MANKA MUSA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 922
- 1,093
Ni kama ndoto kwa wakazi wa Kigoma kilio cha muda mrefu kinaenda kuwa historia baada ya serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kuidhinisha pesa kwa ajili wa Ujenzi wa Barabara ya Lami kutoka Manyovu hadi Kakonko zaidi ya kilometa 260. Ni kama Rais samia anasema sifa ya watu wa kigoma ibakie kuwa ubishi si Barabara za vumbi
Ulikuwa ni utaratibu wa kawaida kwa wakazi wa Kakonko kuogopa kusafiri na nguo safi wakihofia vumbi la njiani na Ubovu wa Barabara. Sasa hali hii inakwenda kuwa historia
Kama hiyo haitoshi Serikali ya Rais Samia imetoa Pesa kugharamia Ujenzi wa barabara kutoka Malagarasi-Ilunde-Uvinza kwa kiwango cha lami urefu wa takribani KM 51.1 utakaogarimu shilingi bilioni 62.5
Huu ni mwendelezo wa Serikali ya Rais Samia kuendelea kuufungua mkoa wa kigoma wenye fursa mbalimbali na kurahisha kuinua maisha ya wakazi wa Mkoa huu..
Ulikuwa ni utaratibu wa kawaida kwa wakazi wa Kakonko kuogopa kusafiri na nguo safi wakihofia vumbi la njiani na Ubovu wa Barabara. Sasa hali hii inakwenda kuwa historia
Kama hiyo haitoshi Serikali ya Rais Samia imetoa Pesa kugharamia Ujenzi wa barabara kutoka Malagarasi-Ilunde-Uvinza kwa kiwango cha lami urefu wa takribani KM 51.1 utakaogarimu shilingi bilioni 62.5
Huu ni mwendelezo wa Serikali ya Rais Samia kuendelea kuufungua mkoa wa kigoma wenye fursa mbalimbali na kurahisha kuinua maisha ya wakazi wa Mkoa huu..