Namshukuru Mungu kwa nafasi hii.
Napenda kushare kile nachojua kuhusu Corona na ushauri wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Magufuli.
Nathani, Rais ameongea lugha ngumu kwa maneno rahisi. Raisi, alipaswa kutulia na kuongea na taifa kwa upole katika yale atakayofanya au anayofanya katika wakati mgumu sana katika taifa. Haya ni machache kwa haraka ambayo naomba kutoa ushauri.
Kuhusu Covid 19.
1.Tunajua kuwa its lab created virus.
2. It's contagious and deadly.
3. Inaua.
Nini tufanye.....
Swala la Rais kutoa watu kule kwenye lab ni sawa kabisa. Naamini hilo suala ni suala la national security na ndio maana raisi hapa nampa heko katika kufuatilia kile kinachoendelea huko. Alichopata wote tunajua. Baadhi ya wapumbavu wamebeza lakini Rais ametumia akili ya ziada sana.
Hawa watu lazima wachunguzwe nje ndani. Hawa ndio wanaweza kuwa maagent wa wakoloni na wale wasiotaka kheri katika dunia na africa kwa ujumla.
Pia nashauri kwa raisi, jeshi letu lazima liwe tayari kwaajili ya bio attacks. Hii ni vita sio bahati mbaya.
Nashauri uunde bodi au committee ya ushauri na maendeleo ya huuu ugonjwa. Lazima tu-control data zozote zinazotoka nje kwenye media. Vituo vya habari viache kutangaza covid na wagonjwa wake kila mara. Bali vizidi kutoa habari na kufundisha kuhsuu usafi wa mikono na kuvaa barokoa.
Nashauri, tupunguze msongamano popote hata kwenye miji. Shughuli ziendele.
Nashauri tusiagize kifaa hata kimoja kutoka china au marekani wala popote. Na raia wao wapimwe na wakae quarantines hata baada ya hichi kizaa kuisha.
Tusikubali chanjo ya aina yoyote ile. Bali tuzingatie usafi na social distancing kwa wakti huu.
Kila mkoa iwe kwenye total lockdown na kupima kila mmoja kwa ngazi ya nyumba kumi kumo mpaka kijij hadi tarafa. Upate uhalisi wa tatizo na nini kifanyike.
Data sio lazima ziwe published kwa wazungu wala who.
Nashauri jeshi lisimamie kazi hii pamoja na vikosi vya usalama.
Lazima waafrica tujiamini na kujisimamia wenyewe. Ni wakati na muda umefika wa kukataa wazungu na wachina. Sisi tunaweza wenyewe.
Napenda kushare kile nachojua kuhusu Corona na ushauri wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Magufuli.
Nathani, Rais ameongea lugha ngumu kwa maneno rahisi. Raisi, alipaswa kutulia na kuongea na taifa kwa upole katika yale atakayofanya au anayofanya katika wakati mgumu sana katika taifa. Haya ni machache kwa haraka ambayo naomba kutoa ushauri.
Kuhusu Covid 19.
1.Tunajua kuwa its lab created virus.
2. It's contagious and deadly.
3. Inaua.
Nini tufanye.....
Swala la Rais kutoa watu kule kwenye lab ni sawa kabisa. Naamini hilo suala ni suala la national security na ndio maana raisi hapa nampa heko katika kufuatilia kile kinachoendelea huko. Alichopata wote tunajua. Baadhi ya wapumbavu wamebeza lakini Rais ametumia akili ya ziada sana.
Hawa watu lazima wachunguzwe nje ndani. Hawa ndio wanaweza kuwa maagent wa wakoloni na wale wasiotaka kheri katika dunia na africa kwa ujumla.
Pia nashauri kwa raisi, jeshi letu lazima liwe tayari kwaajili ya bio attacks. Hii ni vita sio bahati mbaya.
Nashauri uunde bodi au committee ya ushauri na maendeleo ya huuu ugonjwa. Lazima tu-control data zozote zinazotoka nje kwenye media. Vituo vya habari viache kutangaza covid na wagonjwa wake kila mara. Bali vizidi kutoa habari na kufundisha kuhsuu usafi wa mikono na kuvaa barokoa.
Nashauri, tupunguze msongamano popote hata kwenye miji. Shughuli ziendele.
Nashauri tusiagize kifaa hata kimoja kutoka china au marekani wala popote. Na raia wao wapimwe na wakae quarantines hata baada ya hichi kizaa kuisha.
Tusikubali chanjo ya aina yoyote ile. Bali tuzingatie usafi na social distancing kwa wakti huu.
Kila mkoa iwe kwenye total lockdown na kupima kila mmoja kwa ngazi ya nyumba kumi kumo mpaka kijij hadi tarafa. Upate uhalisi wa tatizo na nini kifanyike.
Data sio lazima ziwe published kwa wazungu wala who.
Nashauri jeshi lisimamie kazi hii pamoja na vikosi vya usalama.
Lazima waafrica tujiamini na kujisimamia wenyewe. Ni wakati na muda umefika wa kukataa wazungu na wachina. Sisi tunaweza wenyewe.