- Thread starter
- #21
Mama ni silent killer mzee we unaweza ukaona anayumbishwa kumbe ana lake moja kichwani na kutokana na matokeo haya serikali imekuja na mpango wa kuleta maendeleo endelevu kulingana na idadi ya watuMama ni mtaaluma kwenye mahesabu. Najua kama siyo kukwamishwa na walamba Asali basi tungekuwa mbali sana
Tusiache kumuombea lakini akiendelea kuamini anachodanganywa basi anguko ni kama jiwe kwenye maji