Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,473
- 12,858
Mwanzo aliwatisha wale watakaoisaidia Ukraine kwenye vita kua watakiona cha mtema kuni na atawageuza kuni, ila mpaka leo yupo kimya na Ukraine inasaidiwa mpaka na majirani zake kama Poland, Lithuania, Germany and ect.
Juzi anasema ataipiga mahakama ya ICC pale the hague kwa hypersonic bomb,s.Putin kama kashindwa kuipiga Kiev kwa hypersonic bomb, na kuichukua kijeshi ni vipi ataipiga Uholanzi?
Putin ana tofauti na viongozi wa kidini wa Iran maana wao kila siku Oooh tutaipoteza Israel kwenye ramani ya dunia kwa makombora ya nyukilia ila mpaka leo ni ngojera tu".
Mwanaume waga haongei ngonjera anafanya vitendo kama alivyofanya Iddi Amini Dada kwa Tanzania mwaka 1978.
Putin anaongea sana ana tofauti na viongozi wa Korea Kaskazini nao wanaongea sana ngonjera za vitisho ila vitendo zero kuhusu kushambulia Seoul kwa makombora ya nyukilia.Putin akishakunywa vodka anaongea sana kama ana sonona kwenye moyo wake.
Juzi anasema ataipiga mahakama ya ICC pale the hague kwa hypersonic bomb,s.Putin kama kashindwa kuipiga Kiev kwa hypersonic bomb, na kuichukua kijeshi ni vipi ataipiga Uholanzi?
Putin ana tofauti na viongozi wa kidini wa Iran maana wao kila siku Oooh tutaipoteza Israel kwenye ramani ya dunia kwa makombora ya nyukilia ila mpaka leo ni ngojera tu".
Mwanaume waga haongei ngonjera anafanya vitendo kama alivyofanya Iddi Amini Dada kwa Tanzania mwaka 1978.
Putin anaongea sana ana tofauti na viongozi wa Korea Kaskazini nao wanaongea sana ngonjera za vitisho ila vitendo zero kuhusu kushambulia Seoul kwa makombora ya nyukilia.Putin akishakunywa vodka anaongea sana kama ana sonona kwenye moyo wake.