JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 8,464
- 18,236
Sasa huko mitandaoni, tunaona picha za mnato, zikimuonesha Samia akiwa na viongozi wa Ulaya, tunaambiwa "anafanya mazungumzo" Sasa kwenye picha ya mnato, utajuaje kama anazungumza issues, au alikuwa anasalimia tu?
Rais afanye mahojiano na BBC, Aljazeera Ili akuze profile, kama alivyofanya Ruto, sio kuleta mapicha tu na kutuambia yupo mazungumzoni
Rais afanye mahojiano na BBC, Aljazeera Ili akuze profile, kama alivyofanya Ruto, sio kuleta mapicha tu na kutuambia yupo mazungumzoni