Rais Samia ametembea mataifa kumi nane, ni faida gani tumepata kama nchi?

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Heri ya Christmas wakuu
Mungu akijalia tunaenda kumaliza Mwaka, mkuu wa nchi yetu ametembea Zaidi ya mataifa kuminane hadi Sasa!

Kimsingi kuna kauli kubwa husemwa na Wana CCM pamoja na baadhi ya wapinzani kwamba mama anaupiga mwingi, mama anefungua nchi, wadadisi wa mambo naomba mnipatie faida kubwa tulizozipata baada ya mkuu wa nchi kutembea mataifa hayo.

Miradi ambayo hutangazwa Kila siku ambayo kimsingi kasi ya utekelezaji ni ndogo

1. SGR huu mradi pamoja na yote mara nyingi umma hutangaziwa kuanza kufanya kazi hususani kipande cha kutoka Dodoma Hadi daresalaam Hadi Sasa kimya kimezidi nilichokuona NI baadhi ya mabehewa kuiletwa na siyo kuanza kufanya kazi, maneno yao utasikia mwezi flani tutaanza ikifika maneno mengine changamoto za matengenezo ya mabehewa kutoka nje haya ndiyo maneno hivi sasa.

2. Bwawa la Nyerere mara ya mwisho tuliambiwa kujaa maji imefikia asilimia 90 hadi Sasa haijajulikana nini kimekwamisha mradi huo kuanza kufanya kazi na hautangazwi kwa umma kujuwa nini kimekwamisha. Umeme hivi sasa umekuwa wa kukatika katika.

3. Barabara ya njia nne hadi Sasa imekuwa ni ndoto ya mchana.

Mengine mtaongezea wanaofahamu.

MAMA ANAUPIGA MWINGI NAOMBENI MNITAJIE NI MAMBO GANI AMEUPIGA MWINGI TANGU AMEINGIA MADARAKANI.

1.
2.
3.
 
Heri ya Christmas wakuu
Mungu akijalia tunaenda kumaliza Mwaka, mkuu wa nchi yetu ametembea Zaidi ya mataifa kuminane hadi Sasa!

Kimsingi kuna kauli kubwa husemwa na Wana CCM pamoja na baadhi ya wapinzani kwamba mama anaupiga mwingi, mama anefungua nchi, wadadisi wa mambo naomba mnipatie faida kubwa tulizozipata baada ya mkuu wa nchi kutembea mataifa hayo.

Miradi ambayo hutangazwa Kila siku ambayo kimsingi kasi ya utekelezaji ni ndogo

1. SGR huu mradi pamoja na yote mara nyingi umma hutangaziwa kuanza kufanya kazi hususani kipande cha kutoka Dodoma Hadi daresalaam Hadi Sasa kimya kimezidi nilichokuona NI baadhi ya mabehewa kuiletwa na siyo kuanza kufanya kazi, maneno yao utasikia mwezi flani tutaanza ikifika maneno mengine changamoto za matengenezo ya mabehewa kutoka nje haya ndiyo maneno hivi sasa.

2. Bwawa la Nyerere mara ya mwisho tuliambiwa kujaa maji imefikia asilimia 90 hadi Sasa haijajulikana nini kimekwamisha mradi huo kuanza kufanya kazi na hautangazwi kwa umma kujuwa nini kimekwamisha. Umeme hivi sasa umekuwa wa kukatika katika.

3. Barabara ya njia nne hadi Sasa imekuwa ni ndoto ya mchana.

Mengine mtaongezea wanaofahamu.

MAMA ANAUPIGA MWINGI NAOMBENI MNITAJIE NI MAMBO GANI AMEUPIGA MWINGI TANGU AMEINGIA MADARAKANI.

1.
2.
3.
.
.
.
.
Hakuna Rais hapa, ni bomu Tena la kienyeji
 
Aisee huwa najiuliza raisi wetu kwa sasa anaweza kusema niini amefanyia nchi kinachoonekana hata kwa macho ya watanzania na kosa majibu ! Utasikia madaraja amepandisha ya wafanyakazi utafikri ni hisani mara ajira
 
Heri ya Christmas wakuu
Mungu akijalia tunaenda kumaliza Mwaka, mkuu wa nchi yetu ametembea Zaidi ya mataifa kuminane hadi Sasa!

