Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,409
- 8,812
Atuambie yeye. Maza anadadia mitumbwi ya vibwengo tuBaadhi ya maneno kwenye hotuba yake yanadai kuwa kuna mpasuko ndani ya chama ambacho alikuwa anakinanga na akaenda mbali kuashiria kwenye hicho chama wapo wanao muunga mkono ndiyo maana kuna huo msuguano.
Huku uswahilini watu wanao fuatilia mambo yasiyo wahusu wamepewa jina baya sana. Au basi.
Hamna Raisi hapoSamia Anazamia Hoja huku akizunguka mbuyu!
Rais anaongea Mafumbo utadhani kikao cha familia uswahilini huko kizimkazi!
Aliyesema hqyo anajifarijiBaadhi ya maneno kwenye hotuba yake yanadai kuwa kuna mpasuko ndani ya chama ambacho alikuwa anakinanga na akaenda mbali kuashiria kwenye hicho chama wapo wanao muunga mkono ndiyo maana kuna huo msuguano.
Huku uswahilini watu wanao fuatilia mambo yasiyo wahusu wamepewa jina baya sana. Au basi.
Basi uwe weweHamna Raisi hapo
.....miujiza yenyewe ni kumleta awe Rais wetu.....[emoji120]
KISHA TUZOEA!Hamna Raisi hapo
Unajibuje hoja kwa mazwazwa?!!!Binafsi sijaona kama alijenga au kujibu hoja za wanaomkosoa nimeona akiongea utadhani yupo kwenye mipasho yakina mama.
Hamna kitu humo pakeni rangi zote lakini ni kazi bure....Ukitaka kumjua mtu mwache afungue mdogo wake