Mseveni siyo jirani ni dikteta. Madikteta wanafahamiana na kusaidiana popote walipo. Ndo maana hiyo shule haikujengwa Songea wala Mtwara kwa mashangazi 'zao'. Ikapelekwa mulemule.Si chadema wanasema Magufuli alifunga nchi na kuharibu mahusiano na majirani?
Kumbe majirani hao hao walitujengea hadi shule!
Samia anayemtembelea na kumpokea ni dikteta?Mseveni siyo jirani, dikteta. Madikteta wanafahamiana na kusaidia a popote walipo. Ndo maana hiyo haikujengwa songea wa Mtwara kwa mashangazi 'zao'. Ikapelekwa mulemule.
Chadema wao utawaonea ,waliosambaza uongo huo na chadema kuunga tera ni wana CCM wenzenu wakiongozwa na team msoga ,na makamba ambao tumekuja gundua hawakuwa na hawajawai kumpenda magufuli tangia aingie madarakani, na ukute ata watu waliookotwa baharini kwenye viroba ni wao ndo wali plan ili wananchi mchukie kiongozi wao, ni swala la muda tu tutajua kilakitu.Si chadema wanasema Magufuli alifunga nchi na kuharibu mahusiano na majirani?
Kumbe majirani hao hao walitujengea hadi shule!
Umenena vyema mkuuChadema wao utawaonea ,waliosambaza uongo huo na chadema kuunga tera ni wana CCM wenzenu wakiongozwa na team msoga ,na makamba ambao tumekuja gundua hawakuwa na hawajawai kumpenda magufuli tangia aingie madarakani, na ukute ata watu waliookotwa baharini kwenye viroba ni wao ndo wali plan ili wananchi mchukie kiongozi wao, ni swala la muda tu tutajua kilakitu.
Umetishaaa mzee.Mseveni siyo jirani ni dikteta. Madikteta wanafahamiana na kusaidiana popote walipo. Ndo maana hiyo shule haikujengwa Songea wala Mtwara kwa mashangazi 'zao'. Ikapelekwa mulemule.
Ukiondoa madikteta waongoza nchi kuna madikteta waongoza vyamaMseveni siyo jirani ni dikteta. Madikteta wanafahamiana na kusaidiana popote walipo. Ndo maana hiyo shule haikujengwa Songea wala Mtwara kwa mashangazi 'zao'. Ikapelekwa mulemule.
Wachina siyo watu wa mchezo mchezoAkakomboe uwanja kwanza.
Zimwi likujuwalo mkuuMseveni siyo jirani ni dikteta. Madikteta wanafahamiana na kusaidiana popote walipo. Ndo maana hiyo shule haikujengwa Songea wala Mtwara kwa mashangazi 'zao'. Ikapelekwa mulemule.
Akili kichwani mwako hapoMuseveni ,!!!!!!!!????yajayo yanafrahisha Transition period
Wewe kweli mnywa kimpumu hata hujui unacho kiongeaSi chadema wanasema Magufuli alifunga nchi na kuharibu mahusiano na majirani?
Kumbe majirani hao hao walitujengea hadi shule!
Ndege wa rangi mojaRais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni anatarajiwa kuwasili Tanzania kwa ziara ya Kitaifa kuanzia Novemba 27, 2021, na atapokelewa na Rais Samia Suluhu Hassan
Mbali na Marais hao kufanya mazungumzo, pia watashiriki ufunguzi wa kongamano la biashara kati ya Tanzania na Uganda
Rais Museveni atatembelea Bandari ya Dar na kukagua mradi unaoendelea wa SGR. Vilevile, ataenda Wilayani Chato, Mkoani Geita ambapo ataikabidhi rasmi Serikali ya Tanzania Shule ya Msingi iliyojengwa kwa ufadhili wake
View attachment 2024364