Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 844
- 1,608
Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar amesema yuko tayari kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa na kufanya kazi na upande wa upinzani.
Mwinyi ametoa matamshi hayo wakati wa hotuba yake ya kulifungua Baraza la Wawakilishi linaloanza kazi baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu.
Chama kikuu cha upinzani cha ACT Wazalendo kilichoshika nafasi ya pili na ambacho kimedai uchaguzi ulikuwa na dosari bado hakijatoa msimamo juu ya iwapo kitajiunga na serikali ya Umoja wa Kataifa.
Serikali ya Umoja wa Kitaifa ilianzishwa visiwani Zanzibar karibu miaka 15 iliyopita ili kumaliza mivutano ya kila wakati wa uchaguzi ambayo athari zake ilikuwa ni pamoja na vifo na uharibifu wa mali.
Mwinyi ametoa matamshi hayo wakati wa hotuba yake ya kulifungua Baraza la Wawakilishi linaloanza kazi baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu.
Chama kikuu cha upinzani cha ACT Wazalendo kilichoshika nafasi ya pili na ambacho kimedai uchaguzi ulikuwa na dosari bado hakijatoa msimamo juu ya iwapo kitajiunga na serikali ya Umoja wa Kataifa.
Serikali ya Umoja wa Kitaifa ilianzishwa visiwani Zanzibar karibu miaka 15 iliyopita ili kumaliza mivutano ya kila wakati wa uchaguzi ambayo athari zake ilikuwa ni pamoja na vifo na uharibifu wa mali.