Rais Samia amegeuza upepo wa MSD kwa kumteua Mavere Tukai

Status
Not open for further replies.

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,199
3,871
Kwa mara ya kwanza najaribu kumuelewa Mama Rais Samia, Sikubaliani nae kwa mambo mengi ikiwemo hilo la kumnanga JPM, lakini hili la kuchungulia wataalam kutoka private sector hasa USAID, ameonesha usikivu na Intelligence kama kiongozi.

Sio kazi ndogo kuwa Country Director chini ya wazungu, Huyu Bw. Mfamasia, na amesomea mambo ya Famasi kwenye Masters yake pamoja na mambo ya Purchasing.

Haiwezekani Bohari ya Dawa ambayo ndiyo key player wa dawa Tanzania kwa wananchi iongozwe na mtu tofauti na Mtaalam wa dawa ambao kazi yao ni kusomea dawa tu kuanzia production mpaka inaingia kwenye mwili wa binadamu, ni mambo ya hovyo na haya mambo ni Tanzania tu.

Matokeo yake CAG akihoji kwanini dawa zinakufa za Bil 20, majibu huwa ni ya kisiasa na ujinga ujinga.

Sasa huyu Bw. Mfamasia akafanye kazi na atupe majibu kwanini serikali inatumia hela nyingi na dawa nyingi zinakufa, yeye si ndio mfamasia , na ndio CEO , ang’amue na aje na majibu ili kama anahitaji msaada kutoka Serikali kuu asaidiwe.

Kumbe tunawataalam waliobobea kwenye Dawa na Corporate Management ... halafu tunawaacha watumike na wazungu kwenye NGOs, kwenye taasisi zetu tunaweka wanajeshi wasio kuwa na skills. Taasisi inaendeshwa kitapeli na kibabe bila ya kuheshimu sheria za Umma huku tunawataalam wa kutosha: aliyeiroga Tanzania nae alishakufa.

Kwa Uteuzi huu Mama unatakiwa kuangalia Hata Wakurugenzi wa Tanesco wawe ni watu waliosomea na kuspecialize kwenye mambo ya Energy na wawe pia na
Corporate skills.
Lakini Ali Tukai alone hatoweza, atahitaji kushirikiana na wataalam wa logistic MSD , watu wa mifumo na data base, Corporate services, wataalam wa fedha ili wamshauri matumizi ya Fedha za taasisi.
Naanza kumuelewa Mama taratibu, huyu Mama ana dira, ana patience and the most important ana exposure and she is a good listener. tumpe support ili 2025 awe Rais wetu tena.

Ukiwa kama Mtanzania chanya, nini Ushauri wako ? kwa Ali Tukai kama CEO mpya wa MSD.

Maendeleo Hayana Uchama, Nasema Uongo Ndugu Zangu ?

IMG_7404.jpg

IMG_7402.jpg

IMG_7403.jpg
 
Huyo Jamaa alikuwa ni Mtendaji Mkuu wa USAID GHSC Tanzania sio mtu mdogo ni boss kwelikweli

Mshahara wake waweze kufika 60 million kwa Mwezi.
Pia anapata full accommodation Transport na holidays sio mtu mdogo kwenye mashirika ya kimataifa
Mtoa mada anasema jamaa ni County director wa USAID, hapo ndio tatizo lilipo.

Hakuna anaezungumzia mshahara wake wala maisha yake.
 
Huyo Jamaa alikuwa ni Mtendaji Mkuu wa USAID GHSC Tanzania sio mtu mdogo ni boss kwelikweli

Mshahara wake waweze kufika 60 million kwa Mwezi.
Pia anapata full accommodation Transport na holidays sio mtu mdogo kwenye mashirika ya kimataifa
Hata wafanyakazi wa kawaida wanapata hizo benefits. Maybe hujafanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa.
 
Siku ukija kuelewa matatizo ya utendaji ya nchi hii hayasababishwi na ukosefu wa vyeti vya chuo kwa watendaji utakuwa umechelewa sana
Umemaliza yote. Hawa watu akili zao ni fupi na husahau mapema ndiyo maana wanakuwa na mawazo kama haya. Kuna watu wasomi haswa wameshapewa vyeo vya kila aina watu wakajuta na kusema bora ambao hawajasoma.
 
Kwa mara ya kwanza najaribu kumuelewa Mama Rais Samia, Sikubaliani nae kwa mambo mengi ikiwemo hilo la kumnanga JPM, lakini hili la kuchungulia wataalam kutoka private sector hasa USAID, ameonesha usikivu na Intelligence kama kiongozi.

Sio kazi ndogo kuwa Country Director chini ya wazungu, Huyu Bw. Mfamasia, na amesomea mambo ya Famasi kwenye Masters yake pamoja na mambo ya Purchasing.

Haiwezekani Bohari ya Dawa ambayo ndiyo key player wa dawa Tanzania kwa wananchi iongozwe na mtu tofauti na Mtaalam wa dawa ambao kazi yao ni kusomea dawa tu kuanzia production mpaka inaingia kwenye mwili wa binadamu, ni mambo ya hovyo na haya mambo ni Tanzania tu.

Matokeo yake CAG akihoji kwanini dawa zinakufa za Bil 20, majibu huwa ni ya kisiasa na ujinga ujinga.

Sasa huyu Bw. Mfamasia akafanye kazi na atupe majibu kwanini serikali inatumia hela nyingi na dawa nyingi zinakufa, yeye si ndio mfamasia , na ndio CEO , ang’amue na aje na majibu ili kama anahitaji msaada kutoka Serikali kuu asaidiwe.

Kumbe tunawataalam waliobobea kwenye Dawa na Corporate Management ... halafu tunawaacha watumike na wazungu kwenye NGOs, kwenye taasisi zetu tunaweka wanajeshi wasio kuwa na skills. Taasisi inaendeshwa kitapeli na kibabe bila ya kuheshimu sheria za Umma huku tunawataalam wa kutosha: aliyeiroga Tanzania nae alishakufa.

Kwa Uteuzi huu Mama unatakiwa kuangalia Hata Wakurugenzi wa Tanesco wawe ni watu waliosomea na kuspecialize kwenye mambo ya Energy na wawe pia na
Corporate skills.
Lakini Ali Tukai alone hatoweza, atahitaji kushirikiana na wataalam wa logistic MSD , watu wa mifumo na data base, Corporate services, wataalam wa fedha ili wamshauri matumizi ya Fedha za taasisi.
Naanza kumuelewa Mama taratibu, huyu Mama ana dira, ana patience and the most important ana exposure and she is a good listener. tumpe support ili 2025 awe Rais wetu tena.

Ukiwa kama Mtanzania chanya, nini Ushauri wako ? kwa Ali Tukai kama CEO mpya wa MSD.

Maendeleo Hayana Uchama, Nasema Uongo Ndugu Zangu ?

View attachment 2190290
View attachment 2190291
View attachment 2190292
kweli.viongozi waache tabia ya kuwekana nje na taalum tabia hii inaunguza ufanisi ktk kazi.na kuongeza ufisadi.serikali ijali taaluma na uwezo.
 
Hata wafanyakazi wa kawaida wanapata hizo benefits. Maybe hujafanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa.
Good to see you back EMT

Kuna watu walikuwa wanafanya name calling wakikufananisha na Magu enzi zile za awamu ya nne. Ilipofika awamu ya JPM you went into hibernation. Kuona bado upo basi tunategemea zile zile good nondo as always 😁😁
 
Kwa mara ya kwanza najaribu kumuelewa Mama Rais Samia, Sikubaliani nae kwa mambo mengi ikiwemo hilo la kumnanga JPM, lakini hili la kuchungulia wataalam kutoka private sector hasa USAID, ameonesha usikivu na Intelligence kama kiongozi.

Sio kazi ndogo kuwa Country Director chini ya wazungu, Huyu Bw. Mfamasia, na amesomea mambo ya Famasi kwenye Masters yake pamoja na mambo ya Purchasing.

Haiwezekani Bohari ya Dawa ambayo ndiyo key player wa dawa Tanzania kwa wananchi iongozwe na mtu tofauti na Mtaalam wa dawa ambao kazi yao ni kusomea dawa tu kuanzia production mpaka inaingia kwenye mwili wa binadamu, ni mambo ya hovyo na haya mambo ni Tanzania tu.

Matokeo yake CAG akihoji kwanini dawa zinakufa za Bil 20, majibu huwa ni ya kisiasa na ujinga ujinga.

Sasa huyu Bw. Mfamasia akafanye kazi na atupe majibu kwanini serikali inatumia hela nyingi na dawa nyingi zinakufa, yeye si ndio mfamasia , na ndio CEO , ang’amue na aje na majibu ili kama anahitaji msaada kutoka Serikali kuu asaidiwe.

