Rais Robert Mugabe kugombea tena urais mwaka 2018

Rais Robert Mugabe kugombea tena urais mwaka 2018

Nipo Zimbabwe kwa sasa lakini maisha ya wazimbabwe yamewekwa rehani. Pesa wanayotumia ni US dollar. Ukienda benki maximum you can take is 300US$ na siku nyingine unapewa 50$ maana pesa hamna. Kwa ujumla huyu mzee amewafikisha wazimbabwe pagumu. Wameishia kutorokea nje na kuwa wahudumu wa ndani. Siri ya Mungu kumweka huyu mzee kuwa na nguvu ya kutawala anaijua mwenyewe. Saa nyingine ninaona tunapokuwa na viburi (Wazimbabwe walikuwa na viburi sana zamani kama mliwahi kwenda zimbabwe maana ilikuwa kama ulaya ndogo) Mungu anaweza kuleta punishment kama ilivyokuwa Id Amin wa Uganda. Na sisi tumwombe hasije akatokea mtu kama huyo wa kutu punish kwa ajili ya viburi vyetu.
 
  1. Mtukufu mfalme na rais wa milele Bob katika ubora wake..
 
Sasa si anagombea ili iweje?hao watakaotaka kugombea na Mugabe wapimwe akili
 
Si ni yeye alipambana kumtoa mkoloni na wenyewe wapambane kumtoa madarakani wakinukishe tu haiwezekani mtu mmoja ajione ana akili na uwezo wa kuongoza pekee yake huyo hata kumpindua hauhangaiki ni kumkata jeki tu
 
Mugabe ndio rais mkweli japo nchi za magharibi zinambana kwa vikwazo vya kiuchumi ili aporomoke kisiasa.
 
Moja ya Mizigo inayotutia aibu bara la Africa akifatiwa na Museveni na kwa upande wa chama ni hiki chenye rangi ya kijani (CCM)nchini mwetu
 
Lakini jamani si mnaona nguvu ya dola hata hapa kwetu? Kwa hivyo hilo la Zim kwa hakika si jambo la kushangaza sana.
 
Mugabe hatathubutu kuachia madaraka kwa hiyari, aliichukua Zimbabwe ikiwa inatiririka asali na maziwa, leo inatiririka 'maji taka", aliichukua Zimbabwe ikiwa inauza chakula nje ya nchi, akaigeuza kuwa nchi ya njaa na ombaomba wa chakula, aliichukua wakati pesa ya Zimbabwe ikiwa karibu thamani sawa na dola ya Marekani, leo fedha ya Zimbabwe haipo kabisa.

Vv
 
Kwa hili tuko pamoja, hakuna rais wa Afrika katika kujenga hoja mwenye kufanana na Mugabe.
Hoja za kuwatukana wamarekani? Wakati huo huo anatumia ndege & dollar ya marekani? Wananchi wake kugawiwa mtama wenye nembo ya USAID!!
 
So what? Why don't you go and tell the queen of England to step down because she has been in power for so long.! And what good is it to have a President for 5 years but still be ruled by white people economically and mentally? I would rather have the same President for more than 39 years as long as he fights for African power on a global scale. Robert Mugabe is my mentor..
Jinga kabisa wewe ,Rudi Shule..Hujui hata tofauti ya Head of Govt na huyo ceremonial leader (H.O.S)
 
Another dirty words.! You need a mouth condom. Your mouth ejaculates more than your dysfunctional dick. The one who has mental illness is you. What's so special about UK government? Do you know what happened to Harare's government after western sanctions?
Jinga kabisa ,Rudi Shule,Eti Queen of England.Hujui hata majukumu yake..Jinga Veve[emoji2] [emoji13]
 
Teh teh I'm going to take another qualification soon! What's so special about the Queen of England, pity hey. Another mental slavery!

Do you want a cookie? Self righteous asshole.

A lot of Zimbabwe's problems were due to sanctions imposed by the west. A lot of change has happened since 2010.
Veve Jinga Rudi Shule kasome Queen of England kwanza..[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom