Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Mwl.JK.Nyerere ktk moja ya hotuba zake kuhusu Chama gani au Nani anafa kuchaguliwa kuwa kiongozi alituasa wana wa nchi ya Tanganyika kuto wachagua watu walio filisika SERA.
Nyerere anasema watu hao kwa kuwa hawana sera na Agenda za Maendeleo kwa wananchi, na wanajua kuwa hawakubaliki hutumia fyoko fyoko za kuwagawa watu.
Mtu anapo sema kuwa atachaguliwa uchaguzi ujao kwa kuwa yeye ana jinsia ya kike na anaomba watu wa jinsia yake wamuunge mkono ni fedheaha kubwa Sana kwa taifa Kama hili ambalo liliheshimika Afrika na duniani kwa ujumla.
Kama ameweza kueleza utopolo huu hadharani kwa watu wenye Akili tunaona hawezi kushindwa kuweka mtandao wa kuungwa mkono kidini, au kikabila kwa Wazanzibari wenzake wamuunge mkono kwakuwa Sasa wao wanatawala Watanganyika.
Ubaguzi wa namna hii haufai kufumbiwa macho Wala kuchekewa hata kwa sekunde moja na watu wenye Akili. Watu wenye Kariba ya namna hii hawashindwi kuwasingizia wenzao kesi za Ugaidi ili yeye na genge lake watawale kwa mabavu.
Mwenzio alituletea Mambo ya ukabila na ukanda na wewe unaleta Mambo ya kike kike. Wanaume huwa hatupendi Mambo ya kike kike sijui watupata uzuri bibie.
Haya yaliyo semwa na Rais yangesemwa na chama kingine fyoko fyoko zake zingekuwa si za kawaida. Mtu huyo angepimwa mkojo mpaka kupekuliwa nyumbani kwake kuwa anatumiwa na watu wasio litakia mema taifa hili.
Sisi wangoni toka Uhuru upatikane hatujawahi toa Rais mnaonaje na sisi Sasa tuweke agenda yetu kuwa uchaguzi ujao iwe jua iwe mvua Rais lazima awe Mngoni?
CC Mataga
Nyerere anasema watu hao kwa kuwa hawana sera na Agenda za Maendeleo kwa wananchi, na wanajua kuwa hawakubaliki hutumia fyoko fyoko za kuwagawa watu.
Mtu anapo sema kuwa atachaguliwa uchaguzi ujao kwa kuwa yeye ana jinsia ya kike na anaomba watu wa jinsia yake wamuunge mkono ni fedheaha kubwa Sana kwa taifa Kama hili ambalo liliheshimika Afrika na duniani kwa ujumla.
Kama ameweza kueleza utopolo huu hadharani kwa watu wenye Akili tunaona hawezi kushindwa kuweka mtandao wa kuungwa mkono kidini, au kikabila kwa Wazanzibari wenzake wamuunge mkono kwakuwa Sasa wao wanatawala Watanganyika.
Ubaguzi wa namna hii haufai kufumbiwa macho Wala kuchekewa hata kwa sekunde moja na watu wenye Akili. Watu wenye Kariba ya namna hii hawashindwi kuwasingizia wenzao kesi za Ugaidi ili yeye na genge lake watawale kwa mabavu.
Mwenzio alituletea Mambo ya ukabila na ukanda na wewe unaleta Mambo ya kike kike. Wanaume huwa hatupendi Mambo ya kike kike sijui watupata uzuri bibie.
Haya yaliyo semwa na Rais yangesemwa na chama kingine fyoko fyoko zake zingekuwa si za kawaida. Mtu huyo angepimwa mkojo mpaka kupekuliwa nyumbani kwake kuwa anatumiwa na watu wasio litakia mema taifa hili.
Sisi wangoni toka Uhuru upatikane hatujawahi toa Rais mnaonaje na sisi Sasa tuweke agenda yetu kuwa uchaguzi ujao iwe jua iwe mvua Rais lazima awe Mngoni?
CC Mataga