Rais Paul Kagame ashambuliwa na mawe London

Rais Paul Kagame ashambuliwa na mawe London

Ni aibu kwa taifa kubwa kama Congo kuonewa na nchi kama Rwanda, Congo ilitakiwa iwe kama Russia maana ina Madini ya kutisha kutengeneza silaha
Mkuu,hata madini yaliyo tumika kuunda mabom ya Nuklia yaliyo dondoshwa Hiroshima na Nagasaki in 1945 yalichimbwa DRC Congo na kusafirishwa kwenda nchini Merikani.

Ukosefu wa amani ya kudumu nchini DRC Congo inachochewa na Mataifa ya magharibi,actually tangu kuuwawa kikatiri Patrice Lumumba in early 1960s baada ya Congo kupata uhuru kutoka ukoloni wa Kibeligigi Taifa hilo halija wahi kupata amani ya kudumu!!

Watawala wa Kiafrika wanao wafadhili na kuwapa mafunzo ya kijeshi M23, nao vile vile ni mawakala wa nchi za magharibi - we jaribu kufatilia nyenendo za viongozi hao wa Kiafrica utakuja kubaini kwamba nao wako karibu sana na watawala wa nchi za magharibi - western Nation/leaders wako interested in exploiting vast natural resources nchini Congo,inasemekana Congo vile vile ina dalili kubwa ya upatikanaji wa mafuta kwenye msitu wa Virunga, kama hiyo ni kweli, basi hiyo ndio itachochea balaa zaidi ndani ya Congo.
 
Wacongo kwa propaganda mitandaoni wako vzr wanawashinda mpk Wa-ukraine,wanashinda kwny kila kitu Ila Kule field wako choka mbovu,Big for Nothing.

Slava Congo,Slava Congo [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Yani wanachakazwa na kukimbia Silaha wanatupa chini.😂😂
 

Attachments

  • twitter_20220702_075447.mp4
    2.9 MB
  • twitter_20220702_075700.mp4
    2.5 MB
  • IMG_20220702_095248.jpg
    IMG_20220702_095248.jpg
    89.9 KB · Views: 12
  • twitter_20220702_075447.mp4
    2.9 MB
Katika jitihada za kupinga waasi wa M23 wanaotajwa kuungwa mkono na taifa la Rwanda.
Raia wa DRC waishio jijini Landon wameshambulia msafara sna Rais wa Rwanda kwa machupa ya maji na mawe huko jioni london.

Heko Wana Mboka


Huyu dawa yake inachemka subiri Urussi amalizane na Ukraine,
 
Kumtupia chupa za Maji na Mawe hakutoshi,

Muhimu warudi nyumbani kwao Congo, wavae magwanda waingie frontline waipiganie nchi yao.
 
Hapo wazungu wanafurahi sana jinsi pale wAfrica tunapokua hatuelewani...
 
Back
Top Bottom