N Nyabukika JF-Expert Member Joined Jun 15, 2022 Posts 1,441 Reaction score 1,050 Oct 31, 2022 Thread starter #21 Msanii said: Mama ni mtaaluma kwenye mahesabu. Najua kama siyo kukwamishwa na walamba Asali basi tungekuwa mbali sana Tusiache kumuombea lakini akiendelea kuamini anachodanganywa basi anguko ni kama jiwe kwenye maji Click to expand... Mama ni silent killer mzee we unaweza ukaona anayumbishwa kumbe ana lake moja kichwani na kutokana na matokeo haya serikali imekuja na mpango wa kuleta maendeleo endelevu kulingana na idadi ya watu
Msanii said: Mama ni mtaaluma kwenye mahesabu. Najua kama siyo kukwamishwa na walamba Asali basi tungekuwa mbali sana Tusiache kumuombea lakini akiendelea kuamini anachodanganywa basi anguko ni kama jiwe kwenye maji Click to expand... Mama ni silent killer mzee we unaweza ukaona anayumbishwa kumbe ana lake moja kichwani na kutokana na matokeo haya serikali imekuja na mpango wa kuleta maendeleo endelevu kulingana na idadi ya watu