Mh Rais kila ninapokumbuka furaha yangu niliposikia umechaguliwa Kuwa mgombea wa Urais na kupeperusha bendera ya CCM 2015. Ukaanza vizuri mpaka tukasali Kwa machozi kukutakia heri utukomboe sisi masikini Ila mara ghafla furaha yangu imekuwa masimango, huzuni, upweke na machozi. Kiasi wakati mwingine najiuliza nini kimekukuta? Mbona kama furaha yetu nikama inataka Kuwa huzuni?
Rais Baba yangu nini kimekukuta mbona siamini ninachokiona ? Taifa lipo kimya na wengi tumeshika roho zetu hofu imetushika furaha imetutoka. Ingia maofisini watu hawajuwi hatima yao ya kesho, makampuni yanapunguza watu kimya kimya huku hali yetu ni ngumu ya maisha na inaonyesha itakuwa ngumu zaidi.
Nenda kwenye bihashara pesa hakuna na hata kile kidogo wanakipata TRA wanakivuta Kwa makadirio makubwa ya Kodi watu wanafunga bihashara.
Nenda kwenye siasa Kuwa upinzani ni kuwa adui wa Taifa na wala sio kusikilizana na kujenga Taifa.
Njoo mtaani chuki inetanda umoja wakitaifa unataka kuyeyuka na watu hawapendani na kuchongeana TAKUKURU.
Rais Mimi nalia nalia kweli kuna Watu wanatutafuna kama Kuku katika banda kweli ya Libya ndio yapo hapa Tanzania?
Kweli for 5 years hakuna ajira kweli watu wanamikopo vijana hawana kazi hivi kweli na Watoto wenu hawana ajira kama Watoto wa walala hoi huku mtaani?
Mimi Nalia tena Nalia Kwa kujigarakaza kwamba tukiita audit firm zakimataifa wafanye consolidation ya miradi yote umeipanga Vs GDP growth ya Tanzania watashauri miradi mingi isiendelee maana kama Taifa na mikopo tukikopa hiyo miradi itakuwa na athari za kiuchumi za muda mrefu kwenye per capital income ya watanzania. Mimi Nalia tena Nalia Sana nakuwaza kama kweli wachumi wote wamefunga macho nakuacha haya yanatokea.
Mimi Nalia maana naamini kabisa ukiacha nguvu ya soko la Fx Yani demand and supply ikiachiwa kama Taifa hatuto weza nunua vitu nje maana USD haitokamatika na hata tukijikaza kisabuni bado uchungu utatupata siku za mbeleni kwasababu miradi yote mikubwa inatafuna hazina ya Fx na uwenda tusipo Kuwa smart tutaweza shidwa hata nunua mafuta Jambo la hatari Sana.
Mh Rais Nalia kwakuwa Una ndoto ambayo ni ndoto ya ajabu mzazi Kuwa nayo Yani unataka uhakikishe kila mradi unamaliza within 10 years na huwamini kwamba kuna MTU anaweza akamalizia na wala hakuna anaweza kufanya haya mm nalia maana hii Imani sio nzuri ktk kujenga Taifa lenye kukabizia vijiti nakuandaa watu kama ulivyo andaliwa.
Mimi nalia nalia Tanzania kama Mungu angemfufua Baba wa Taifanaimani pia angelia sana. Angelia kwakuwa angeona vile umewekeza Sana kwenye vitu kuliko watu. Tanzania ni nchi changa Sana unapowekeza kwenye miundombinu Sana secta nyingine zinadumaa na kufa kabisa.
Mimi nalia nalia na kutubu kama kweli sisi Raia wako tuliokupigia kura na tusiokupigia kura kweli unatufanya hivi, Je, twende wapi?
Mbona umetufumbua macho kiasi imani yetu juu ya Serikali inazidi kushuka.
Mungu hivi ni kweli umetusahau Watanzania ama tumekosea wapi tusamehe tusamehe Baba. Amen
Rais Baba yangu nini kimekukuta mbona siamini ninachokiona ? Taifa lipo kimya na wengi tumeshika roho zetu hofu imetushika furaha imetutoka. Ingia maofisini watu hawajuwi hatima yao ya kesho, makampuni yanapunguza watu kimya kimya huku hali yetu ni ngumu ya maisha na inaonyesha itakuwa ngumu zaidi.
Nenda kwenye bihashara pesa hakuna na hata kile kidogo wanakipata TRA wanakivuta Kwa makadirio makubwa ya Kodi watu wanafunga bihashara.
Nenda kwenye siasa Kuwa upinzani ni kuwa adui wa Taifa na wala sio kusikilizana na kujenga Taifa.
Njoo mtaani chuki inetanda umoja wakitaifa unataka kuyeyuka na watu hawapendani na kuchongeana TAKUKURU.
Rais Mimi nalia nalia kweli kuna Watu wanatutafuna kama Kuku katika banda kweli ya Libya ndio yapo hapa Tanzania?
Kweli for 5 years hakuna ajira kweli watu wanamikopo vijana hawana kazi hivi kweli na Watoto wenu hawana ajira kama Watoto wa walala hoi huku mtaani?
Mimi Nalia tena Nalia Kwa kujigarakaza kwamba tukiita audit firm zakimataifa wafanye consolidation ya miradi yote umeipanga Vs GDP growth ya Tanzania watashauri miradi mingi isiendelee maana kama Taifa na mikopo tukikopa hiyo miradi itakuwa na athari za kiuchumi za muda mrefu kwenye per capital income ya watanzania. Mimi Nalia tena Nalia Sana nakuwaza kama kweli wachumi wote wamefunga macho nakuacha haya yanatokea.
Mimi Nalia maana naamini kabisa ukiacha nguvu ya soko la Fx Yani demand and supply ikiachiwa kama Taifa hatuto weza nunua vitu nje maana USD haitokamatika na hata tukijikaza kisabuni bado uchungu utatupata siku za mbeleni kwasababu miradi yote mikubwa inatafuna hazina ya Fx na uwenda tusipo Kuwa smart tutaweza shidwa hata nunua mafuta Jambo la hatari Sana.
Mh Rais Nalia kwakuwa Una ndoto ambayo ni ndoto ya ajabu mzazi Kuwa nayo Yani unataka uhakikishe kila mradi unamaliza within 10 years na huwamini kwamba kuna MTU anaweza akamalizia na wala hakuna anaweza kufanya haya mm nalia maana hii Imani sio nzuri ktk kujenga Taifa lenye kukabizia vijiti nakuandaa watu kama ulivyo andaliwa.
Mimi nalia nalia Tanzania kama Mungu angemfufua Baba wa Taifanaimani pia angelia sana. Angelia kwakuwa angeona vile umewekeza Sana kwenye vitu kuliko watu. Tanzania ni nchi changa Sana unapowekeza kwenye miundombinu Sana secta nyingine zinadumaa na kufa kabisa.
Mimi nalia nalia na kutubu kama kweli sisi Raia wako tuliokupigia kura na tusiokupigia kura kweli unatufanya hivi, Je, twende wapi?
Mbona umetufumbua macho kiasi imani yetu juu ya Serikali inazidi kushuka.
Mungu hivi ni kweli umetusahau Watanzania ama tumekosea wapi tusamehe tusamehe Baba. Amen