Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,397
- 18,001
Kwanza ni mbovu anaishi kwa betri mwilini. Pili amekiri mwenyewe kuwa ni kichaa. Alipata U-Rais kwa sababu ya misuguano ya wana MTANDAO. Tusifanye makosa hayo, ataharibu uchumi na nchi itageuka ZIMBABWE.Mzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035