Kimsingi kuna kauli kubwa husemwa na Wana CCM pamoja na baadhi ya wapinzani kwamba mama anaupiga mwingi, mama anefungua nchi, wadadisi wa mambo naomba mnipatie faida kubwa tulizozipata baada ya mkuu wa nchi kutembea mataifa hayo.

Miradi ambayo hutangazwa Kila siku ambayo kimsingi kasi ya utekelezaji ni ndogo

1. SGR huu mradi pamoja na yote mara nyingi umma hutangaziwa kuanza kufanya kazi hususani kipande cha kutoka Dodoma Hadi daresalaam Hadi Sasa kimya kimezidi nilichokuona NI baadhi ya mabehewa kuiletwa na siyo kuanza kufanya kazi, maneno yao utasikia mwezi flani tutaanza ikifika maneno mengine changamoto za matengenezo ya mabehewa kutoka nje haya ndiyo maneno hivi sasa.

2. Bwawa la Nyerere mara ya mwisho tuliambiwa kujaa maji imefikia asilimia 90 hadi Sasa haijajulikana nini kimekwamisha mradi huo kuanza kufanya kazi na hautangazwi kwa umma kujuwa nini kimekwamisha. Umeme hivi sasa umekuwa wa kukatika katika.

3. Barabara ya njia nne hadi Sasa imekuwa ni ndoto ya mchana.

Mengine mtaongezea wanaofahamu.

MAMA ANAUPIGA MWINGI NAOMBENI MNITAJIE NI MAMBO GANI AMEUPIGA MWINGI TANGU AMEINGIA MADARAKANI.

1.
2.
3.
You sre so petty, unakijuwa wewe barabra ya njia nne tu?

Dah! Watanzaniahebu tumieni akili kidogo. Tutajie hizo nchi alizokwenda halafu tukuoneshe kila nchi tumepata faida gani.
 
Aisee huwa najiuliza raisi wetu kwa sasa anaweza kusema niini amefanyia nchi kinachoonekana hata kwa macho ya watanzania na kosa majibu ! Utasikia madaraja amepandisha ya wafanyakazi utafikri ni hisani mara ajira
Sasa wewe Mrwanda mama Samia anakuwaje Rais wako?

Au kuuwana kwenu haijakutosha unaleta fitna zako Tanzania?
 
Ukiachana na kuboresha CV yake binafsi.

Hakuna faida yetote tuliyopata.

Hali ya maisha inazidi kuwa ngumu tu.
 
Heri ya Christmas wakuu
Mungu akijalia tunaenda kumaliza Mwaka, mkuu wa nchi yetu ametembea Zaidi ya mataifa kuminane hadi Sasa!

Kimsingi kuna kauli kubwa husemwa na Wana CCM pamoja na baadhi ya wapinzani kwamba mama anaupiga mwingi, mama anefungua nchi, wadadisi wa mambo naomba mnipatie faida kubwa tulizozipata baada ya mkuu wa nchi kutembea mataifa hayo.

Miradi ambayo hutangazwa Kila siku ambayo kimsingi kasi ya utekelezaji ni ndogo

1. SGR huu mradi pamoja na yote mara nyingi umma hutangaziwa kuanza kufanya kazi hususani kipande cha kutoka Dodoma Hadi daresalaam Hadi Sasa kimya kimezidi nilichokuona NI baadhi ya mabehewa kuiletwa na siyo kuanza kufanya kazi, maneno yao utasikia mwezi flani tutaanza ikifika maneno mengine changamoto za matengenezo ya mabehewa kutoka nje haya ndiyo maneno hivi sasa.

2. Bwawa la Nyerere mara ya mwisho tuliambiwa kujaa maji imefikia asilimia 90 hadi Sasa haijajulikana nini kimekwamisha mradi huo kuanza kufanya kazi na hautangazwi kwa umma kujuwa nini kimekwamisha. Umeme hivi sasa umekuwa wa kukatika katika.

3. Barabara ya njia nne hadi Sasa imekuwa ni ndoto ya mchana.

Mengine mtaongezea wanaofahamu.

