Hapana, hayuko sawa...yuko kama alivyo Bashite. Hilo nililisema akiwa Waziri wakati wa Mkapa, nikalirudia alipokuwa Waziri wa Kikwete na nikalisema tena alipoteuliwa kugombea Urais na vipofu wa CCM. Mimi hata sijashtuka wala kumshangaa kwa kauli zake wakati wa ufunguzi wa flyovers, kinachonishangaza ni kuwaona baadhi ya Watanzania eti wakishangaa. Huwezi kupanda maharage ukavuna karanga...wachagua hovyo wasilalamike hovyo wakitendewa hovyo. Huyo ndiye Magufuli...hayuko sawa, period.Magufuli Yuko sawa Kweli?
Kwa hiyo Unadhani Tukimshika Jambazi Tunataka Tukumbuke Mema yake na Kumwachia,Kama ni Hivyo hata Amin , na Osama nao wangeachwa waendelee na Maisha yao Kwani na Wao walikuwa na Mazuri yao, Mfano Id Amin alipinga sana Makaburu wa SA na alitetea sana Harakati za Watu weusi Marekani. Hakuna asiye na Jema hata waliokuwa Wanawaua Malbino Walikuwa hawana mambo mema? Kwama mawazo yako ni sahihi basi hata Waumiani hao waachiwe. The hell Just Move on!KAMA PAMOJA NA MAMBO YOTE MAZUR ALIYOYAFANYA MAKONDA BADO UNAMUITA BINAAADAM MWENZAKO KUNGUNGUNI NA HAMNA HATA SIKU ULIOWAHI KUONA JEMA LAKE KWA JINSI MLIVO NA CHONGO SIO CHUKI NA UTAPELI WA KISIASA NINI
Hahaha!Mkuu you and I we both don't know the answer and he once said he doesn't take alcohol, who knows what if he could be taking.
Nilikuwa kabla ya Uchaguzi mkuu 2015 Nikimpenda sana Magufuli, Kiasi Tangu 2012 Nilikuwa Nikimfuatilia. Nilimheshimu sana kama mchapa Kazi asiye na Mchezo.
Wakati wa Kampeni 2015 Niliendelea kumheshimu ila Nilitaka Lowassa ashinde kwa Kuwa Niliamini Ni lazima Tanzania iwe na real Political equilibrium baada ya Miaka zaidi ya hamsini ya Utawala wa chama Kimoja.
Baada ya Uchaguzi na Jinsi Computer za Ukawa zilivyoporwa na Matokeo ya Uchaguzi wa Zanzibar Kuhujumiwa, nilitiwa kichefu chefu kiasi nilianza kumdharau kwa kutumika katika Maswala ya aibu! Lakini Nilipoona anaenda Muhimbili nusu atokwe na Machozi kwa Wamama kulala Chini, Nikaanza kuwa na Matumaini Kwake! Alipomtuma Majaliwa Pale Bandarini akamwagiza IGP ang'oke na Akina Masamaki ndio Kabisa nikasema Asante Yesu.
1)Kisha akakutana na Wazee Dar es salaam, Akamsifia Kunguni Makonda! Nilistuka sana sana.
2)Kisha akafungia Matangazo ya TBC ya Bunge kwa hila Nikastuka sana.
3)Sakata la Kuletwa Polisi wa FFU na Mbwa bungeni Kuwapiga Wabunge Likanisononosha sana!
4)Alipomchagua Mwkonda Kuwa Mkuu wa Mkoa Nikanawa Mikono Kama Pilato, Nikaanza kutilia Mashaka Judgement zake.
5)Akakataza Mahafali ya UKAWA wakati ya CCM yanafanyika kwa Nyimbo, Uniform na Bendera za Chama, Nikaanza sasa Kumdharau.
6) Akazuia amikutano ya Vyama isipokuwa Yeye tu. Nikamdharau sana!
7) Akatimua Watoto 7000 wa Masikini Kisa hawana Vyeti au sifa Huku akiwatukana.
8) Atawaagiza NHC watupe vitu vya Mbowe Nje huku akijitapa Nikaendelea kudharau sana!
9) Akasema Jecha apewe Tuzo
10) Akamsaidia Lipumba Kuvunja Ofisi za Cuf na Kuagiza apewe Ruzuku!
11) Akaagiza Lema akamatwe Kisa Lema aliona Maono kuwa Atakufa kama hatabafilika!
12) Sasa Anamtetea Makonda Mdanganyifu, na Aliyevamia Kijambazi Kituo cha Habari!
Sasa sio Tu Kuwa Maguguli namfharau, Bali Namwona kama ni hasara kwa Taifa ni Mnafiki kama Uozo, Au Makonda Kuna Mambo Machafu anamfanyia na Akimfukuza anaona siri zitatoka au Atakosa wa Kumwamini Kumtendea Mambo ya hila? Magufuli alishawahi Kusema Atauza Majengo ya Wizara Zote za Dar ili Serikali Ihamie Dodoma na anataka Kufanya hivyo Kabla ya Awamu yake ya Miaka mitano haijaisha, Isije Kuwa Lengo ni Kujipatia Kihalifu Majengo ya Wizara za Serikali zilizopo Dar!
Hivi Kweli Mtu Mwaminifu Angekuwa Rais Leo Angeruhusu Makonda hata Amtazame Usoni? Swali langu ni Kuwa Ni nini hasa Kinachowafanya wananchi wawe na imani na Rais anayemlinda Jambazi? Na Mtu anayefanya Corruption na shake up ya Kujipatia Rushwa kwa anaowayuhumu. Huu kwangu ni Wazimu na Rais wa Namna hii hatufai. Nadhani hata kama Makonda akiua mtu hadharani Huyu Mhalifu Mwenzake atamtizama tu!
Wanaccm hasa Wabunge, Msidhani hapa wanaohatibiwa ni Wapinzani! Vyama Zaidi ya Kimoja Imara ni Faida ya Kila Mbunge, Chama chako Ki!ikuonea na Kukufanyia hujuma Kama Bingine vyote Bimekufa hata kama wewe ni Mzuri kama Dhahabu Utafanya nini, Utakimbilia wapi? Kukuwepo na vyama Imara hata kukutisha wataogopa maana wanajua utahama chama na Jimbo bado utalichukua. Kama hamna Akili CCM kubalini Upinzani uuwawe, Kila Mbunge Mwenye Msimamo CCM atakuwa chini ya Rehema za Mahuguli. Mimi nadhani Kutaka CCM ife ni Upofu na Kutaka Upinzani Ufe nchini ni ujinga. Hivyo Wabunge Wote Unganeni Mumdhibiti Magufuli, kabla hamtachelewa maana Nimeshamsoma kwa Mwaka na Zaidi sasa huyu Bwana ni Kiburi, Much know na Msitegemee atabadilika kitu Bila Kumbana asiwe na Uwezo wa Kufanya hila hila zake.
kwahiyo ulitakaje? Tundulissu ndio hayuko sawa, hajui tofauti ya rais wa jmt na wa tlsNilikuwa kabla ya Uchaguzi mkuu 2015 Nikimpenda sana Magufuli, Kiasi Tangu 2012 Nilikuwa Nikimfuatilia. Nilimheshimu sana kama mchapa Kazi asiye na Mchezo.
Wakati wa Kampeni 2015 Niliendelea kumheshimu ila Nilitaka Lowassa ashinde kwa Kuwa Niliamini Ni lazima Tanzania iwe na real Political equilibrium baada ya Miaka zaidi ya hamsini ya Utawala wa chama Kimoja.
Baada ya Uchaguzi na Jinsi Computer za Ukawa zilivyoporwa na Matokeo ya Uchaguzi wa Zanzibar Kuhujumiwa, nilitiwa kichefu chefu kiasi nilianza kumdharau kwa kutumika katika Maswala ya aibu! Lakini Nilipoona anaenda Muhimbili nusu atokwe na Machozi kwa Wamama kulala Chini, Nikaanza kuwa na Matumaini Kwake! Alipomtuma Majaliwa Pale Bandarini akamwagiza IGP ang'oke na Akina Masamaki ndio Kabisa nikasema Asante Yesu.
1)Kisha akakutana na Wazee Dar es salaam, Akamsifia Kunguni Makonda! Nilistuka sana sana.
2)Kisha akafungia Matangazo ya TBC ya Bunge kwa hila Nikastuka sana.
3)Sakata la Kuletwa Polisi wa FFU na Mbwa bungeni Kuwapiga Wabunge Likanisononosha sana!
4)Alipomchagua Mwkonda Kuwa Mkuu wa Mkoa Nikanawa Mikono Kama Pilato, Nikaanza kutilia Mashaka Judgement zake.
5)Akakataza Mahafali ya UKAWA wakati ya CCM yanafanyika kwa Nyimbo, Uniform na Bendera za Chama, Nikaanza sasa Kumdharau.
6) Akazuia amikutano ya Vyama isipokuwa Yeye tu. Nikamdharau sana!
7) Akatimua Watoto 7000 wa Masikini Kisa hawana Vyeti au sifa Huku akiwatukana.
8) Atawaagiza NHC watupe vitu vya Mbowe Nje huku akijitapa Nikaendelea kudharau sana!
9) Akasema Jecha apewe Tuzo
10) Akamsaidia Lipumba Kuvunja Ofisi za Cuf na Kuagiza apewe Ruzuku!
11) Akaagiza Lema akamatwe Kisa Lema aliona Maono kuwa Atakufa kama hatabafilika!
12) Sasa Anamtetea Makonda Mdanganyifu, na Aliyevamia Kijambazi Kituo cha Habari!
Sasa sio Tu Kuwa Maguguli namfharau, Bali Namwona kama ni hasara kwa Taifa ni Mnafiki kama Uozo, Au Makonda Kuna Mambo Machafu anamfanyia na Akimfukuza anaona siri zitatoka au Atakosa wa Kumwamini Kumtendea Mambo ya hila? Magufuli alishawahi Kusema Atauza Majengo ya Wizara Zote za Dar ili Serikali Ihamie Dodoma na anataka Kufanya hivyo Kabla ya Awamu yake ya Miaka mitano haijaisha, Isije Kuwa Lengo ni Kujipatia Kihalifu Majengo ya Wizara za Serikali zilizopo Dar!
Hivi Kweli Mtu Mwaminifu Angekuwa Rais Leo Angeruhusu Makonda hata Amtazame Usoni? Swali langu ni Kuwa Ni nini hasa Kinachowafanya wananchi wawe na imani na Rais anayemlinda Jambazi? Na Mtu anayefanya Corruption na shake up ya Kujipatia Rushwa kwa anaowayuhumu. Huu kwangu ni Wazimu na Rais wa Namna hii hatufai. Nadhani hata kama Makonda akiua mtu hadharani Huyu Mhalifu Mwenzake atamtizama tu!
Wanaccm hasa Wabunge, Msidhani hapa wanaohatibiwa ni Wapinzani! Vyama Zaidi ya Kimoja Imara ni Faida ya Kila Mbunge, Chama chako Ki!ikuonea na Kukufanyia hujuma Kama Bingine vyote Bimekufa hata kama wewe ni Mzuri kama Dhahabu Utafanya nini, Utakimbilia wapi? Kukuwepo na vyama Imara hata kukutisha wataogopa maana wanajua utahama chama na Jimbo bado utalichukua. Kama hamna Akili CCM kubalini Upinzani uuwawe, Kila Mbunge Mwenye Msimamo CCM atakuwa chini ya Rehema za Mahuguli. Mimi nadhani Kutaka CCM ife ni Upofu na Kutaka Upinzani Ufe nchini ni ujinga. Hivyo Wabunge Wote Unganeni Mumdhibiti Magufuli, kabla hamtachelewa maana Nimeshamsoma kwa Mwaka na Zaidi sasa huyu Bwana ni Kiburi, Much know na Msitegemee atabadilika kitu Bila Kumbana asiwe na Uwezo wa Kufanya hila hila zake.
Kwa uwamuzi wake wa kumtetea Makonda Rais Magufuli hawezi kutetea haki alikuwa anatudanganya kama hawa wengine. Sina imani na Huyu Rais ati at Aleta mabadiliko, hawezi hata kidogo kwa uwamuxi wake wa jeuri kama Kuwa Rais ni kama tumemuuzia nchi. Kwa kuwa Tanzania ni yetu wote sitaacha kukutetea haki.
mawazo ya kijingaHivi Mungu hawezi Kufanya hii Manuva kwenye Gulfstream, Akatwanga Kwenye Tank, Namkumbuka Rip J. Damian Komba Nyie! ..... " Ndugu Watanzania Leo yametimiaaaaa , Yalioandikwa na Mwenyezi Mungu.... Taifaaaa Lahuzunikaaa, Duniaaa yahuzunikaaa... Hebu na Mimi Niache kumba Nyimbo za Huzuni! ... Usishangae Mitaani Njemba zikaimba Bambambabam babam Eeeeee Kidedea!
mbona hujaandika la mbowe kumkimbia mkemia mkuu?Nilikuwa kabla ya Uchaguzi mkuu 2015 Nikimpenda sana Magufuli, Kiasi Tangu 2012 Nilikuwa Nikimfuatilia. Nilimheshimu sana kama mchapa Kazi asiye na Mchezo.
Wakati wa Kampeni 2015 Niliendelea kumheshimu ila Nilitaka Lowassa ashinde kwa Kuwa Niliamini Ni lazima Tanzania iwe na real Political equilibrium baada ya Miaka zaidi ya hamsini ya Utawala wa chama Kimoja.
Baada ya Uchaguzi na Jinsi Computer za Ukawa zilivyoporwa na Matokeo ya Uchaguzi wa Zanzibar Kuhujumiwa, nilitiwa kichefu chefu kiasi nilianza kumdharau kwa kutumika katika Maswala ya aibu! Lakini Nilipoona anaenda Muhimbili nusu atokwe na Machozi kwa Wamama kulala Chini, Nikaanza kuwa na Matumaini Kwake! Alipomtuma Majaliwa Pale Bandarini akamwagiza IGP ang'oke na Akina Masamaki ndio Kabisa nikasema Asante Yesu.
1)Kisha akakutana na Wazee Dar es salaam, Akamsifia Kunguni Makonda! Nilistuka sana sana.
2)Kisha akafungia Matangazo ya TBC ya Bunge kwa hila Nikastuka sana.
3)Sakata la Kuletwa Polisi wa FFU na Mbwa bungeni Kuwapiga Wabunge Likanisononosha sana!
4)Alipomchagua Mwkonda Kuwa Mkuu wa Mkoa Nikanawa Mikono Kama Pilato, Nikaanza kutilia Mashaka Judgement zake.
5)Akakataza Mahafali ya UKAWA wakati ya CCM yanafanyika kwa Nyimbo, Uniform na Bendera za Chama, Nikaanza sasa Kumdharau.
6) Akazuia amikutano ya Vyama isipokuwa Yeye tu. Nikamdharau sana!
7) Akatimua Watoto 7000 wa Masikini Kisa hawana Vyeti au sifa Huku akiwatukana.
8) Atawaagiza NHC watupe vitu vya Mbowe Nje huku akijitapa Nikaendelea kudharau sana!
9) Akasema Jecha apewe Tuzo
10) Akamsaidia Lipumba Kuvunja Ofisi za Cuf na Kuagiza apewe Ruzuku!
11) Akaagiza Lema akamatwe Kisa Lema aliona Maono kuwa Atakufa kama hatabafilika!
12) Sasa Anamtetea Makonda Mdanganyifu, na Aliyevamia Kijambazi Kituo cha Habari!
Sasa sio Tu Kuwa Maguguli namfharau, Bali Namwona kama ni hasara kwa Taifa ni Mnafiki kama Uozo, Au Makonda Kuna Mambo Machafu anamfanyia na Akimfukuza anaona siri zitatoka au Atakosa wa Kumwamini Kumtendea Mambo ya hila? Magufuli alishawahi Kusema Atauza Majengo ya Wizara Zote za Dar ili Serikali Ihamie Dodoma na anataka Kufanya hivyo Kabla ya Awamu yake ya Miaka mitano haijaisha, Isije Kuwa Lengo ni Kujipatia Kihalifu Majengo ya Wizara za Serikali zilizopo Dar!
