Rais Paul Kagame wa Rwanda, akagua gwaride la Jeshi la Tanzania (JWTZ)

kumbe tuko wengi tuliojiuliza kuhusu hiyo comment.


Nimemshangaa sana,, always mimi nimekua nikimtofautisha sana huyu kijana na waropokaji wa humu,, kumbe na yeye ni wale wale... very sad
 
Rais wa Rwanda ni mteja wa bandari ya DSM, hakuna haja ya kuwa na chuki nae. Tena viongozi wetu wana lakujifunza kutokwa kwake na Rwanda kwa ujumla. Nchi yake inaendelea bila kuwa na raslimali nyingi kama tulizo nazo hapa Tanzania.
 
Nilidhani ni peke yangu niliyefikiri kama hivi, kumbe tuko wengi...

Kwa kumbukumbu zangu nakumbuka Kikwete alipokwenda kwenye Mkutano wa EaC pale Rwanda hakupokelewa kwa gwaride wala kutumiwa wazir wa mambo ya nje achia mbali Kagame kwenda kumpokea.!!! Sasa imekuwaje yeye kumpokea kwa Gwaride na kwa mapokezi ambayo kidipromasia ni halali yake (Kupokelewa na waziri wa mambo ya nje kama Rais hayupo ama katingwa)

Nadhani Kikwete ni kama anaomba radhi ama kubembeleza kwa namna fulani hivi... Kumbuka Baba yako akigundua kakuadhibu kwa bahati mbaya (hukukosa) kamwe hawezi kukuomba radhi, Bali kesho waweza kuta anakuja na Kiatu suruali ama chochote kile kama zawadi yako.. Naam kwa wenye akili kubwa watajua mzee anaomba radhi kwa mlango wa nyuma.

Hiki ndicho kinachofanywa na Kikwete???

BACK TANGANYIKA
Acha uzushi ndugu, nani kakuambia Kikwete alipokwenda kwenye Mkutano wa EaC pale Rwanda hakupokelewa kwa gwaride wala kutumiwa wazir wa mambo ya nje?
Kama ni kweli hii basi kweli JK ni dhaifu
Sio kweli,
 
Last edited by a moderator:
Katika Hilo Gwaride kuna Watusi wa JWTZ ... PK yuko imara sana ... Membe naonekana kama Messenger...

11072720_706425619468415_6496588163067173375_n.jpg

Rais wa Rwanda Mhe.Paul Kagame akikagua gwaride la heshima.alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam, Mhe.Rais Kagame yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Ukanda wa Kati kuhusu Uwekezaji na Viwanda unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
 
What do we lose if we live well and at peace with our neighbors?

Vijana wa dotcom waliozaliwa juzi hawajui maana ya vita. Wanavisikia tuu kwenye bomba.

They have never experienced living in a war-torn country zaidi ya kuona tuu kwenye TV.

Wanajifanya tuu hapa wakati juzi panya road waliwakimbiza kwenye stuli za baa mpka wote ukawa mweupeee.
 
Acha uzushi ndugu, nani kakuambia Kikwete alipokwenda kwenye Mkutano wa EaC pale Rwanda hakupokelewa kwa gwaride wala kutumiwa wazir wa mambo ya nje?Sio kweli,


Weka picha Mkuu.
Sisi tunasema hakupokelewa na Gwaride
 
Last edited by a moderator:
Acha uzushi ndugu, nani kakuambia Kikwete alipokwenda kwenye Mkutano wa EaC pale Rwanda hakupokelewa kwa gwaride wala kutumiwa wazir wa mambo ya nje?Sio kweli,


Mkuu weka hapa Picha kama jamaa walivyotuwekea namna Kagame alivyopokelewa. Kupinga bila uthibitisho ni ujuha.

Eti siyo kweli, then ukweli ni upi?

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom