Rais Magufuli, wewe ni mwanaume

Rais Magufuli, wewe ni mwanaume

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
886
Reaction score
664
Tuko katika vita na kama ilivyo kawaida ya Watanzania umoja wetu ndiyo nguvu yetu. Umedhihirisha kwamba wewe ni jemedari hodari katika hili.

Ulimwengu mzima unatafuta kujua huyu Magufuli ni wa aina gani? Vitabu vya historia vitaandika habari zako kama mtu shujaa wa karne.

Naamini COVID19 itapita na Tanzania itabaki salama na heshima kubwa. Mungu anayeishi hasemi uongo, alisema niiteni nami nitaitika. Mungu amesikia kilio chetu atajibu nasi tutamtukuza, vile mataifa wanavyotuombea matokeo hasi ndivyo Mungu atakavyo jitukuza katika kutufanikisha katika mema.

Magufuli tunakuamini wala usivunjike moyo kwa kelele zinazopigwa. Weka pamba masikioni songa mbele uuone utukufu a Mungu. Huyo anayekufa sasa anakufa kwa wakati wake na mwisho wa siku maisha yanaendelea.

Wakati wa vita hatutaji majeruhi wala waliokufa vitani, tutafanya hiyo hesabu tukishashinda vita. Wewe tuhimize kuingia kwenye mahandaki tushishambuliwe. Ukiona kuna mtu anafanyia mzaha vita msaidie kuwa kimya tutaombana msamaha mwisho wa safari ya vita.

Wewe uliandaliwa wakati wa sasa, wakati muafaka kwa kusudi maalum. Nawaza kimoyomoyo angelikuwa mwingine ambaye anaweza kusukumwa na kila upepo tungekuwa wapi.

Wewe ni mwanaume, big up tuko nyuma yako. Natamani nikapande Mlima Kilimanjaro niwaambie marais wote wa Afrika, woga wetu ndio umaskini wetu wachukue mfano kwako

Long live Magufuli.
 
Sawa, Wimbo ungetuambia vile korona itakavyopita ingependeza kweli. Kuna watu kama wewe walisema ukimwi nao utapita, kudadeki dude tunalo mpaka leo, ingawaje kuna kondomu na arv zinatupa jeuri. Sasa hili la corona wewe umeona litapitaje pitaje mwenzetu? Kuufumba mdomo haufanyi uache kunuka.
 
Mie nadhani ungekuja hapa na ratiba lini unategemea kupanda huo mlima Kilimanjaro uwatangazie watu kuwa Magufuli ni "mwaume"! Au ungepanda kwanza ndo ukaja na Tambo hizi
 
Sawa, Wimbo ungetuambia vile korona itakavyopita ingependeza kweli. Kuna watu kama wewe walisema ukimwi nao utapita, kudadeki dude tunalo mpaka leo, ingawaje kuna kondomu na arv zinatupa jeuri. Sasa hili la corona wewe umeona litapitaje pitaje mwenzetu? Kuufumba mdomo haufanyi uache kunuka.
Ukimwi wa sasa tofauti na ule wa 1982 Mungu aliruhusu ili tujirekebishe, tunafahamu jinsi wahaya (kumradhi) walikuwa wanafanya biashara registered kabisa ya Ngono ukaanzia huko huko alidhani tutajitambua kumbe vichwa ngumu, ameruhusu wababe wamejitengenezea wembe wa kuwakata wenyewe maana unafagia na unajua kwa nini watu wazima wanahusika kwa sana wsmeyatazama maovu yakitendeka na hawakukemea, wababe hao mwanaume kusimama kadamnasi na kusema " I want to introduce to you my husband " mwanaume mwenzie kwao ni ufahali, Mungu asikasilike kwa nini!? mmesahau ya sodoma na gomora, sisi ni kaupepo kanatupitia tu siyo walengwa wa maangamizo haya wala tusiogope.
 
Ukimwi wa sasa tofauti na ule wa 1982 Mungu aliruhusu ili tujirekebishe, tunafahamu jinsi wahaya (kumradhi) walikuwa wanafanya biashara registered kabisa ya Ngono ukaanzia huko huko alidhani tutajitambua kumbe vichwa ngumu, ameruhusu wababe wamejitengenezea wembe wa kuwakata wenyewe maana unafagia na unajua kwa nini watu wazima wanahusika kwa sana wsmeyatazama maovu yakitendeka na hawakukemea, wababe hao mwanaume kusimama kadamnasi na kusema " I want to introduce to you my husband " mwanaume mwenzie kwao ni ufahali, Mungu asikasilike kwa nini!? mmesahau ya sodoma na gomora, sisi ni kaupepo kanatupitia tu siyo walengwa wa maangamizo haya wala tusiogope.
Swali langu la msingi ni hili "Sasa hili la corona wewe umeona litapitaje pitaje mwenzetu? "
 
Swali langu la msingi ni hili "Sasa hili la corona wewe umeona litapitaje pitaje mwenzetu? "
Usipovaa barakoa jeneza
Usipotumia vitakasa mikono jeneza
Ukidharau na kuifanya corona kuwa kiki ya kisiasa jeneza
Usipojiongeza kwa kukwepa mikusanyiko jeneza.
 
Usipovaa barakoa jeneza
Usipotumia vitakasa mikono jeneza
Ukidharau na kuifanya corona kuwa kiki ya kisiasa jeneza
Usipojiongeza kwa kukwepa mokusanyiko jeneza.
Navaa barakoa ili nijikinge na MWENYE CORONA
Naosha mikono nisije kushika virusi vilivyotoka kwa MWENYE CORONA
Sidharau na wala siifanyi kiki ya kisiasa ili nijikinge na MWENYE CORONA
Sikusanyiki kwasababu sitaki nikaribiane na MWENYE CORONA.

Swali. Wewe kwa mtazamo wako, ni upi mkakati uliopo unaotekelezwa kwa nguvu zote kumsaidia huyu MWENYE CORONA au tunasubiri wafe wote ndipo maisha yaendelee?
 
Navaa barakoa ili nijikinge na MWENYE CORONA
Naosha mikono nisije kushika virusi vilivyotoka kwa MWENYE CORONA
Sidharau na wala siifanyi kiki ya kisiasa ili nijikinge na MWENYE CORONA
Sikusanyiki kwasababu sitaki nikaribiane na MWENYE CORONA.

Swali. Wewe kwa mtazamo wako, ni upi mkakati uliopo unaotekelezwa kwa nguvu zote kumsaidia huyu MWENYE CORONA au tunasubiri wafe wote ndipo maisha yaendelee?

Huyu mwenye Corovid angekuwa msikivu kama wewe asingepata covid19 sasa kwa kuwa ameipata
Afuate maekekezo ili asiwaambukize wengine pili jitihada za serikali za kutafuta dawa za kufubaza zinafanyika zikiwemo na jitihada binafsi za kujifukiza ili kupigania uhai. Dhambi kubwa ni kukata tamaa na hapa niwaombe Watz tusihamishie lawama za uzembe wetu kwa watu wengine waganga na manesi ni binadamu kujikinga ni jukumu letu sote. Tukizembea kufa kunatuhusu after all kufa ni fungu la kila mwanadamu, atakaye kuishi sana ajikinge na uovu na kufuata kanuni za afya.
 
Huyu mwenye Corovid angekuwa msikivu kama wewe asingrpata covid19 sasa kwa kuwa ameipata
Afuate markekezo ili asiwaambukize wengine pili jitihada za serikali za kutafuta dawa za kufubaza zinafanyika zikiwemo na jitihada binafsi za kujifukiza ili kupigania uhai. Dhambi kubwa in kukata tamaa na hapa niwaombe Watz tusihamishie lawama za uzembe wetu kwa watu wengine waganga na manesi ni binadamu kujikinga ni jukumu letu sote. Tukizembea kufa kunatuhusu after all kufa in kila fungi la mwanadamu, atakaye kuishi sana ajikinge na uovu na kufuata kanuni za afya.
Ngoja nikusaidie, mimi ukiniuliza,

Ni upi mkakati uliopo wa kuhakikisha nishati ya umeme inapatikana nchi nzima na inakuwa ya uhakika?

Jibu langu ni moja tu, serikali inatekeleza mradi wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station wenye gharama ya dola za kimarekani bilioni 3.9 ambao ukikamilika utazalisha umeme wenye Gigawatt hours 5,920. Huo ndio mkakati uliopo.

Sasa kwa mujibu wa maelezo yako, huo mkakati wa corona hata wewe huoni, hiyo dawa ya kufubaza obvious unarefer kikombe cha madagasca, kama nchi tumebakia kumwomba Mungu na kujifukiza, una corona hujijui, huna corona hujijui, unaambiwa subiri uonyeshe dalili, zikianza dalili ukienda hospitali unaambiwa majibu yako fuata kesho, usiku unafia guest.
 
Tuko katika vita na kama ilivyo kawaida ya Watanzania umoja wetu ndiyo nguvu yetu. Umedhihirisha kwamba wewe ni jemedari hodari katika hili.

Ulimwengu mzima unatafuta kujua huyu Magufuli ni wa aina gani? Vitabu vya historia vitaandika habari zako kama mtu shujaa Wa karne.

Naamini COVID19 itapita na Tanzania itabaki salama na heshima kubwa. Mungu anayeishi hasemi uongo, alisema niiteni nami nitaitika. Mungu amesikia kilio chetu atajibu nasi tutamtukuza, vile mataifa wanavyotuombea matokeo hasi ndivyo Mungu atakavyo
jitukuza katika kutufanikisha katika mema.

Magufuli tunakuamini wala usivunjike moyo kwa kelele zinazopigwa. Weka pamba masikioni songa mbele uuone utukufu a Mungu. Huyo anayekufa sasa anakufa kwa wakati wake na mwisho wa siku maisha yanaendelea.

Wakati wa vita hatutaji majeruhi wala waliokufa vitani, tutafanya hiyo hesabu tukishashinda vita. Wewe tuhimize kuingia kwenye mahandaki tushishambuliwe. Ukiona kuna mtu anafanyia mzaha vita msaidie kuwa kimya tutaombana msamaha mwisho wa safari ya vita.

Wewe uliandaliwa wakati wa sasa, wakati muafaka kwa kusudi maalum. Nawaza kimoyomoyo angelikuwa mwingine ambaye anaweza kusukumwa na kila upepo tungekuwa wapi.

Wewe ni mwanaume, bigup tuko nyuma yako. Natamani nikapande Mlima Kilimanjaro niwaambie marais wote wa Afrika, woga wetu ndio umaskini wetu wachukue mfano kwako.

Long live Magufuli.

Which makes you mwanamke?

Hii nchi tuna shida kubwa zaidi ya mawe!
 
Usipovaa barakoa jeneza
Usipotumia vitakasa mikono jeneza
Ukidharau na kuifanya corona kuwa kiki ya kisiasa jeneza
Usipojiongeza kwa kukwepa mikusanyiko jeneza.
Umesahau kuvaa miwani maana corona inapita machoni....wew tushakuzika
 
Ngoja nikusaidie, mimi ukiniuliza,

Ni upi mkakati uliopo wa kuhakikisha nishati ya umeme inapatikana nchi nzima na inakuwa ya uhakika?

Jibu langu ni moja tu, serikali inatekeleza mradi wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station wenye gharama ya dola za kimarekani bilioni 3.9 ambao ukikamilika utazalisha umeme wenye Gigawatt hours 5,920. Huo ndio mkakati uliopo.

Sasa kwa mujibu wa maelezo yako, huo mkakati wa corona hata wewe huoni, hiyo dawa ya kufubaza obvious unarefer kikombe cha madagasca, kama nchi tumebakia kumwomba Mungu na kujifukiza, una corona hujijui, huna corona hujijui, unaambiwa subiri uonyeshe dalili, zikianza dalili ukienda hospitali unaambiwa majibu yako fuata kesho, usiku unafia guest.
Nikushukuru kwa mchango wako, hakuna mtu wa safari hii mwenye jibu la taharuki hii hata hatujui kwamba Barakoa ndo kinga au la, tunabahatisha. ulimwengu unajaribu kubuni kila linaloweza kuonyesha manufaa, ndo maana Watz tukaweka matumaini kwa huyo anayejua yote yaani Mungu. Kwa hill nampa JPM PHD nyingine ni Rais pekee duniani aliyeliongoza Taifa lake kumlilia Mungu pale ambapo dunia ilikubwa na plague hill tu linatosha, Mungu siyo lazima ajibu leo lakini tunaamini atajibu. So mkakati mkubwa ni kumlilia Mungu muumba Dunia na vyote, kama huamini utaona ni upuuzi lakini hata sasa ametusaidia.
 
Back
Top Bottom