Kwa mwaka wa 2023 Rais Samia amezulu na kutembelea Jumla ya Mataifa 18 Duniani kote.
Kwenye ziara hizo ameinadi vyema diplomasia ya Uchumi na Diplomasia ya Tanzania ambapo Kupitia ziara zake hizo Nchi imenufaika katika nyanja mbalimbali kuanzia biashara, uchumi,Utalii, uwekezaji,Ajira,Elimu,masoko mapya nk.
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1738940999332733041?t=vJ0KpMLIXMx7s4MTjyO4BA&s=19
My Take
Kuna Nchi muhimu na za kimkakati Bado mama hajazifikia mfano Nchi za Scandinavia,Japan,Australia,Canada,DRC Congo,Korea Kusini,Brazil,Egypt na Algeria.
Ni matumaini yangu kwamba Mwaka 2024 atazifikia hizo Nchi hapo Juu.
Zipohuko juu hakuna ajali za mamitambo kugongana jamani?
Una Kipimo Cha kuonesha matokeo ya safari ni zero?Matokeo ya hizo safari ni sifuri.
Hizo fedha wanazozichezea bora wangejenga mashule na kuboresha hospital za uma.
Katembelee hospitali za uma ujionee huko maajabu ndio utaacha kusifia ujinga.
Kuwa mpumbavu ni kipaji chakoHii taarifa yako hujaitafakari vizuri kabla ya kuileta humu!!!
Ungekuwa na akili za kutosha ungetambua kwamba kisiasa hili la kuzurula linampunguzia mama heshima!!
Ukifuatilia ziara za mama utajua Kila ziara ililazimika Serikali kutoa ufafanuzi wa kwa nini Kuna hiyo ziara. Utakumbuka pia msululu wa watu anaoambatana nao umekuwa ukiwakera walipa Kodi.
Katika ziara hizi mara zote tunaambiwa zimeleta neema ya Mikopo, lakini hapohapo walipa Kodi hawaoni tija ya Mikopo hiyo kwa umma. Yapo malalamiko kwamba pesa nyingi zinaishia mifukoni mwa wajanja.
Kwahiyo tunapoelekea kwenye chaguzi za 2024 na 2025 ni vyema ukatambua kwamba hili andiko lako linamchafua mama na huenda baadaye Serikali ikalazimika kutoa ufafanuzi.
UCHAWA ni UCHAFU
Kila ziara ikifanyika Serikali Huwa inaleta mrejesho.Tuwekee na tija ya hizo safari zake, kama nchi tumefaidika na nn?!.
Au ni yeye na kundi lake kulamba posho tu za safari.
Unfortunately litakukuta wewe yeye anachanja mbugha.Mlianza kuwanga Toka machi 2021 Sasa ni 2024 na mtawanga hivyo hivyo Hadi 2030.Lolote baya limkute kwenye safari zijazo
SawaUnfortunately litakukuta wewe yeye anachanja mbugha.Mlianza kuwanga Toka machi 2021 Sasa ni 2024 na mtawanga hivyo hivyo Hadi 2030.
Matokeo ya hizo safari ni sifuri.
Hizo fedha wanazozichezea bora wangejenga mashule na kuboresha hospital za uma.
Katembelee hospitali za uma ujionee huko maajabu ndio utaacha kusifia ujinga.
Inapendeza sana akiendelea kupuyanga kama hivi 👇Hamna kitu huyo bibi anapuyanga tu.
Inapendeza sana akiendelea kupuyanga kama hivi 👇
View: https://twitter.com/twendenamama/status/1738808650536309189?t=6smSlE3WcaThkXdm_YCCew&s=19
Mikopo ndio sifa ya awamu ya mchongo ya sita.
Huna akili wewe CHAWA. Kinachokusumbua wewe ni Imani yako tu ya kiarabuKuwa mpumbavu ni kipaji chako
Mama hawezi kuacha kusafiri Kwa mustakabali na maslahi ya Nchi Kwa sababu eti Kuna wapumbavu kama wewe mnawaza matokeo ya Kisiasa.
Lazima atoe mrejesho wa ziara kuwaeleza Watanzania kilichomsukuma kufanya Ziara.Suala la msururu wa watu ni kawaida Kwa viongozi kuambatana na wafanyabiashara nk
Aliyekwambia Kila ziara imeleta Mkopo ni nani? Ziara ya Burundi,Malawi,Zambia nk ilikuletea Mkopo kiasi gani?
Ziara zinalenga kukuza Ushirikiano katika nyanja mbalimbali na jambo kuu ni diplomasia ya uchumi.mbumb kama wewe unaposema hazina Tija una uhakika?
Pole sana Mkuu,mama atasafiri kama kawa so long as ziara zinalenga maslahi ya Kiuchumi, biashara, uwekezaji na mambo kama hayo.
Stori za sijui kumchafua and such upuuzi hazijaanza Leo na akiwa wa ignore kitambo sana.
Natoa wito Kwa Rais Samia kuendelea kufanya ziara za Kimataifa Ili kuifungua Nchi.
Mimi na uarabu wapi na wapi we funza? Kwetu ni Njombe.Huna akili wewe CHAWA. Kinachokusumbua wewe ni Imani yako tu ya kiarabu