Rais Magufuli: Watu tusitishane, Mpaka sasa Corona haijaua mtu Tanzania

Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease
P
Kaka soma hapa tovuti ya serikali ya Singapore inayoweka taharifa za COVID-19.
Kuna watu wameshapata huu ugonjwa bila kutoka nje au kuhusianishwa moja kwa moja na watu waliotoka nje kwanye nchi zenye huu ugonjwa.
Coronavirus disease 2019: Cases in Singapore

Singapore na Tanzania hasa Dar es Salaam tunafanana hali ya hewa ya joto, wenzetu wanatushinda usafi kwa mbali sana.
Singapore unaweza kupewa dau la $500 ukamtafute nzi na ukazikosa hizo pesa, usimuone hata mmoja pale mji mkuu wao.
 
Anaebaki kuheshimu mawazo ya huyo pimbi alienunhliwa na vipande thelathini yafedha ndio namshangaa.Toka magufuli amwambie mayala ki kwetu ni njaa,alaf akaitwa kuonywa Bungeni akapewa na vipande thelathini za fedha kawa mjinga kuzidi spidi ya korona.
'Hakuna mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini'

Kaka huwa naheshimu sana mawazo yako na hoja zako ila hapa unanena uongo. Kuna mengine huwenda hujajua au unajua ila unaamua kwenda kushoto badala ya kulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaebaki kuheshimu mawazo ya huyo pimbi alienunhliwa na vipande thelathini yafedha ndio namshangaa.Toka magufuli amwambie mayala ki kwetu ni njaa,alaf akaitwa kuonywa Bungeni akapewa na vipande thelathini za fedha kawa mjinga kuzidi spidi ya korona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anadai hakuna mgonjwa aliyeambukizwa Corona akiwa hapa nchini. Nimempuuza sana.

Asubuhi ya leo napigiwa simu na rafiki yangu akiwa Dar hospitali na yeye mwenyewe anashuhudia kwa kinywa chake amekutwa na Corona halafu huyu Mayala anadai hakuna mtu aliyeambukizwa.
 
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease
P

Yaweza kuwa kweli.Ila Tahadhali ni muhimu sana zaidi ya kujigamba na kuongea kwa Hekima.Huu Ugonjwa vyovyote ulivyo nina hakika hili pigo lingekuwa kama ilivyokuwa kwa Nchi nyinge.Tusingekuwa na muda hata wa sekunde kuandika madudu na kuongea madudu.

Kigezo cha kuwa tuko ndani ya zone ya Tropical Diseases si sababu ya sisi kuacha kuogopa na kujilinda na hayo madhara yatokanayo na Ugonjwa huo.

Wenzetu wanatupa tahadhari sisi tunaleta utani utani na kutafuta sifa.

Hao si wajinga kutupa masomo na vielelezo namna na hatari za magonjwa hayo.Wanafahamu upupu wetu wa akili...wasingeshindwa kukaa kimya kuhusu hizi habari.Ila sisi tunaambiwa unaona kila mtu mjuaji.

Vyovyote tunavyoongea tuwe na Akili na ufahamu wa kujikinga.Iwe kwa kutishana au kusiko kutishana.
 
Jamaa anadai hakuna mgonjwa aliyeambukizwa Corona akiwa hapa nchini. Nimempuuza sana.

Asubuhi ya leo napigiwa simu na rafiki yangu akiwa Dar hospitali na yeye mwenyewe anashuhudia kwa kinywa chake amekutwa na Corona halafu huyu Mayala anadai hakuna mtu aliyeambukizwa.
Ni wengi tu ila serikali yetu haitatangaza, sisi kwetu afya za watu watu tunazifanyia masihara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali so far, bado hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease
P
Paschal,fanya tafiti kabla hujaandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania hii corona msiikuze sanaaa..
Na tuache kupeana hofu.
Ni kweli inaua ila kwa hapa Tanzania na Africa kwa ujumla sio tishio sanaa.
kwa kuwa tuendelee kuwa na amani.
Tusijipe presha ambayo haipo..


Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona juzi WHO imerudia kutoa onyo kali kwa nchi za Africa kuchukuwa taadhari kubwa sana,hasa kutokana na kutokuwa na uwezo wa kupambana na mdudu huyo?
Na imetenga 1 billion usd kwa nchi maskini kupambana na Covid-19.
Je WHO ni mwongo?
 
Tuliambiwa tuepuke mikusanyiko lakini leo tunaonekana waoga,dunia ni kijiji yanayowapata wenzetu tunayaona na si kuyasikia tu,tusipochukua tahadhari eti tutaonekana waoga tutavuna tunachokipanda.
 
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali so far, bado hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease
P
Hawa 12 wote walitoja nje?
 
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali so far, bado hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease
P
Kaka umemsikia Mkuu wa nchi alivyo elezea mchanganuo wa wagonjwa wale 12 wa COVID-19?
Kama nimemsikiliza sawa sawa kuna ambae hakutoka nje kapatia hapa hapa Tanzania.

Kingine toka wagonjwa 6 hadi 12, ni wajibu wetu kuwatuliza watu kusitokee taharuki ikaleta hali mbaya zaidi ya kiuchumi na kimaisha.
Nimefurahishwa hatua mpya zilizotangazwa na Mh. Raisi ingawa mimi kama binadamu bado kwenye nyumba za ibada na mambo ya mazishi naona tunahitaji muongozo mpya toka serikalini, ukiona taarifa ya makasisi (mapadre) 30 nchini Italia wamepoteza maisha.
Hawa si ndio wanashinda majumba ya Mungu na kuhudumia watu kiroho waingie mbinguni au wasipatwe na majanga?
 
Corona ina siku ngapi hapa Tanzania?
kuna wagonjwa wangapi hapa Tanzania?.
Unajua Italian wanakufa watu wangapi kwa siku sababu ya CORONA?
Kwa wiki hii moja kama ingekuwa na athari kubwa.
Basi ujue tungekuwa na wagonjwa zaidi ya 50.
alafu mzungu SIO MUNGU..SIO KILA ANALOSEMA TUMKUBALIE.
Mbona juzi WHO imerudia kutoa onyo kali kwa nchi za Africa kuchukuwa taadhari kubwa sana,hasa kutokana na kutokuwa na uwezo wa kupambana na mdudu huyo?
Na imetenga 1 billion usd kwa nchi maskini kupambana na Covid-19.
Je WHO ni mwongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona ina siku ngapi hapa Tanzania?
kuna wagonjwa wangapi hapa Tanzania?.
Unajua Italian wanakufa watu wangapi kwa siku sababu ya CORONA?
Kwa wiki hii moja kama ingekuwa na athari kubwa.
Basi ujue tungekuwa na wagonjwa zaidi ya 50.
alafu mzungu SIO MUNGU..SIO KILA ANALOSEMA TUMKUBALIE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Italy walichukulia poa mkuu...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona ina siku ngapi hapa Tanzania?
kuna wagonjwa wangapi hapa Tanzania?.
Unajua Italian wanakufa watu wangapi kwa siku sababu ya CORONA?
Kwa wiki hii moja kama ingekuwa na athari kubwa.
Basi ujue tungekuwa na wagonjwa zaidi ya 50.
alafu mzungu SIO MUNGU..SIO KILA ANALOSEMA TUMKUBALIE.

Sent using Jamii Forums mobile app
WHO sio mzungu ni World Health Organization, taasisi ya Ummoja wa mataifa UN
 
Back
Top Bottom