Kumbe tunawataalam waliobobea kwenye Dawa na Corporate Management ... halafu tunawaacha watumike na wazungu kwenye NGOs, kwenye taasisi zetu tunaweka wanajeshi wasio kuwa na skills. Taasisi inaendeshwa kitapeli na kibabe bila ya kuheshimu sheria za Umma huku tunawataalam wa kutosha: aliyeiroga Tanzania nae alishakufa.

Kwa Uteuzi huu Mama unatakiwa kuangalia Hata Wakurugenzi wa Tanesco wawe ni watu waliosomea na kuspecialize kwenye mambo ya Energy na wawe pia na
Corporate skills.
Lakini Ali Tukai alone hatoweza, atahitaji kushirikiana na wataalam wa logistic MSD , watu wa mifumo na data base, Corporate services, wataalam wa fedha ili wamshauri matumizi ya Fedha za taasisi.
Naanza kumuelewa Mama taratibu, huyu Mama ana dira, ana patience and the most important ana exposure and she is a good listener. tumpe support ili 2025 awe Rais wetu tena.

Ukiwa kama Mtanzania chanya, nini Ushauri wako ? kwa Ali Tukai kama CEO mpya wa MSD.

Maendeleo Hayana Uchama, Nasema Uongo Ndugu Zangu ?

View attachment 2190290
View attachment 2190291
View attachment 2190292
Nakumbuka miaka hiyo Prof. Sarungi akiiongoza kwa ufanisi wa hali ya juu Hospitali ya Muhimbili watu wakapiga kelele apewe Uwaziri wa Afya. Alipopewa Uwaziri huo, kilichobaki ni historia.
 
Kwa mara ya kwanza najaribu kumuelewa Mama Rais Samia, Sikubaliani nae kwa mambo mengi ikiwemo hilo la kumnanga JPM, lakini hili la kuchungulia wataalam kutoka private sector hasa USAID, ameonesha usikivu na Intelligence kama kiongozi.

Sio kazi ndogo kuwa Country Director chini ya wazungu, Huyu Bw. Mfamasia, na amesomea mambo ya Famasi kwenye Masters yake pamoja na mambo ya Purchasing.

Haiwezekani Bohari ya Dawa ambayo ndiyo key player wa dawa Tanzania kwa wananchi iongozwe na mtu tofauti na Mtaalam wa dawa ambao kazi yao ni kusomea dawa tu kuanzia production mpaka inaingia kwenye mwili wa binadamu, ni mambo ya hovyo na haya mambo ni Tanzania tu.

Matokeo yake CAG akihoji kwanini dawa zinakufa za Bil 20, majibu huwa ni ya kisiasa na ujinga ujinga.

Sasa huyu Bw. Mfamasia akafanye kazi na atupe majibu kwanini serikali inatumia hela nyingi na dawa nyingi zinakufa, yeye si ndio mfamasia , na ndio CEO , ang’amue na aje na majibu ili kama anahitaji msaada kutoka Serikali kuu asaidiwe.

Kumbe tunawataalam waliobobea kwenye Dawa na Corporate Management ... halafu tunawaacha watumike na wazungu kwenye NGOs, kwenye taasisi zetu tunaweka wanajeshi wasio kuwa na skills. Taasisi inaendeshwa kitapeli na kibabe bila ya kuheshimu sheria za Umma huku tunawataalam wa kutosha: aliyeiroga Tanzania nae alishakufa.

Kwa Uteuzi huu Mama unatakiwa kuangalia Hata Wakurugenzi wa Tanesco wawe ni watu waliosomea na kuspecialize kwenye mambo ya Energy na wawe pia na
Corporate skills.
Lakini Ali Tukai alone hatoweza, atahitaji kushirikiana na wataalam wa logistic MSD , watu wa mifumo na data base, Corporate services, wataalam wa fedha ili wamshauri matumizi ya Fedha za taasisi.
Naanza kumuelewa Mama taratibu, huyu Mama ana dira, ana patience and the most important ana exposure and she is a good listener. tumpe support ili 2025 awe Rais wetu tena.

Ukiwa kama Mtanzania chanya, nini Ushauri wako ? kwa Ali Tukai kama CEO mpya wa MSD.

Maendeleo Hayana Uchama, Nasema Uongo Ndugu Zangu ?

View attachment 2190290
View attachment 2190291
View attachment 2190292
Sasa kwa nini Umy Mwalimu ni waziri wa afya wakati sio mtaalamu wa mambo ya afya ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom