Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
- Thread starter
- #21
Hapo walio wanahitaji Watu wakubwa wenye busara nazani maana kipindi cha nyuma mkubwa ndio alikuwa na busara zaidi ya Watu wa kipindi hiki licha ya wachache kipindi hicho hata vijana walikuwa na busara mfano NyerereKwanini mpaka upindukie miaka 40 ndio uruhusike kugombea uraisi? mambo ya kishamba sana
Mbona Nyerere alikua raisi akiwa below 40?