Rais naomba uniteue ukurugenzi Mwanza

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
6,311
Reaction score
11,819
Rais naomba hii nafasi ya kazi Ukurugenzi wa Jiji la Mwanza, tafadhali Madame.

Nina elimu ya Shahada na ni miaka kumi na moja tangu nimalizie Elimu ya Shahada.
Mkurugenzi wa Kampuni Binafsi kwa miaka 7, ila tunadili na Serikali.

Miaka mitano ajira kwenye private sector

Nimesoma Azania (walikuja wazee niwe nao nikachomoa).
Advance hapo Airwing (walikajua wazee nikachomoa).
Mbuyuni primary school, mke wa Kikwete na Mama Magufuli ni walimu wangu (walikuja vijana nikachomoa).

Mtiifu

Naomba kazi ya Ukurugenzi wa Jiji la Mwanza. Nina sifa za kuwa mtu mwema, elimu ya kutosha na Asante sana.

Mh. Rais sihitaji kuliibia Taifa, naomba kazi.
 
Una 10 % hapo kijana nikusaidie... Haya mambo yanahitaji koneksheni na sisi wa kubwa
 
Mama achana na hii takataka, nipatie mimi nina shahada kutoka SUA, pia nina PhD ya akina Babu Taletale. Nimefanya kazi serikalini na baadaye kwenye INGOs. Uzoefu wangu zaidi ya miaka 20, mama utapenda jinsi nilivyo smart kwenye kazi! Utakuja kunishukuru! Ni mimi Manjagata
 
Wakati Unachomoa Ndiyo Sasa Unakumbuka Kuchomeka!!!
 
Ukitaka teuzi bila vetting just kuwa chawa tu.

Haihitaji akili nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…