Rais ndiye anayehararisha Rushwa kwa 100%

Rais ndiye anayehararisha Rushwa kwa 100%

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,436
Reaction score
3,558
Ndio.
Kuna speech moja amesikika akisema "Wewe kula chako kaa kimya",naam tena alikuwa akiongea Katika majukumu yake kama mkuu wa nchi aliyeapa kuilinda na kutetea katiba ambayo inapinga dhulma kama rushwa.

Kwa muktadha huu huwezi kunikatalia nikisema huyu ndie kiongozi wa genge la kutoa rushwa,anatoa rushwa hadharani kwa mwamvuli wa michango na zawadi kwa kwa kigezo cha yeye ni Rais.

Pesa zote za serikali zina utaratibu wa kuzutoa ila anazozitoa yeye hatujui zinatoka kwa utaratibu gani?.

TAKUKURU hawawezi kumgusa yeye na washirika wake sababu yeye ndio aliyewateua makamishina wakuu na wakurugenzi,watatoa wapi nguvu ya kuhoji na kuchukua hatua?.

TAKUKURU inafaida gani kama mkuu wa nchi anafikia hatua yakufanya mambo kinyume na taratibu,anategemea watakuwa vipi na nguvu yakutekwleza majukumu yake?.

Ndio maana walijitungia sheria kujipa kinga yakutoshitakiwa ili wafanye upuuzi kwa uhuru.
 
Ndio maana wabunge wanaotaka kurudi bungeni wanagawa rushwa kama njugu! Tena waziwazi kwa wajumbe. Safari hii wale ambao hawawana rushwa za kugawa kwa wajumbe wana wakati mgumu wa kushinda. Wajumbe wenye wanasema mkono mtupu haulambwi!
 
Nimemsikia wasira nikajua tu anamsema mama yangu sema watanzania ni wazito kupokea jumbe zilizofichwa
 
Ndio.
Kuna speech moja amesikika akisema "Wewe kula chako kaa kimya",naam tena alikuwa akiongea Katika majukumu yake kama mkuu wa nchi aliyeapa kuilinda na kutetea katiba ambayo inapinga dhulma kama rushwa.

Kwa muktadha huu huwezi kunikatalia nikisema huyu ndie kiongozi wa genge la kutoa rushwa,anatoa rushwa hadharani kwa mwamvuli wa michango na zawadi kwa kwa kigezo cha yeye ni Rais.

Pesa zote za serikali zina utaratibu wa kuzutoa ila anazozitoa yeye hatujui zinatoka kwa utaratibu gani?.

TAKUKURU hawawezi kumgusa yeye na washirika wake sababu yeye ndio aliyewateua makamishina wakuu na wakurugenzi,watatoa wapi nguvu ya kuhoji na kuchukua hatua?.

TAKUKURU inafaida gani kama mkuu wa nchi anafikia hatua yakufanya mambo kinyume na taratibu,anategemea watakuwa vipi na nguvu yakutekwleza majukumu yake?.

Ndio maana walijitungia sheria kujipa kinga yakutoshitakiwa ili wafanye upuuzi kwa uhuru.
Mkuu wa majizi
 
Kuleni kwa urefu wa kamba "
Mimi ni Rais mwenye jinsia ya kike "


Hizi kauli zilitosha kutuonyesha mtu uyu ni kilaza
 
CCM na ratiba ya mwaka 1977 ndio maadui zetu wakubwa. Tukiwang'oa hao tunatoboa na kuwa nchi ya asali na maziwa
Nina mlaumu Mwalimu kwa
Ndio maana wabunge wanaotaka kurudi bungeni wanagawa rushwa kama njugu! Tena waziwazi kwa wajumbe. Safari hii wale ambao hawawana rushwa za kugawa kwa wajumbe wana wakati mgumu wa kushinda. Wajumbe wenye wanasema mkono mtupu haulambwi!
Kinachoniuma wanasema ni kuwezesha sio rushwa.

TAKUKURU nao wamenyamaza,napata shida sana
 
Nina mlaumu Mwalimu kwa
Kinachoniuma wanasema ni kuwezesha sio rushwa.

TAKUKURU nao wamenyamaza,napata shida sana
TAKUKURU itawaonea haya vigogo watakaotoa rushwa ili warudi bungeni. Rushwa kwa sasa ni uwezeshwaji, shukrani na zawadi
 
Back
Top Bottom