Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kuwa Wanawake wanaweza. Hongera sana Rais Samia

Rais Samia ameuthibitishia Ulimwengu kuwa Wanawake wanaweza. Hongera sana Rais Samia

Inaweza kuibuka taasisi nyingine ikaweka majina kumi na kusema piga kura ya rais bora wa mwaka na samia akawemo na pia akashinda,
So hapo kwenye kura hamna shida ni maoni tu yanaweza kuwa ya ubora au sio ubora inategemea na taasisi tu, na taasisi nyingi tu
Ila kwa sasa ni rais anayechukiwa zaidi na wananchi wake, ukiacha nyie wa kulipwa kupaka kinyesi rangi, zaidi ya 70% ya watanzania hawampendi, na katika hao kuna 55% ya wanaomchukia, hence hiyo taasisi ikamweka hapo pamoja na wakongwe kama trump ambaye hakunavshaka yoyote kuwa anaongoza kuwa na maadui wengi hasa wa nje ya nchi yake, uniqueness ya samia ni kuwa anachukiwa zaidi na wananchi wake mwenyewe
 
Ila kwa sasa ni rais anayechukiwa zaidi na wananchi wake, ukiacha nyie wa kulipwa kupaka kinyesi rangi, zaidi ya 70% ya watanzania hawampendi, na katika hao kuna 55% ya wanaomchukia, hence hiyo taasisi ikamweka hapo pamoja na wakongwe kama trump ambaye hakunavshaka yoyote kuwa anaongoza kuwa na maadui wengi hasa wa nje ya nchi yake, uniqueness ya samia ni kuwa anachukiwa zaidi na wananchi wake mwenyewe
Tatizo takwimu zenu zinatoka kanisani, uimara na ukweli wake ni zero, vhuki na husda ndio kipaumbele,

Ushahidi kwamba mama anapendwa ni 98% ya kura alizopigiwa,

Sasa nyie leteni takwimu zenu za mchongo
 
Ila kwa sasa ni rais anayechukiwa zaidi na wananchi wake, ukiacha nyie wa kulipwa kupaka kinyesi rangi, zaidi ya 70% ya watanzania hawampendi, na katika hao kuna 55% ya wanaomchukia, hence hiyo taasisi ikamweka hapo pamoja na wakongwe kama trump ambaye hakunavshaka yoyote kuwa anaongoza kuwa na maadui wengi hasa wa nje ya nchi yake, uniqueness ya samia ni kuwa anachukiwa zaidi na wananchi wake mwenyewe
Tuliomchagua hatumchukii kwasababu ni kura yetu na tunaona vile kura zetu zinatufanya kazi
 
Tatizo takwimu zenu zinatoka kanisani, uimara na ukweli wake ni zero, vhuki na husda ndio kipaumbele,

Ushahidi kwamba mama anapendwa ni 98% ya kura alizopigiwa,

Sasa nyie leteni takwimu zenu za mchongo
Acha hiyo story ya 98% ni aibu sana, afadhali yeye samia alijishtukia kidogo akasema ni 98% kati ya kura zote alizopigiwa, so inaweza kuwa ni 98% kati ya kura halali 4,000,000 tu, ila kura 32 million hiyo ni uongo wa hovyo na wa kutia kinyaa!
 
Tz imeweka rekodi duniani kuongozwa low iq president, imagine samuya anakaa kwenye round table ya kujadili masuala mbalimbali na marais kama Ruto, Mu7, Kagame nk
 
Acha hiyo story ya 98% ni aibu sana, afadhali yeye samia alijishtukia kidogo akasema ni 98% kati ya kura zote alizopigiwa, so inaweza kuwa ni 98% kati ya kura halali 4,000,000 tu, ila kura 32 million hiyo ni uongo wa hovyo na wa kutia kinyaa!
Sio mimi mkuu ni takwimu kutoka taasisi makini chini y a serikali makini,
Pinga kwa takwimu na ushahidi,
Ila kama ni maneno tu, kila mmoja husema lake
 
Tz imeweka rekodi duniani kuongozwa low iq president, imagine samuya anakaa kwenye round table ya kujadili masuala mbalimbali na marais kama Ruto, Mu7, Kagame nk
Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan ni international figure misimamo yake ya kiuongozi inafananishwa na akina Putin, yule Rais wa India, Trump, ni Marais wachache wasio ruhusu na kuogopa mashinikizo ya MATAIFA mengine kama vile MATAIFA ya ulaya
 
Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan ni international figure misimamo yake ya kiuongozi inafananishwa na akina Putin, yule Rais wa India, Trump, ni Marais wachache wasio ruhusu na kuogopa mashinikizo ya MATAIFA mengine kama vile MATAIFA ya ulaya
Umemjibu kitaalamu sana
 
Ni ukweli usiopingika Dunia sasa inamuangalia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan kama mwanamke hodari anayejiamini kiasi cha kuifananisha misimamo yake ya kiuongozi na Viongozi wakubwa Duniani kama vile akina Putin, Trump, na wengine..

Watanzania ni fahari kuwa na Rais mzalendo anayesimamia maadili ya sisi watanzania bila kuogopa mashinikizo ya nchi za Ulaya.

Mungu mubariki Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Hasa kwenye kipengere cha utekaji na Mauaji
 
Marekani njoo utwange magaidi ccm yametuua Zaid ya elf Tena mikoa ya wakristo wengine Songwe,mbeya, Arusha, amelenga mikoa ya wakristo. Mikoa ya waislam hajaua kama Pemba,unguja,Tanga,pwani,
 
Hivi Trump ndio aliyeambiwa

Who are you?

Safi sana mama
 
Back
Top Bottom