technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Yaani CHADEMA hawana mbunge hata mmoja lakini Samia na magenge yake wanaogopa chadema kama vile kinalingana wabunge na ccm.
Yaani mnadhani Chadema ni Mbowe?
Yaani mpaka Leo bado hamjui Chadema ni nini na mtumie njia gani kupambana nayo?
Mnakuwa waoga waoga tu hata kulala hamlali macho yanawavimba? Kazi kukaa mkifikiria chama ambacho hakina mbunge hata mmoja.
Na wabunge 99% lakini hamjiamini tu?
Ushauri
Chadema wanataka haya
Katiba mpya ya wananchi
Utawala wa sheria
Uwazi wa mikataba
Uhuru wa vyombo vya habari
Uchumi shirikishi
Kodi iliyona ya haki
Diplomasia ya kimataifa.
Mkitaka kukiua chadema fanyeni hayo ila mkitaka kufa nyie mmoja baada ya mwingine shupazeni shingo tu.
Yaani mnadhani Chadema ni Mbowe?
Yaani mpaka Leo bado hamjui Chadema ni nini na mtumie njia gani kupambana nayo?
Mnakuwa waoga waoga tu hata kulala hamlali macho yanawavimba? Kazi kukaa mkifikiria chama ambacho hakina mbunge hata mmoja.
Na wabunge 99% lakini hamjiamini tu?
Ushauri
Chadema wanataka haya
Katiba mpya ya wananchi
Utawala wa sheria
Uwazi wa mikataba
Uhuru wa vyombo vya habari
Uchumi shirikishi
Kodi iliyona ya haki
Diplomasia ya kimataifa.
Mkitaka kukiua chadema fanyeni hayo ila mkitaka kufa nyie mmoja baada ya mwingine shupazeni shingo tu.