MAMA ANAUPIGA MWINGI NAOMBENI MNITAJIE NI MAMBO GANI AMEUPIGA MWINGI TANGU AMEINGIA MADARAKANI.

1.
2.
3.
Kwenye angle hii Bibi Kizimkazi humwambii kitu!!
Screenshot_20231225_111247.jpg


Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Heri ya Christmas wakuu
Mungu akijalia tunaenda kumaliza Mwaka, mkuu wa nchi yetu ametembea Zaidi ya mataifa kuminane hadi Sasa!

Kimsingi kuna kauli kubwa husemwa na Wana CCM pamoja na baadhi ya wapinzani kwamba mama anaupiga mwingi, mama anefungua nchi, wadadisi wa mambo naomba mnipatie faida kubwa tulizozipata baada ya mkuu wa nchi kutembea mataifa hayo.

Miradi ambayo hutangazwa Kila siku ambayo kimsingi kasi ya utekelezaji ni ndogo

1. SGR huu mradi pamoja na yote mara nyingi umma hutangaziwa kuanza kufanya kazi hususani kipande cha kutoka Dodoma Hadi daresalaam Hadi Sasa kimya kimezidi nilichokuona NI baadhi ya mabehewa kuiletwa na siyo kuanza kufanya kazi, maneno yao utasikia mwezi flani tutaanza ikifika maneno mengine changamoto za matengenezo ya mabehewa kutoka nje haya ndiyo maneno hivi sasa.

2. Bwawa la Nyerere mara ya mwisho tuliambiwa kujaa maji imefikia asilimia 90 hadi Sasa haijajulikana nini kimekwamisha mradi huo kuanza kufanya kazi na hautangazwi kwa umma kujuwa nini kimekwamisha. Umeme hivi sasa umekuwa wa kukatika katika.

3. Barabara ya njia nne hadi Sasa imekuwa ni ndoto ya mchana.

Mengine mtaongezea wanaofahamu.

MAMA ANAUPIGA MWINGI NAOMBENI MNITAJIE NI MAMBO GANI AMEUPIGA MWINGI TANGU AMEINGIA MADARAKANI.

1.
2.
3.
Kupanda kwa ghrama za maisha
 
Melo ataendelea kuwa MLINZI wa taarifa zetu siyo mwepesi kutumika na serikali Yuko tayari kuachia ngazi kuliko kuharibu media hii.
 
Heri ya Christmas wakuu
Mungu akijalia tunaenda kumaliza Mwaka, mkuu wa nchi yetu ametembea Zaidi ya mataifa kuminane hadi Sasa!

Kimsingi kuna kauli kubwa husemwa na Wana CCM pamoja na baadhi ya wapinzani kwamba mama anaupiga mwingi, mama anefungua nchi, wadadisi wa mambo naomba mnipatie faida kubwa tulizozipata baada ya mkuu wa nchi kutembea mataifa hayo.

Miradi ambayo hutangazwa Kila siku ambayo kimsingi kasi ya utekelezaji ni ndogo

1. SGR huu mradi pamoja na yote mara nyingi umma hutangaziwa kuanza kufanya kazi hususani kipande cha kutoka Dodoma Hadi daresalaam Hadi Sasa kimya kimezidi nilichokuona NI baadhi ya mabehewa kuiletwa na siyo kuanza kufanya kazi, maneno yao utasikia mwezi flani tutaanza ikifika maneno mengine changamoto za matengenezo ya mabehewa kutoka nje haya ndiyo maneno hivi sasa.

2. Bwawa la Nyerere mara ya mwisho tuliambiwa kujaa maji imefikia asilimia 90 hadi Sasa haijajulikana nini kimekwamisha mradi huo kuanza kufanya kazi na hautangazwi kwa umma kujuwa nini kimekwamisha. Umeme hivi sasa umekuwa wa kukatika katika.

3. Barabara ya njia nne hadi Sasa imekuwa ni ndoto ya mchana.

Mengine mtaongezea wanaofahamu.

MAMA ANAUPIGA MWINGI NAOMBENI MNITAJIE NI MAMBO GANI AMEUPIGA MWINGI TANGU AMEINGIA MADARAKANI.

1.
2.
3.
Waulize wanaokusanya allowance kwa kumsindikiza.
 
Back
Top Bottom