Hongo ya uongozi ndiyo inawafanya polisi wailinde CCM na kuwaonea wananchi wema.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Heshima za mwisho kwenye Jeneza la Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha Kamishna Mstaafu Marehemu Zelothe Stephen Zelothe wakati alipokwenda kutoa pole nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Oktoba, 2023
View attachment 2795944
View attachment 2795945
View attachment 2795946
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia Kifo cha Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha Kamishna Mstaafu Zelothe Stephen Zelothe Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Oktoba, 2023View attachment 2795942
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Bi. Flora Zelothe Mjane wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha Kamishna Mstaafu Marehemu Zelothe Stephen Zelothe wakati alipokwenda kutoa pole nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Oktoba, 2023
View attachment 2795943
RPC wa Mara Kamanda Mustafa Wandwi baada ya kustaafu mbona alijiunga na CUF na akagombea Ubunge Musoma mjini kupitia CUF mwaka 2000?Uteuzi wa Zelothe kuwa kiongozi wa CCM ulileta utata mkubwa sana maana watu walijiuliza kumbe akiwa RPC lakini kwapani alikuwa ni kada wa CCM? Ni kwa vipi angetenda haki Kwa vyama vya upinzani? Mungu ameamua ugomvi, ngoja na mimi nijaribu kuziba nafasi yake Arusha.
Kuna wengine walikuwa wanasafiri na ma"tent" yao. RIP Col Gaddafi.Ila ukiwa Raisi raha sana image hadi kiti chakukalia kinasafiri kutoka magogoni hadi msiban
Unaposema kurejesha amani huku mtwara unamaanisha nini?Kikwete ni zaidi ya shetaniPole Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa kuondokewa na Best yako wa muda mrefu
Zelothe Stephen ndie akiwa tayari amestaafu kuwa RPC akiwa pale Dodoma ndie akapokea maelekezo ya kuendelea kutumikia Nchi katika capacity ya Kamanda wa Mkoa akapelekwa Mtwara kuwa RPC wakati wa vurugu za Gas na mwana Mama aliekuwa pale kama RPC na kazi akaisimamia Zelothe chumba kwa chumba shuka kwa shuka hadi akarejesha amani kule Kusini
Kwaheri Mwamba sie Wakwere hatuna tunachokudai
Hahahaha kwani kuna nini boss?Unaposema kurejesha amani huku mtwara unamaanisha nini?Kikwete ni zaidi ya shetani
' Kama huwezi kustahamili chuki za watu, matusi, kejeli na hasira zao basi usijaribu kuwa Mwanasiasa na kama utajaribu basi huwezi kuwa Mwanasiasa Mwandamizi '- Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete Mizega- Amiri Jeshi Mstaafu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaKurejesha amani namaanisha kuitoa Gas Mtwara kuileta Dar es salaam,
Unaposema kurejesha amani huku mtwara unamaanisha nini?Kikwete ni zaidi ya shetani
Ni pumba gani unaziandika mpuuzi wewe mimi ninaekusimulia ni muhanga wa hizo vurugu za gas sasa unaniletea drama za kipuuzi hapa halafu nikuchekee' Kama huwezi kustahamili chuki za watu, matusi, kejeli na hasira zao basi usijaribu kuwa Mwanasiasa na kama utajaribu basi huwezi kuwa Mwanasiasa Mwandamizi '- Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete Mizega- Amiri Jeshi Mstaafu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kwangu sio jambo la kufurahisha kabisa mimi na familia yangu ni wahanga wa hiloHahahaha kwani kuna nini boss?