Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 738
- 477
Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Wakuu wa idara za Chama Cha Mapinduzi Zanzibar kwa kujitambulisha tangu walipoteuliwa kushika nyadhifa hizo, ujumbe huo uliongozwa na Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Ndugu Mohamed Said Dimwa.
Leo tarehe 14 Februari 2023, Ikulu Zanzibar.
Leo tarehe 14 Februari 2023, Ikulu Zanzibar.