Hivi Kweli Mtu Mwaminifu Angekuwa Rais Leo Angeruhusu Makonda hata Amtazame Usoni? Swali langu ni Kuwa Ni nini hasa Kinachowafanya wananchi wawe na imani na Rais anayemlinda Jambazi? Na Mtu anayefanya Corruption na shake up ya Kujipatia Rushwa kwa anaowayuhumu. Huu kwangu ni Wazimu na Rais wa Namna hii hatufai. Nadhani hata kama Makonda akiua mtu hadharani Huyu Mhalifu Mwenzake atamtizama tu!
Wanaccm hasa Wabunge, Msidhani hapa wanaohatibiwa ni Wapinzani! Vyama Zaidi ya Kimoja Imara ni Faida ya Kila Mbunge, Chama chako Ki!ikuonea na Kukufanyia hujuma Kama Bingine vyote Bimekufa hata kama wewe ni Mzuri kama Dhahabu Utafanya nini, Utakimbilia wapi? Kukuwepo na vyama Imara hata kukutisha wataogopa maana wanajua utahama chama na Jimbo bado utalichukua. Kama hamna Akili CCM kubalini Upinzani uuwawe, Kila Mbunge Mwenye Msimamo CCM atakuwa chini ya Rehema za Mahuguli. Mimi nadhani Kutaka CCM ife ni Upofu na Kutaka Upinzani Ufe nchini ni ujinga. Hivyo Wabunge Wote Unganeni Mumdhibiti Magufuli, kabla hamtachelewa maana Nimeshamsoma kwa Mwaka na Zaidi sasa huyu Bwana ni Kiburi, Much know na Msitegemee atabadilika kitu Bila Kumbana asiwe na Uwezo wa Kufanya hila hila zake.
"Mbona" sio Lugha ya Utetezi au Argumentation. Futa kabisa Neno hilo ni la Kijinga mno limebakishwa tu kwa mabishano ya Watoto wa chekechea!mbona hujaandika la mbowe kumkimbia mkemia mkuu?
Mkuu Marandu usisahau pia kuwa kwa matukio ya wiki chache zilizopita Tanzania iko iko kwenye "psychological crisis". Kwanza kulikuwa na issue ya uhakiki wa vyeti Tanzania nzima, hatma ya zoezi hili haieleweki na hatuelezwi kwa nini? Ikaja issue ya madawa ya kulevya, ikaanza kutiliwa mashaka sana pale watu kama TID na Wema Sepetu kuanza kukamatwa kwa mbwembwe, hatma ya "vita" hii nayo iko mashakani. Tatu imekuja issue ya uadilifu wa kutiliwa mashaka wa baadhi ya viongozi wetu wakuu. Sakata hili nalo bado halina majibu na kwa bahati mbaya sana limeachwa "lielee" kwenye vichwa vya watanzania na kila kukicha linazua maswali na sintofahamu nyingi? At least Mheshimiwa Nape Nauye ameonyesha ukomavu wa uongozi kwa kuunda tume kitu ambacho kingefanyika kwenye masuala hayo hapo juu angalau kuleta matumaini kwamba serikali inachukua hatua. Ombi langu kwa Viongozi wenye dhamana, leo utafiti umeonyesha Watanzania ni kati ya watu wasiokuwa na furaha ya maisha duniani (Ni kati ya nchi tatu za mwisho duniani ya kwanza ikiwa Norway), chonde chonde kaeni chini na mtafakari kwa kina hii hali hatarishi ya sintofahamu na muipatie ufumbuzi wa kudumu ili watanzania wajue kesho maisha mazuri zaidi yanakuja. Niwatakie kila la heri!Nilikuwa kabla ya Uchaguzi mkuu 2015 Nikimpenda sana Magufuli, Kiasi Tangu 2012 Nilikuwa Nikimfuatilia. Nilimheshimu sana kama mchapa Kazi asiye na Mchezo.
Wakati wa Kampeni 2015 Niliendelea kumheshimu ila Nilitaka Lowassa ashinde kwa Kuwa Niliamini Ni lazima Tanzania iwe na real Political equilibrium baada ya Miaka zaidi ya hamsini ya Utawala wa chama Kimoja.
Baada ya Uchaguzi na Jinsi Computer za Ukawa zilivyoporwa na Matokeo ya Uchaguzi wa Zanzibar Kuhujumiwa, nilitiwa kichefu chefu kiasi nilianza kumdharau kwa kutumika katika Maswala ya aibu! Lakini Nilipoona anaenda Muhimbili nusu atokwe na Machozi kwa Wamama kulala Chini, Nikaanza kuwa na Matumaini Kwake! Alipomtuma Majaliwa Pale Bandarini akamwagiza IGP ang'oke na Akina Masamaki ndio Kabisa nikasema Asante Yesu.
1)Kisha akakutana na Wazee Dar es salaam, Akamsifia Kunguni Makonda! Nilistuka sana sana.
2)Kisha akafungia Matangazo ya TBC ya Bunge kwa hila Nikastuka sana.
3)Sakata la Kuletwa Polisi wa FFU na Mbwa bungeni Kuwapiga Wabunge Likanisononosha sana!
4)Alipomchagua Mwkonda Kuwa Mkuu wa Mkoa Nikanawa Mikono Kama Pilato, Nikaanza kutilia Mashaka Judgement zake.
5)Akakataza Mahafali ya UKAWA wakati ya CCM yanafanyika kwa Nyimbo, Uniform na Bendera za Chama, Nikaanza sasa Kumdharau.
6) Akazuia amikutano ya Vyama isipokuwa Yeye tu. Nikamdharau sana!
7) Akatimua Watoto 7000 wa Masikini Kisa hawana Vyeti au sifa Huku akiwatukana.
8) Atawaagiza NHC watupe vitu vya Mbowe Nje huku akijitapa Nikaendelea kudharau sana!
9) Akasema Jecha apewe Tuzo
10) Akamsaidia Lipumba Kuvunja Ofisi za Cuf na Kuagiza apewe Ruzuku!
11) Akaagiza Lema akamatwe Kisa Lema aliona Maono kuwa Atakufa kama hatabafilika!
12) Sasa Anamtetea Makonda Mdanganyifu, na Aliyevamia Kijambazi Kituo cha Habari!
Sasa sio Tu Kuwa Maguguli namfharau, Bali Namwona kama ni hasara kwa Taifa ni Mnafiki kama Uozo, Au Makonda Kuna Mambo Machafu anamfanyia na Akimfukuza anaona siri zitatoka au Atakosa wa Kumwamini Kumtendea Mambo ya hila? Magufuli alishawahi Kusema Atauza Majengo ya Wizara Zote za Dar ili Serikali Ihamie Dodoma na anataka Kufanya hivyo Kabla ya Awamu yake ya Miaka mitano haijaisha, Isije Kuwa Lengo ni Kujipatia Kihalifu Majengo ya Wizara za Serikali zilizopo Dar!
Hivi Kweli Mtu Mwaminifu Angekuwa Rais Leo Angeruhusu Makonda hata Amtazame Usoni? Swali langu ni Kuwa Ni nini hasa Kinachowafanya wananchi wawe na imani na Rais anayemlinda Jambazi? Na Mtu anayefanya Corruption na shake up ya Kujipatia Rushwa kwa anaowayuhumu. Huu kwangu ni Wazimu na Rais wa Namna hii hatufai. Nadhani hata kama Makonda akiua mtu hadharani Huyu Mhalifu Mwenzake atamtizama tu!
