Kasome Katiba ya nchi wewe wacha kukurupuka! Mama anaruhusiwa kumalizia miaka hii ya JPM na kugombea kipindi kimoja tu full stop! Kwa hiyo anaruhusiwa kugombea 2025 na kuishia 2030!Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Rais ni cheo cha mwisho, mama hana mkubwa zaidi yakeUnatakiwa kusoma katiba upya. Lakini pia akitaka kumaliza miaka kidogo mbele anatakiwa kuwatii wakubwa zake mwanzo mwisho siku akienda tofauti utarudi hapa na uzi fofauti.
Exactly, hii awamu sio yake,anamalizia kikatiba tu, kuanzia 2025-2035 ndio awamu zake mbili zitaanzia hapo,Mama Anamalizia miaka minne ya awamu ambayo kairithi kikatiba, bado awamu yake, awamu hii ya sasa yupo kwa niaba ya marehemu.
Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5. Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Kina Maria Nyerer bado wanadunda, Mke wa Mkapa yupi, Janeth nae bado anadunda......Nae mama atafika mbali tu, hivyo swala la kuishi sio la kuhofia sana maana ni wazi wanawake wengi wanaishi kuzidi wanaume.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania
Mama Anamalizia miaka minne ya awamu ambayo kairithi kikatiba, bado awamu yake, awamu hii ya sasa yupo kwa niaba ya marehemu.
Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5. Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Kina Maria Nyerer bado wanadunda, Mke wa Mkapa yupi, Janeth nae bado anadunda......Nae mama atafika mbali tu, hivyo swala la kuishi sio la kuhofia sana maana ni wazi wanawake wengi wanaishi kuzidi wanaume.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania
Mkuu sky soldier, jf ni ukumbi wa kuelimishana, japo ni kweli Samia ni rais wa JMT by default kutokana na kifo cha JPM, kwa kurithi kikatiba ila ule urithi ilidumu muda mfupi tuu wakati akiwa rais mteule, baada ya kuapishwa, sasa rais Samia ni rais kamili wa JMT na sio kwa niaba ya JPM, yeye ndio rais wa JMT kama yeye na sio kwa niaba ya mtu yoyote.Mama Anamalizia miaka minne ya awamu ambayo kairithi kikatiba, bado awamu yake, awamu hii ya sasa yupo kwa niaba ya marehemu.
Ni kweli rais Samia anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha awamu ya 5, ila kwa Tanzania, awamu ni kipindi cha kushika urais, kwa rais aliyepo, baada ya JPM kufa, huo ndio mwisho wa awamu ya 5. Sasa Samia ndiye ameanza kipindi cha kwanza cha awamu ya 6 kitakacho kuwa na miaka 4.Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5.
Hapana, kwa mujibu wa Katiba, hiki ni kipindi cha kwanza cha awamu ya 6, kitakachokuwa na miaka 4. Kipindi cha pili, kitaanza 2025 hadi 2030, hivyo rais Samia atahudumu kwa kipindi cha miaka 9.Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Hii tumekubaliana na nyinyi sukuma Gang kuwa ni awamu ya Tano, 2025 SAMIA ndio anaanza awamu yake hadi 2035Hii ni awamu ya tano au ya sita?
Una umri gani?Rais ni cheo cha mwisho, mama hana mkubwa zaidi yake
Sijui mkuuHii ni awamu ya tano au ya sita?
Mama Anamalizia miaka minne ya awamu ambayo kairithi kikatiba, bado awamu yake, awamu hii ya sasa yupo kwa niaba ya marehemu.
Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5. Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Kina Maria Nyerer bado wanadunda, Mke wa Mkapa yupi, Janeth nae bado anadunda......Nae mama atafika mbali tu, hivyo swala la kuishi sio la kuhofia sana maana ni wazi wanawake wengi wanaishi kuzidi wanaume.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania
Mama Anamalizia miaka minne ya awamu ambayo kairithi kikatiba, bado awamu yake, awamu hii ya sasa yupo kwa niaba ya marehemu.
Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5. Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Kina Maria Nyerer bado wanadunda, Mke wa Mkapa yupi, Janeth nae bado anadunda......Nae mama atafika mbali tu, hivyo swala la kuishi sio la kuhofia sana maana ni wazi wanawake wengi wanaishi kuzidi wanaume.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania
NYIE MSILETE MAMBO YA NKULUNZIZA HAPA TANGANYIKA....mnajiooona....au mwafikiri ccm tanganyika hakuna wenye akiliMama Anamalizia miaka minne ya awamu ambayo kairithi kikatiba, bado awamu yake, awamu hii ya sasa yupo kwa niaba ya marehemu.
Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5. Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Kina Maria Nyerer bado wanadunda, Mke wa Mkapa yupi, Janeth nae bado anadunda......Nae mama atafika mbali tu, hivyo swala la kuishi sio la kuhofia sana maana ni wazi wanawake wengi wanaishi kuzidi wanaume.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania
)Mama Anamalizia miaka minne ya awamu ambayo kairithi kikatiba, bado awamu yake, awamu hii ya sasa yupo kwa niaba ya marehemu.
Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5. Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Kina Maria Nyerer bado wanadunda, Mke wa Mkapa yupi, Janeth nae bado anadunda......Nae mama atafika mbali tu, hivyo swala la kuishi sio la kuhofia sana maana ni wazi wanawake wengi wanaishi kuzidi wanaume.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania
Mimi sio mwanasheria lakini katiba imetamka waziwazi ni muda gani rais aliyerithi atahesabiwa katawala kwa kipindi kizima au la!! Nadhani ni kuanzia miaka mitatu na kuendelea. Tutafute msaada wa wanasheriliaKatiba haina kitu kinaitwa "awamu", ni kwa mazoweza tu kuwa awamu ni serikali inayochaguliwa baada ya uchaguzi chini ya manifesto fulani; awamu inaendana na philosophy iliyoahidiwa kwa wananchi wakati wa uchaguzi.
Kiukweli mama alishauliwa vibaya sana kuwa aanze serikali yake mpya jambo ambalo siyo kikatiba; in fact kuna waliomshauri kuwa vunja baraza lote la mawaziri na kuunda jipya as if ameanza upya. Ila katiba inamtaka amalizie kipindi kilichoachwa na rais aliyefariki.
Inawezekana kabisa kuwa rais angefariki mwezi mmoja kabla ya kumalizia kipindichake, huwezi kusema kuwa makamu wa rais atavunja serikali na kuanza awamu yake mpya ya huo mwezi mmoja.
Papara alizoanza nazo baada ya kushika nchi zinasababisha watu wengine watafsiri matukio yote vibaya.
😁😁😁Kasome katiba vizuri
Ww ni jinga una ndoto za mbowe kuwa Rais wa Nchi hii Mara 1000 afadhali tumpe DR Msukuma ambae kwa Sasa ni PHD holder anaweza akatufikisha nchi ya ahadiMapuuzi ya CCM yalipoona Mbowe ni tishio yakaweka kigezo cha degree ili kumdhibiti huku yakijua hakuna kigezo kama hicho kwenye katiba, kwa hiyo msitegemee sana katiba inasema nini, mafia chama cha wahuni wa CCM kitaamua nani awe mgombea wao kwa vigezo vyao vya kipuuzi visivyofuata sheria
You got my attention lakini uliposema afadhari PHd ya Musukuma nikajua naongea na kiazi na viazi kama nyie manatakiwa msiruhusiwe kupiga kuraWw ni jinga una ndoto za mbowe kuwa Rais wa Nchi hii Mara 1000 afadhali tumpe DR Msukuma ambae kwa Sasa ni PHD holder anaweza akatufikisha nchi ya ahadi
Kumbe we dogo kichwani ni 0 kabisaMama Anamalizia miaka minne ya awamu ambayo kairithi kikatiba, bado awamu yake, awamu hii ya sasa yupo kwa niaba ya marehemu.
Mama anamalizia miaka 4 ya kipindi cha pili cha miaka 5 ya awamu ya 5. Akimaliza anaanza awamu yake ya sita mwaka 2025 yenye vipindi 2 vya miaka mitano mitano mpaka 2035. Jumla itakuwa kumi. Ukijumlisha na hii 4 mama tunaye sana tuu kwa miaka 14 jumla.
Kina Maria Nyerer bado wanadunda, Mke wa Mkapa yupi, Janeth nae bado anadunda......Nae mama atafika mbali tu, hivyo swala la kuishi sio la kuhofia sana maana ni wazi wanawake wengi wanaishi kuzidi wanaume.
Tanganyika + Zanzibar = Tanzania
Technically tupo kwenye kipindi cha pili cha awamu ya tano. Hizi nyingine ni porojo tu.Hii ni awamu ya tano au ya sita?