Kwa kweli huyu, kwa ile kauli kuwa wanawake wamchague yeye kwasababu ni mwanamke mwenzao, ameonekana kupwaya sana. Kwa hiyo anataka na wanaume wamchague mwanaume kwa vile ni mwanaume mwenzao?
Asiendelee na hizi hoja mfilisi. Wanaume wana uwezo wa kusahau vyama vyao ili kuhakikisha tu hatuongozwi na mwanamke mwenye hulka za ubaguzi wa kijinsia.
Hii inaweza kuwa ni sababu ya yeye kuanza kuwapachika akina mama kwenye nafasi nyeti kama Waziri wa Ulinzi. Huenda Siro akitoka, IGP atakuwa mwanamke, siyo kwa sababu ya sifa bali kwa sababu ya uwanamke wake.
Hili tulikemee kwa nguvu.
Asiendelee na hizi hoja mfilisi. Wanaume wana uwezo wa kusahau vyama vyao ili kuhakikisha tu hatuongozwi na mwanamke mwenye hulka za ubaguzi wa kijinsia.
Hii inaweza kuwa ni sababu ya yeye kuanza kuwapachika akina mama kwenye nafasi nyeti kama Waziri wa Ulinzi. Huenda Siro akitoka, IGP atakuwa mwanamke, siyo kwa sababu ya sifa bali kwa sababu ya uwanamke wake.
Hili tulikemee kwa nguvu.