Wanaccm hasa Wabunge, Msidhani hapa wanaohatibiwa ni Wapinzani! Vyama Zaidi ya Kimoja Imara ni Faida ya Kila Mbunge, Chama chako Ki!ikuonea na Kukufanyia hujuma Kama Bingine vyote Bimekufa hata kama wewe ni Mzuri kama Dhahabu Utafanya nini, Utakimbilia wapi? Kukuwepo na vyama Imara hata kukutisha wataogopa maana wanajua utahama chama na Jimbo bado utalichukua. Kama hamna Akili CCM kubalini Upinzani uuwawe, Kila Mbunge Mwenye Msimamo CCM atakuwa chini ya Rehema za Mahuguli. Mimi nadhani Kutaka CCM ife ni Upofu na Kutaka Upinzani Ufe nchini ni ujinga. Hivyo Wabunge Wote Unganeni Mumdhibiti Magufuli, kabla hamtachelewa maana Nimeshamsoma kwa Mwaka na Zaidi sasa huyu Bwana ni Kiburi, Much know na Msitegemee atabadilika kitu Bila Kumbana asiwe na Uwezo wa Kufanya hila hila zake.
mkuu hilo ni jalamba la 2020, dar lazima pachimbike lengo ni kulirudisha jiji mikononi mwetu hapo na rais atakuwa dom, lazima mkome.Mkuu Marandu usisahau pia kuwa kwa matukio ya wiki chache zilizopita Tanzania iko iko kwenye "psychological crisis". Kwanza kulikuwa na issue ya uhakiki wa vyeti Tanzania nzima, hatma ya zoezi hili haieleweki na hatuelezwi kwa nini? Ikaja issue ya madawa ya kulevya, ikaanza kutiliwa mashaka sana pale watu kama TID na Wema Sepetu kuanza kukamatwa kwa mbwembwe, hatma ya "vita" hii nayo iko mashakani. Tatu imekuja issue ya uadilifu wa kutiliwa mashaka wa baadhi ya viongozi wetu wakuu. Sakata hili nalo bado halina majibu na kwa bahati mbaya sana limeachwa "lielee" kwenye vichwa vya watanzania na kila kukicha linazua maswali na sintofahamu nyingi? At least Mheshimiwa Nape Nauye ameonyesha ukomavu wa uongozi kwa kuunda tume kitu ambacho kingefanyika kwenye masuala hayo hapo juu angalau kuleta matumaini kwamba serikali inachukua hatua. Ombi langu kwa Viongozi wenye dhamana, leo utafiti umeonyesha Watanzania ni kati ya watu wasiokuwa na furaha ya maisha duniani (Ni kati ya nchi tatu za mwisho duniani ya kwanza ikiwa Norway), chonde chonde kaeni chini na mtafakari kwa kina hii hali hatarishi ya sintofahamu na muipatie ufumbuzi wa kudumu ili watanzania wajue kesho maisha mazuri zaidi yanakuja. Niwatakie kila la heri!
Hivi Mungu hawezi Kufanya hii Manuva kwenye Gulfstream, Akatwanga Kwenye Tank, Namkumbuka Rip J. Damian Komba Nyie! ..... " Ndugu Watanzania Leo yametimiaaaaa , Yalioandikwa na Mwenyezi Mungu.... Taifaaaa Lahuzunikaaa, Duniaaa yahuzunikaaa... Hebu na Mimi Niache kumba Nyimbo za Huzuni! ... Usishangae Mitaani Njemba zikaimba Bambambabam babam Eeeeee Kidedea!
Hivyo ni vionjo tu..picha kamili lipo.Nilikuwa kabla ya Uchaguzi mkuu 2015 Nikimpenda sana Magufuli, Kiasi Tangu 2012 Nilikuwa Nikimfuatilia. Nilimheshimu sana kama mchapa Kazi asiye na Mchezo.
Wakati wa Kampeni 2015 Niliendelea kumheshimu ila Nilitaka Lowassa ashinde kwa Kuwa Niliamini Ni lazima Tanzania iwe na real Political equilibrium baada ya Miaka zaidi ya hamsini ya Utawala wa chama Kimoja.
Baada ya Uchaguzi na Jinsi Computer za Ukawa zilivyoporwa na Matokeo ya Uchaguzi wa Zanzibar Kuhujumiwa, nilitiwa kichefu chefu kiasi nilianza kumdharau kwa kutumika katika Maswala ya aibu! Lakini Nilipoona anaenda Muhimbili nusu atokwe na Machozi kwa Wamama kulala Chini, Nikaanza kuwa na Matumaini Kwake! Alipomtuma Majaliwa Pale Bandarini akamwagiza IGP ang'oke na Akina Masamaki ndio Kabisa nikasema Asante Yesu.
