Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 39,420
- 25,440
- Thread starter
-
- #61
Shida yako wewe unataka watu wote wawaze kama wewe.yaani kama wewe huoni mazuri ya mh Rais na jitihada kubwa anazozifanya katika kutatua changamoto mbalimbali basi unataka sote tuwe kama wewe na tufanye mashambulizi yasiyo na msingi kama mahayawani. Unataka kiongozi au Rais wetu akifanya kazi vizuri kama afanyavyo hivi sasa basi tusimpongeze wala kusema bali tukae kimya kama mabubu. Hutaki apongezwe na kutiwa moyo kwa kazi nzuri anazofanya.kwako wewe kila anayepongeza kwa kazi nzuri ya mh Rais unamwita chawa. Sasa mimi kama kuusema ukweli na kupongeza kwa kazi nzuri ni uchawa basi ni bora niitwe chawa lakini sitaacha kumpongeza mh Rais kwa kazi kubwa anayoifanya.nitaendekea pia kutoa ushauri pale napoona panafaa kufanya hivyo kwa afya ya ustawi wa Taifa letu na watanzania wote kwa ujumla wake.Wewe Pascal ni mtu mzima, umeona mengi n najua unaakili za kutosha. Ushauri wako ni wa kumpoteza huyo ndugu badala ya kumjenga.
Mtu yeyote mwenye akili timamu liko wazi maudhui ya uandishi huu ambao unafanana na wako unalenga kuonesha uzalendo ili kupata teuzi. Hii sio sawa, tunaiharibu sana hii nchi kwa tabia hizo. Tujikite kwenye kumsaidia Rais afanye kazi, kusifu na kuabudu tufanye kanisani. Tumuachiw Makonda kazi yake.
Na unga mkono kuandika kwa kurekekebisha uongo, husda au propaganda lakini sio makwambio na kaubudu kila siku.
Mfano leo hii wewe ukipata uteuzi, amini nakuambia hautakuwa na credit hata kama unastahili coz watu wataaona unalipwa fadhila. Halafu hiii mambo unawafundisha nini watoto wako?
Go back to be the Pascal who stood up for what he believes in. You will always be remembered for how you confronted the late Magufuli on budget issues, such a mzalendo mwandishi. Unapoteaaaa sanaaaaa Bwana Njaa (mayalla kikwetu ni njaa)
Acha uwendawazimu wewe.ukilewa na kuvuta mabangi yako huko unajifanya kumfahamu kila mtu hapa.unamletea nani vitisho sasa? Kweli wewe una wazimu kichwani mwako.Kuna siku nitakuandalia Uzi kukuhusu wewe niweke Hadi picha zako na familia yako.. huu uchawa umezidi sasa .. Kama unabisha sema suu
Ndugu zangu Watanzania,
Ndio maana tunaona kila sehemu amegusa ,kufika na kuweka mkono wake.ndio maana watanzania wana imani na matumaini makubwa sana .....
Hata mimi naona ameweka mazingira wezeshi ya watanzania kuanza kunufaika na fursa zilizopo nchini.Rais samia ameshamaliza kazi ya kuweka mazingira wezeshi kwa watanzania wote kunufaika kwanza na fursa zilizopo nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Utateuliwa wewe na wahuni wenzako kuongoza genge lenu la wavuta bangi na walioharibikiwa akili kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya.Huteuliwi ng'o
Je wakosoaji nao wanastahili pongezi kama hizi au ni kwa wanaosifia pekee?Good, keep up the good job you are doing, don't worry, don't mind, don't care, and don't give a dam kuwasikiliza wanaokubeza, just keep focus, do what you do as long as you do the right thing!.
P
Wanakosoa nini? Maana pinga pinga na ulalamishi FC kama wa CHADEMA huwezi ukauita ni ukosoaji bali ni ujinga tuJe wakosoaji nao wanastahili pongezi kama hizi au ni kwa wanaosifia pekee?
Ndo uzuri wa CCM yangu.Wanakosoa nini? Maana pinga pinga na ulalamishi FC kama wa CHADEMA huwezi ukauita ni ukosoaji bali ni ujinga tu
Soma tena orodha ya mazuri yake kama nilivyoandika kwenye commentSasa mazuri ya jiwe huyajui! Itakuwa sio mtz wewe, Samia kafanya nini zaidi ya teuzi za kila mwezi!
Hana lolote huyo Mama mnyonga Mashehe huku anawaachia akina Sabaya.Hayo yote yapo katika mchakato na yatapatikana tu.kikubwa ni kutoa ushirikiano katika kila hatua.Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania amedhamiria kuipatia nchi katiba mpya
Huyo Mama ambaye badala ya kunyonga Mafisadi waluotajwa na CAG yeye ananyonga Mashehe.Hata waliomtangulia wote walikwama hapa, chama chake ndio tatizo.
