PreGE2025 Rais Samia aahidi Milioni 30, ukarabati wa Kanisa Geita

PreGE2025 Rais Samia aahidi Milioni 30, ukarabati wa Kanisa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Screenshot_20250331_051500_Chrome.jpg
 
Mtoto wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul Halim Hafidah Ameir ameahidi kutoa Tsh. Milioni 30 kwenye harambee iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri Japheth Masalu wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome kwa ajili ya ukarabati wa Kanisa la Parokia hiyo na maandalizi ya Jubilee ya miaka 125 ya uinjilishaji pamoja na ujenzi wa nyumba za Watawa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3288314

Source: clouds fm
Kanisa langu linaanza kupoteza mwelekeo, linaanza kuwa materialistic church
 
Ngoja na mimi nianze ujenzi wa kanisa, Mwambieni Abdul nataka mchango wa mil 200, chapu nikamilishe kanisa.
 
Mtoto wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul Halim Hafidah Ameir ameahidi kutoa Tsh. Milioni 30 kwenye harambee iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa kushirikiana na Baba Paroko Padri Japheth Masalu wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome kwa ajili ya ukarabati wa Kanisa la Parokia hiyo na maandalizi ya Jubilee ya miaka 125 ya uinjilishaji pamoja na ujenzi wa nyumba za Watawa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Source: clouds fm
Ukhanithi huu sasa. Kanisa linapokea hela ya Abdul?
 
Sifa ziliendee balaza la Maaskofu Kenya, lilimrudishea Rais Ruto mchango wake kwa hoja kuwa waliona mchango huo una hila za kisiasa.

Tumjengee Mungu na tutoe sadaka kutoka kwenye mapato yetu halali na safi.

Makasisi hawawezi kujua sadaka hizo tumezipataje, lakini kunapokuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa ni mapato ya dhuluma, wazikatae.

Inakuwaje mtu alikuwa kapuku kabisa, baada ya kuupata tu Urais, yeye na familia yake yote, ghafla wanakuwa mabilionea? Haihitaji elimu ya ajabu, akili ya kawaida inakupa jibu sahihi.
 
Wewe huoni huyo ni Askofu?! Hata Pete ya uaskofu huioni? Vazi lenyewe la kiaskofu/kichungaji.
Bc hao clouds wameshindwa kuwasilisha taarifa vzr, leo h mtu ambaye hafatilii siasa za Bongo akiona hy post atajua huyo ndiye mtoto wa rais
 
Back
Top Bottom