KWA maoni yangu nadhani musukuma anafaa na Ana uwezo mkubwa wa kuwa waziri. Pale wizarani Kuna makatibu wakuu ambao ni watendaji wakuu wa hizo wizara na pia Kuna wataalam wa wizara pia. Yule musukuma pamoja na la saba yake Ana confidence, na Ana uwezo wa kujenga na kusimamia hoja. Wapo wasomi wengi na wameshindwa kudeliver tulivyotarajia.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app