Rais Magufuli, zawadi pekee kwetu ni kufanya haya

samurai

JF-Expert Member
Oct 16, 2010
11,495
24,222
Mh Rais bila shaka unajua kwa namna moja au nyingine kuna watu tulikuwa nyuma yako kukupambania uende ikulu na kuliongoza taifa hili, LENGO LETU HALIKUWA KUKUMBUKWA KWENYE UFALME WAKO,, ila zawadi kubwa tunayoihitaji kutoka kwako ni kufanya haya.

1. Kuyafunga na kuyaua majizi.

2. Kutufufulia air tanzania yetu.

3. Kufukuza,kuwafunga na kuwaua wazembe ili kupunguza uzembe kwenye taifa.

4. Kuongeza pato la taifa na kutokuwa maombaomba tena, kodi ikusanywe effectivery na
tuache ujanja ujanja.

5. Kuondoa usanii kwenye mambo ya msingi, utaifa mbele, ajiri watu active na ondoa wazembe na wapumbavu waliojaa kwenye system.

Just small twist for this 5yrs, and for the next round, its only automatic twist due to better foundation.

MKUU JPM HATUHITAJI ZAWADI NYINGINE ZAIDI YA HAYO, sisi tuliokupigania sio wanafiki ukipinda kona tunaanzisha tena vita na wewe..
 
MZEE Mag hawezi Fanya hayo yote kwani nyuma yake kuna chama chake ambacho kinaongoza kwa remote control...
 
Hakuna hata kimoja kitafanyika hapo......sanasana utaambulia preeepreee nyingi halafu basi......
Zile ziara za kushtukiza zipo wapi.......?......tulisema nguvu ya soda tukabezwa......sasa wale waliofukuzwa bandarini na TRA tuli wapo kwenye viyoyozi wanatumbua maisha.......si wana hela.......
 
Hakuna hata kimoja kitafanyika hapo......sanasana utaambulia preeepreee nyingi halafu basi......
Zile ziara za kushtukiza zipo wapi.......?......tulisema nguvu ya soda tukabezwa......sasa wale waliofukuzwa bandarini na TRA tuli wapo kwenye viyoyozi wanatumbua maisha.......si wana hela.......
Borayasifanyike aue tena watu bora Magufuli endelea baba kufanya unayoyafanya majipu mengi yanakupinga lakini wananchi wako wengi tunakuunga mkono!Kwani unayoyafanya ni kwa faida ya wengi!!
 
Bahati mbaya Muheshimiwa wengi hawakuelewa kuwa zile ziara za kushtukiza ilikuwa ni kuonyesha njia. Eti walikuwa wanategemea utaendelea kushtukiza miaka yote 5. baba utusamehe kwani we ni intelligent sasa mambo unayoyafanya na kuyasema tutayaelewa polepole.
 
Ex
Mh Rais bila shaka unajua kwa namna moja au nyingine kuna watu tulikuwa nyuma yako kukupambania uende ikulu na kuliongoza taifa hili, LENGO LETU HALIKUWA KUKUMBUKWA KWENYE UFALME WAKO,, ila zawadi kubwa tunayoihitaji kutoka kwako ni kufanya haya.
1. Kuyafunga na kuyaua majizi.
2. Kutufufulia air tanzania yetu.
3. Kufukuza,kuwafunga na kuwaua
wazembe ili kupunguza uzembe
kwenye taifa.
4. Kuongeza pato la taifa na kutokuwa
maombaomba tena,
kodi ikusanywe effectivery na
tuache ujanja ujanja.
5. Kuondoa usanii kwenye mambo ya
msingi, utaifa mbele, ajiri watu
active na ondoa wazembe na
wapumbavu waliojaa kwenye
system.

Just small twist for this 5yrs, and for the next round, its only automatic twist due to better foundation..
MKUU JPM HATUHITAJI ZAWADI NYINGINE ZAIDI YA HAYO.. sisi tuliokupigania sio wanafiki ukipinda kona tunaanzisha tena vita na wewe...
Except kwenye kuua....you spoke my mind...For God sake Mh. Rais sisi tuliokupigania hatuhitaji kitu zaidi ya hayo hapo juu.... Na kama alivyosema mimi nakazia....ukienda kinyume na dhamira yako ujue umepoteza nafasi yako uliyopewa bure na Mungu wako.

Mfalme Sauli wa Israel baada ya kukaa miaka miwili na nusu katika ufalme wake Mungu alimwondolea kiti chake kwakumuasi Mungu; japo aliendelea kukikalia kwa miaka 25 lakini utukufu wa Mungu haukuwa pamoja naye. Vivyo hivyo wawezakufanya kinyume na ukaendelea kuwepo bali mwisho wa siku utajuta kama navyohisi wengine waliofanya kinyume wanavyojuta.

