PreGE2025 Rais Samia aahidi Milioni 30, ukarabati wa Kanisa Geita

PreGE2025 Rais Samia aahidi Milioni 30, ukarabati wa Kanisa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Mtoto wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul Halim Hafidah Ameir ameahidi kutoa Tsh. Milioni 30 kwenye harambee iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri Japheth Masalu wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome kwa ajili ya ukarabati wa Kanisa la Parokia hiyo na maandalizi ya Jubilee ya miaka 125 ya uinjilishaji pamoja na ujenzi wa nyumba za Watawa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Source: clouds fm
Hiyo ni RUSHWA KAMILI. TAKUKURU hata kama hamuwezi kumkamata badi KEMEENI ILI NA WENGINE WANAOTAKA KUFANYA HIVYO WAACHE.
 
Mtoto wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul Halim Hafidah Ameir ameahidi kutoa Tsh. Milioni 30 kwenye harambee iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri Japheth Masalu wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome kwa ajili ya ukarabati wa Kanisa la Parokia hiyo na maandalizi ya Jubilee ya miaka 125 ya uinjilishaji pamoja na ujenzi wa nyumba za Watawa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Source: clouds fm
Imagine mtumishi wa umma akikopa hiyo milioni 30 benki ili ajengee kibanda chake cha kujisitiri yeye na familia yake, atalazimika kulipa mkopo pamoja na riba jumla kama milioni 60 hivi ndani ya miaka 8-9!
Halafu mtoto wa Rais ambaye hata kazi yake rasmi haijulikani na wengi, anaitoa hiyo milioni 30 kama zawadi tu kwa kanisa!!


Swali la kujiuliza; mtu wa aina hii ana milioni 30 ngapi kwenye akaunti yake ya benki? Na bado kuna watumishi wa umma bado mnapata kabisa ujasiri wa kuwapa kira watu wa aina hii kweli!! Mimi hapana aisee. Bora tujaribu wengine nao tuone kama watakuwa mafisadi kama hawa wa sasa.
 
Mtoto wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul Halim Hafidah Ameir ameahidi kutoa Tsh. Milioni 30 kwenye harambee iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri Japheth Masalu wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome kwa ajili ya ukarabati wa Kanisa la Parokia hiyo na maandalizi ya Jubilee ya miaka 125 ya uinjilishaji pamoja na ujenzi wa nyumba za Watawa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Source: clouds fm
Duu
 
Wanaanza kujipanyeza kanda ya ziwa, wanajua mziki.wake kule.
 
Nchi ambayo haina dawa hospitalini wala gloves, alaf mtoto wa Rais anatoa 30M kama mchango? Katoa wapi hizo hela tukisema kuna ufisadi tunakosea?
Umesema kweli sana! Huwa anafanya KAZI gani kwanza?
 
Sasa mtu kama Rostam Aziz si alishatajwa kitambo na tajiri mwenzake Reginald Mengi enzi hizo kama mmoja wa mafisadi papa! Unataka ushahidi gani tena!
Kumbeee?!!
 
Back
Top Bottom