Eilimu
Elimu
Elimu
Na zaidi kaanza kubadili mfumo wa Elimu kuanzia mwaka 2023, kuondoa ule mtaala wa kukaririshana. Mfano elimu ya msingi Sasa kwenda Hadi form 4 kwa maana ya baada ya std 6 watoto wataingia Moja kwa Moja form 1 kwa masomo ya michepuo na stadi za kazi.
Mama anafanya mengi yaliyoshinda wanaume waliomtangulia.
Hongera Dkt Samia.