1)Kisha akakutana na Wazee Dar es salaam, Akamsifia Kunguni Makonda! Nilistuka sana sana.
2)Kisha akafungia Matangazo ya TBC ya Bunge kwa hila Nikastuka sana.
3)Sakata la Kuletwa Polisi wa FFU na Mbwa bungeni Kuwapiga Wabunge Likanisononosha sana!
4)Alipomchagua Mwkonda Kuwa Mkuu wa Mkoa Nikanawa Mikono Kama Pilato, Nikaanza kutilia Mashaka Judgement zake.
5)Akakataza Mahafali ya UKAWA wakati ya CCM yanafanyika kwa Nyimbo, Uniform na Bendera za Chama, Nikaanza sasa Kumdharau.
6) Akazuia amikutano ya Vyama isipokuwa Yeye tu. Nikamdharau sana!
7) Akatimua Watoto 7000 wa Masikini Kisa hawana Vyeti au sifa Huku akiwatukana.
8) Atawaagiza NHC watupe vitu vya Mbowe Nje huku akijitapa Nikaendelea kudharau sana!
9) Akasema Jecha apewe Tuzo
10) Akamsaidia Lipumba Kuvunja Ofisi za Cuf na Kuagiza apewe Ruzuku!
11) Akaagiza Lema akamatwe Kisa Lema aliona Maono kuwa Atakufa kama hatabafilika!
12) Sasa Anamtetea Makonda Mdanganyifu, na Aliyevamia Kijambazi Kituo cha Habari!
Sasa sio Tu Kuwa Maguguli namfharau, Bali Namwona kama ni hasara kwa Taifa ni Mnafiki kama Uozo, Au Makonda Kuna Mambo Machafu anamfanyia na Akimfukuza anaona siri zitatoka au Atakosa wa Kumwamini Kumtendea Mambo ya hila? Magufuli alishawahi Kusema Atauza Majengo ya Wizara Zote za Dar ili Serikali Ihamie Dodoma na anataka Kufanya hivyo Kabla ya Awamu yake ya Miaka mitano haijaisha, Isije Kuwa Lengo ni Kujipatia Kihalifu Majengo ya Wizara za Serikali zilizopo Dar!
Hivi Kweli Mtu Mwaminifu Angekuwa Rais Leo Angeruhusu Makonda hata Amtazame Usoni? Swali langu ni Kuwa Ni nini hasa Kinachowafanya wananchi wawe na imani na Rais anayemlinda Jambazi? Na Mtu anayefanya Corruption na shake up ya Kujipatia Rushwa kwa anaowayuhumu. Huu kwangu ni Wazimu na Rais wa Namna hii hatufai. Nadhani hata kama Makonda akiua mtu hadharani Huyu Mhalifu Mwenzake atamtizama tu!
Wanaccm hasa Wabunge, Msidhani hapa wanaohatibiwa ni Wapinzani! Vyama Zaidi ya Kimoja Imara ni Faida ya Kila Mbunge, Chama chako Ki!ikuonea na Kukufanyia hujuma Kama Bingine vyote Bimekufa hata kama wewe ni Mzuri kama Dhahabu Utafanya nini, Utakimbilia wapi? Kukuwepo na vyama Imara hata kukutisha wataogopa maana wanajua utahama chama na Jimbo bado utalichukua. Kama hamna Akili CCM kubalini Upinzani uuwawe, Kila Mbunge Mwenye Msimamo CCM atakuwa chini ya Rehema za Mahuguli. Mimi nadhani Kutaka CCM ife ni Upofu na Kutaka Upinzani Ufe nchini ni ujinga. Hivyo Wabunge Wote Unganeni Mumdhibiti Magufuli, kabla hamtachelewa maana Nimeshamsoma kwa Mwaka na Zaidi sasa huyu Bwana ni Kiburi, Much know na Msitegemee atabadilika kitu Bila Kumbana asiwe na Uwezo wa Kufanya hila hila zake.