Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kuwa Wanawake wanaweza. Hongera sana Rais Samia

Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kuwa Wanawake wanaweza. Hongera sana Rais Samia

Ni ukweli usiopingika Dunia sasa inamuangalia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan kama mwanamke hodari anayejiamini kiasi cha kuifananisha misimamo yake ya kiuongozi na Viongozi wakubwa Duniani kama vile akina Putin, Trump, na wengine..

Watanzania ni fahari kuwa na Rais mzalendo anayesimamia maadili ya sisi watanzania bila kuogopa mashinikizo ya nchi za Ulaya.

Mungu mubariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
NI KWELI KABISA ANA
Ni ukweli usiopingika Dunia sasa inamuangalia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan kama mwanamke hodari anayejiamini kiasi cha kuifananisha misimamo yake ya kiuongozi na Viongozi wakubwa Duniani kama vile akina Putin, Trump, na wengine..

Watanzania ni fahari kuwa na Rais mzalendo anayesimamia maadili ya sisi watanzania bila kuogopa mashinikizo ya nchi za Ulaya.

Mungu mubariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Ni kweli kabisa ameweza baada ya Sheikh Hasina wa Bangladesh amefuata yeye
 
Hakika amekuwa gumzo la Dunia nzima. Ameweza kufanya uharamia kuliko hata wanaume. Leo amekuwa gumzo la Dunia nzima. Ameingia kwenye kumi bora ya kugombania udikteta Duniani, na nina hakika atatoka kinara, maana hakuna Rais aliyewahi kuteka na kuua watu wake zaidi ya 10,000 ndani ya siku 3. Huyu amevunja rekpdi ya Dunia. Amewazidi madikteta wa historia. Katika 10 bora ya udikteta, ya wanaogombania nafasi ya kwanza, huku Afrika ni yeye pekee yake.
 
Ni ukweli usiopingika Dunia sasa inamuangalia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan kama mwanamke hodari anayejiamini kiasi cha kuifananisha misimamo yake ya kiuongozi na Viongozi wakubwa Duniani kama vile akina Putin, Trump, na wengine..

Watanzania ni fahari kuwa na Rais mzalendo anayesimamia maadili ya sisi watanzania bila kuogopa mashinikizo ya nchi za Ulaya.

Mungu mubariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Na wewe jike dume pia unaweza bila kuwezeshwa
 
Ni ukweli usiopingika Dunia sasa inamuangalia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan kama mwanamke hodari anayejiamini kiasi cha kuifananisha misimamo yake ya kiuongozi na Viongozi wakubwa Duniani kama vile akina Putin, Trump, na wengine..

Watanzania ni fahari kuwa na Rais mzalendo anayesimamia maadili ya sisi watanzania bila kuogopa mashinikizo ya nchi za Ulaya.

Mungu mubariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Screenshot_20251217-065939~2.png
 
Mwenye Dhambi akimsifia mwenye dhambi za mauaji ya Kimbari!
 
Ni ukweli usiopingika Dunia sasa inamuangalia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan kama mwanamke hodari anayejiamini kiasi cha kuifananisha misimamo yake ya kiuongozi na Viongozi wakubwa Duniani kama vile akina Putin, Trump, na wengine..

Watanzania ni fahari kuwa na Rais mzalendo anayesimamia maadili ya sisi watanzania bila kuogopa mashinikizo ya nchi za Ulaya.

Mungu mubariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Damu za wahanga wote aliowaua ile Oktoba 29 na kuendelea, zitamlilia maisha yake yote. Kamwe hatokuja aipate tena ile amani ya moyo aliyokuwa nayo hapo kabla.
 
Damu za wahanga wote aliowaua ile Oktoba 29 na kuendelea, zitamlilia maisha yake yote. Kamwe hatokuja aipate tena ile amani ya moyo aliyokuwa nayo hapo kabla.
Msicheze na amani ya Tanzania mtabaki vilema
 
Kuna baadhi wanaweza lakini huyu wa kwetu hakuna kitu labda anaweza kunanilii tu mashine iliyopakwa mkongo
 
Uzuri akiachia madaka ataenda Zanzibar na ndio Mwanzo wa mateso ya wazanzibar kosa lililofanyika Kumpa urais mwanamke na tena ni Mzanzibar halitakaa lijirudie.

Ila kabla ya yote lazima alipie damu za Oktoba 29, msiulize atalipaje? It's a matter of time.
 
Ni ukweli usiopingika Dunia sasa inamuangalia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan kama mwanamke hodari anayejiamini kiasi cha kuifananisha misimamo yake ya kiuongozi na Viongozi wakubwa Duniani kama vile akina Putin, Trump, na wengine..

Watanzania ni fahari kuwa na Rais mzalendo anayesimamia maadili ya sisi watanzania bila kuogopa mashinikizo ya nchi za Ulaya.

Mungu mubariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Kweli amethibitisha kuwa wanawake wanaweza.wanaweza kuwa madikteta na kuua watu hata zaidi ya elfu 10.hongera kwake.
 
Amani hailindwi kwa kuua watu wasio na hatia.ule ulikuwa ni uharamia na Samia amelaaniwa na atakufa bila kumaliza awamu yake.
Baadhi ya waliouliwa walikuwa vibaka waliotaka kuivuruga Tanzania nzima. Kitendo cha kuzima network maana yake serikali ilikuwa inapambana na uhaini.

Pia polisi waliuliwa, hao nao sio watu?.
 
Yani kwenye tuzo za best tyrant kamfunika mpaka Paul kagame.
 
Back
Top Bottom