika Marekani atapokekewa na Mwenyeji Wake Waziri wa Fulani Ambae Hajatajwa Mpaka Sasa.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi.
Weki Iendelee Wakuu
Unaonaje ukamfuata huyo mwendazake huko aliko.Utajiri wa kutosha tunao humuhumu ikiwemo kuboresha miundo mbinu ya umwagiliaji, umeme, maji, barabara n.k
Hakuna hela nje za ncho huko za kubadilisha maisha ya Mtanzania. Ni basi tu Mungu kamchukua JPM mapema, ila ukwel yule alikuwa kwenye njia sahihi za kufikisha nchi sehemu nzuri sanaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimesema ziara ni mbaya?Jibu swali acha kumungung'unya maneno,ubaya wa ziara ni upi?
Marekani ana shida gani na "Shithole Country" kama hii, 70% wanaishi chini ya dola moja.Asije kua vasco da gama wa kike. 😂🤣Magufulist na kwa desturi msimamo wa tz hatuiamini marekani na sera zake za kibeberu. Mama awe makini awapo na wamarekani kwani saa zote lengo lao kumpata kibaraka wa kutumikia maslahi yao.
Sawa nitajie ziara ya kiserikali ya rais kutoka africa kwenda nchini marekani ukiondoa Misri, south africa na NigeriaKutibiwa na ziara ya kiserikali? Acha upumbavu,anaweza kualikwa au kwenda kushiliki tukio la kibiashara nk .
Kwani Marais wengine huwa wanafanya ziara gani? Alikofanya hivi punde kwenye nchi za jirani hazikuwa ziara za kawaida?
Nchi yetu bado tunaishi kwa kuhemea.kuwa na rais mwanamke ni hatari.anaweza akaenda kuhemea akaolewa hukohuko.aio maneno yangu ni ya mwalimu Nyerere mwaka 1995 pale Dodoma
Sasa kama akienda Marekani sisi tufanyeje?Wakuu Kazi iendeleee na Mama anaupiga Mwingi
Taarifa zilizopo ni kwamba inadaiwa Rais Samia ana ziara ya kikazi Kwa Joe Biden.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapomaliza Kurecord Kipindi Cha Royal Tour, Na Kesho Atakuwa Yuko Mwanza.
Akifika Marekani atapokekewa na Mwenyeji Wake Waziri wa Fulani Ambae Hajatajwa Mpaka Sasa.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi.
Weki Iendelee Wakuu
Nenda NaeSasa kama akienda Marekani sisi tufanyeje?
Amekuwa MISUN CHAKAROBOT 😂😂Kushoot kamaliza?!
We mzeeNchi yetu bado tunaishi kwa kuhemea.kuwa na rais mwanamke ni hatari.anaweza akaenda kuhemea akaolewa hukohuko.aio maneno yangu ni ya mwalimu Nyerere mwaka 1995 pale Dodoma
kazi iendeleeeWakuu Kazi iendeleee na Mama anaupiga Mwingi
Taarifa zilizopo ni kwamba inadaiwa Rais Samia ana ziara ya kikazi Kwa Joe Biden.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapomaliza Kurecord Kipindi Cha Royal Tour, Na Kesho Atakuwa Yuko Mwanza.
Akifika Marekani atapokekewa na Mwenyeji Wake Waziri wa Fulani Ambae Hajatajwa Mpaka Sasa.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi.
Weki Iendelee Wakuu
Mungu wabariki wazunguWakuu Kazi iendeleee na Mama anaupiga Mwingi
Taarifa zilizopo ni kwamba inadaiwa Rais Samia ana ziara ya kikazi Kwa Joe Biden.
Ataanza ziara hiyo wakati atakapomaliza Kurecord Kipindi Cha Royal Tour, Na Kesho Atakuwa Yuko Mwanza.
Akifika Marekani atapokekewa na Mwenyeji Wake Waziri wa Fulani Ambae Hajatajwa Mpaka Sasa.
Hakika Ziara zimeanza na Zimetaradadi.
Weki Iendelee Wakuu
Spot on, Khamala Harris ndiye atakaye kwenda kumpokea madam President uwanja wa ndege, jamaa hawa wana mbinu nyingi sana za kuwachota akili binadamu wenzao msipokuwa makini.