Hapo kakutana na bonge la tapel na limwamba fulani la kutembelea gizani mama atakubali tu yaani tumwombee😢😢😢😢God forbid...!
Ile bandar kavu pale Ruvu itarejea..! Kuhusu madini...Mungu tusaidie..Hapo kakutana na bonge la tapel na limwamba fulani la kutembelea gizani mama atakubali tu yaani tumwombee
Ni kilio Ila ipo siku tunaemlilia atatujibu kilio chetu, huenda Musa yupo Midian na anajianda kuja kuonana na Haruni Kisha waende kuomba tupewe ruhusa ya kuondoka kwenda nchi ya ahadi japo sio kwa urahisi😢😢😢Ile bandar kavu pale Ruvu itarejea..! Kuhusu madini...Mungu tusaidie..
Aaameeen...!!!Ni kilio Ila ipo siku tunaemlilia atatujibu kilio chetu, huenda Musa yupo Midian na anajianda kuja kuonana na Haruni Kisha waende kuomba tupewe ruhusa ya kuondoka kwenda nchi ya ahadi japo sio kwa urahisi
Aaameeen...!!!
Nipo kupunga upepo kuelekea upande wa kuchwa kwa jua nasikiliza wimbo usiotafrika kwa lugha rahisi bali kwa aliejawa na ile ahadi tulioisubiri ya hamsini baada ya Yesu kuondoka, naimani mda saa na wakati uko karibu maana natokwa na chozi lisiloweza kufutika ambalo ni ngumu mtu kuliona chozi Hilo😢😢😢😢Mungu Mwenyezi: Ninawaombea IGP Sirro na Mbowe; Uhukumu kwa haki
Mungu Mkuu; Muumba mbingu na nchi, Mungu mwenyezi, Wewe ni mtakatifu, haudanganyi, hausemi uongo na umejaa upendo na huruma kwetu tulio wakosaji. Usiku huu ninaleta majina ya watoto wako hawa; 1. Freema Aikael Mbowe 2. Simon Nyankoro Sirro Ninawiwa kuwaombea kwani kupitia wao taifa linapitia...www.jamiiforums.com
Mkuu mimi usingizi umegomaNipo kupunga upepo kuelekea upande wa kuchwa kwa jua nasikiliza wimbo usiotafrika kwa lugha rahisi bali kwa aliejawa na ile ahadi tulioisubiri ya hamsini baada ya Yesu kuondoka, naimani mda saa na wakati uko karibu maana natokwa na chozi lisiloweza kufutika ambalo ni ngumu mtu kuliona chozi Hilo
Usicheke mkuu hii iko siriazAaameeen...!!!
Usingizi unakujaje ndugu yangu ikiwa taifa lipo gizani namna hiiMkuu mimi usingizi umegoma
Giza totoro, huku manyunyu na ukunguUsingizi unakujaje ndugu yangu ikiwa taifa lipo gizani namna hii
Hata ukiwasha taa huwezi kuona kabisaa😢😢😢😢Giza totoro, huku manyunyu na ukungu
KamweHata ukiwasha taa huwezi kuona kabisaa
Ile bandar kavu pale Ruvu itarejea..! Kuhusu madini...Mungu tusaidie..