Kuna maeneo kajitahidi vizuri sana,..... mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Kama umeonewa mahakamani nenda kakate rufaa na siyo kumtupia lawama mh Rais wetu mchapa kazi. Maamuzi ya mahakama yanapingwa mahakamani kwa kukata rufaa na siyo kuja huku kulalamika na kupiga porojo zako.Hana lolote huyo Mama mnyonga Mashehe huku anawaachia akina Sabaya.
Kwa sasa siasa za amani,upendo, maridhiano ,staha ndizo zimetawala katika uongozi shupavu na madhubuti wa jemedari wetu mama Samia Suluhu Hasssan.Huyo Mama ambaye badala ya kunyonga Mafisadi waluotajwa na CAG yeye ananyonga Mashehe.
Amemuachia Sabaya amerudisha Makonda Siasa za chuki zimerejea kwa kasi.
Ww co chawa tu,lkn ni kupeNdugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Rais samia mama mchapa kazi,mzalendo wa kweli, nuru ya wanyonge, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini,chuma cha Reli,mama wa upendo ameutendea haki sana Urais. Viatu vya urais alivyo vaa vimemuenea , kumkaa vizuri sana na kumpendeza mama yetu.
Ndio maana tunaona kila sehemu amegusa ,kufika na kuweka mkono wake.ndio maana watanzania wana imani na matumaini makubwa sana na uongozi wa Rais samia,kwa kuwa ni uongozi ambao umeleta na kuinua matumaini ya ndoto ya kila mtanzania katika kufikia na kutimiza malengo yake.
Katika uongozi wa Rais samia ukifanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa lazima ufaidike na kupata matunda ya jasho lako. kila mtu ana nafasi sawa katika kufanikiwa.fursa zipo kwa kila aliye tayari kuzitumia. Rais samia ameshamaliza kazi ya kuweka mazingira wezeshi kwa watanzania wote kunufaika kwanza na fursa zilizopo nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Kwa sasa siasa za amani,upendo, maridhiano ,staha ndizo zimetawala katika uongozi shupavu na madhubuti wa jemedari wetu na Rais wetu Mh mama Samia Suluhu Hasssan.Huyo Mama ambaye badala ya kunyonga Mafisadi waluotajwa na CAG yeye ananyonga Mashehe.
Amemuachia Sabaya amerudisha Makonda Siasa za chuki zimerejea kwa kasi.
Kila siku nyee nyee nyee nyee nyee saa100 meemmee mmaammmaa mshenzi kweli wewe peleka ukunguni mbali na hapa leta uchambuzi unaostahili jukwaa hili.Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Rais samia mama mchapa kazi,mzalendo wa kweli, nuru ya wanyonge, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini,chuma cha Reli,mama wa upendo ameutendea haki sana Urais. Viatu vya urais alivyo vaa vimemuenea , kumkaa vizuri sana na kumpendeza mama yetu.
Ndio maana tunaona kila sehemu amegusa ,kufika na kuweka mkono wake.ndio maana watanzania wana imani na matumaini makubwa sana na uongozi wa Rais samia,kwa kuwa ni uongozi ambao umeleta na kuinua matumaini ya ndoto ya kila mtanzania katika kufikia na kutimiza malengo yake.
Katika uongozi wa Rais samia ukifanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa lazima ufaidike na kupata matunda ya jasho lako. kila mtu ana nafasi sawa katika kufanikiwa.fursa zipo kwa kila aliye tayari kuzitumia. Rais samia ameshamaliza kazi ya kuweka mazingira wezeshi kwa watanzania wote kunufaika kwanza na fursa zilizopo nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Hajanyonga masheikh bhana, hao jamaa wamehukumiwa na mahakama baada ya kukutwa na hatia...... isitoshe wanaweza kukata rufaa.Huyo Mama ambaye badala ya kunyonga Mafisadi waluotajwa na CAG yeye ananyonga Mashehe.
Amemuachia Sabaya amerudisha Makonda Siasa za chuki zimerejea kwa kasi.
Rais Samia anastahili pongezi na shukurani kubwa sana kwa mambo makubwa aliyoyafanya ndani ya muda mfupi wa uongozi wake, yaliyogusa maisha ya mamilioni ya watanzania na kuleta matokeo chanya kwa watu wengi.Kila siku nyee nyee nyee nyee nyee saa100 meemmee mmaammmaa mshenzi kweli wewe peleka ukunguni mbali na hapa leta uchambuzi unaostahili jukwaa hili.
Namba za simu miaka yote bado hujaonekana tu? Haya wahi kwenye jaruba la mpunga mvua hizzo achana na kubembeleza vicheo mbuzi hapa!
Hizi Mahakama zinazofanya maamuzi kwa utashi wa Mwenyekiti wa CCM na maagizoHajanyonga masheikh bhana, hao jamaa wamehukumiwa na mahakama baada ya kukutwa na hatia...... isitoshe wanaweza kukata rufaa.
Wewe tafuta Bwana uolewe.Kwa sasa siasa za amani,upendo, maridhiano ,staha ndizo zimetawala katika uongozi shupavu na madhubuti wa jemedari wetu na Rais wetu Mh mama Samia Suluhu Hasssan.