Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,926
- 6,574
AsionekaneHuyo pakome asingemtembelea kwa maoni yangu.
Licha ya madhaifu yake yote ila huyu Mama huwa ana huruma sanaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na MWANANCHI NAMBA MOJA Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na leo alimtembelea na kumpa pole mchezaji wa timu ya wananchi Pacome Zouzoua, ambaye anaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam kufuatia majeraha aliyoyapata wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania.
View attachment 3623739View attachment 3623740
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Anatafuta huruma huyo rais wako, badala ya kutatua tatizo la msingi yeye anamangamangaHuyo pakome asingemtembelea kwa maoni yangu.
Mtu amechoma picha huko mbeya hajulikani alipo, maza aingilie katiLicha ya madhaifu yake yote ila huyu Mama huwa ana huruma sana
Basi tu.
Nani tena amechoma picha?Mtu amechoma picha huko mbeya hajulikani alipo, maza aingilie kati
familia za aliowaua MO29 aliwatembelea LINI????Licha ya madhaifu yake yote ila huyu Mama huwa ana huruma sana
Basi tu.
Sina wakiliNani tena amechoma picha?
Na ni picha gani?