Lakini naamini kabisa roho yako ina hofu ya Mungu na utaishi dhamira yako na kwahivyo utakula mema ya nchi katika nchi ya walio hai; isitoshe Bwana anakuandalia meza mbele ya madui zao. Utawakanyaga kama vumbi nao wataku salute kwamaana umechagua kufanya kazi za Mungu.

Barikiwa sana!
 
Mh Rais bila shaka unajua kwa namna moja au nyingine kuna watu tulikuwa nyuma yako kukupambania uende ikulu na kuliongoza taifa hili, LENGO LETU HALIKUWA KUKUMBUKWA KWENYE UFALME WAKO,, ila zawadi kubwa tunayoihitaji kutoka kwako ni kufanya haya.

1. Kuyafunga na kuyaua majizi.

2. Kutufufulia air tanzania yetu.

3. Kufukuza,kuwafunga na kuwaua wazembe ili kupunguza uzembe kwenye taifa.

4. Kuongeza pato la taifa na kutokuwa maombaomba tena, kodi ikusanywe effectivery na
tuache ujanja ujanja.

5. Kuondoa usanii kwenye mambo ya msingi, utaifa mbele, ajiri watu active na ondoa wazembe na wapumbavu waliojaa kwenye system.

Just small twist for this 5yrs, and for the next round, its only automatic twist due to better foundation.

MKUU JPM HATUHITAJI ZAWADI NYINGINE ZAIDI YA HAYO, sisi tuliokupigania sio wanafiki ukipinda kona tunaanzisha tena vita na wewe..
Watu mna waamini watu wale wale waliouza nyumba za serikali , walioua viwanda , waliouza mabenki yetu ...
 
Aanze Na familia yako kuua ili kuwa mfano

kama familia yangu ni moja ya familia zinazolitia taifa hasara kubwa kwa kuiba mali ya umma, kufilisi mashirika ya umma kwa maslahi binafsi,kuzorotesha huduma za kijamii kama maji,umeme na elimu kwa wao kuiba baadhi ya fedha za kazi hizi kwa maslahi binafsi basi MH MAGUFURI AWAKAMATE WOTE NA WPIGWE RISASI..hakuna namna nyingine...
 
Ex

Except kwenye kuua....you spoke my mind...For God sake Mh. Rais sisi tuliokupigania hatuhitaji kitu zaidi ya hayo hapo juu.... Na kama alivyosema mimi nakazia....ukienda kinyume na dhamira yako ujue umepoteza nafasi yako uliyopewa bure na Mungu wako.

Mfalme Sauli wa Israel baada ya kukaa miaka miwili na nusu katika ufalme wake Mungu alimwondolea kiti chake kwakumuasi Mungu; japo aliendelea kukikalia kwa miaka 25 lakini utukufu wa Mungu haukuwa pamoja naye. Vivyo hivyo wawezakufanya kinyume na ukaendelea kuwepo bali mwisho wa siku utajuta kama navyohisi wengine waliofanya kinyume wanavyojuta.

Lakini naamini kabisa roho yako ina hofu ya Mungu na utaishi dhamira yako na kwahivyo utakula mema ya nchi katika nchi ya walio hai; isitoshe Bwana anakuandalia meza mbele ya madui zao. Utawakanyaga kama vumbi nao wataku salute kwamaana umechagua kufanya kazi za Mungu.

Barikiwa sana!

bila kuwaua na kuwafunga watu kwenye majela yenye mateso makali utakuwa hujatatua matatizo ya hii nchi bado, mkuu mbinu za kisomi haziwezi tena kusaidia kutatua matatizo ya taifa na Africa kwa ujumla, watu wameshakuwa wapumbavu kupita kiasi na hawana tena hofu ya MUNGU kiasi cha kuonea huruma familia za watanzania wenzao...
 
Hakuna hata kimoja kitafanyika hapo......sanasana utaambulia preeepreee nyingi halafu basi......
Zile ziara za kushtukiza zipo wapi.......?......tulisema nguvu ya soda tukabezwa......sasa wale waliofukuzwa bandarini na TRA tuli wapo kwenye viyoyozi wanatumbua maisha.......si wana hela.......

tusimkatishe tama, tumpigie hizi kelele labda atakengeuka na kuwa upande wa wananchi na kuwatelekeza wale mabwanyenye waliozoea kuua familia za wenzao bila kuwa hata na hofu ya MUNGU...
 
Duh..., kumbe kuna watu walimshauri hivi JPM!.
P

quick assesment inaonyesha alijitahidi, kuna maeneo alikuwa muoga na busara za wazee zilimtuliza....TUNAHITAJI ATAKAYEKWENDA EXTRA MILES DHIDI YA WAPUMBAVU KUMUENZI MZEE WETU.......RIP Nzilakende..
 
Back
Top Bottom