MKUU HII ni impact ya kuzuia kitu flani bila mipango yakinifu....Namshangaa kukataza sukari za nje wakati ya ndan inapanda bei kila siku. Wakati za nje zikiingia ya ndani ilikuwa chini baada ya kukataza naona imepanda zaidi ya elf kumi sasa tunazidi kuumia
mkuu usitegee points kutoka kwa vijana wa CCM zaidi ya mihemko na kashfa na vitisho....Inaudhi jamaa hataki kumsifia Magufuli wakati sasa hivi ni fashion kumsifia. Ukiachia jazba uliyoionyesha na kutumia utetezi dhaifu wa ubaguzi wa kikanda ulipaswa kuonyesha kama kweli, bei za vyakula, vifaa vya ujenzi na gharama nyingine za maisha zimeshuka kulingana na huo utumbuaji majipu? Hii tabia ya kusifia kuadhibu bila kuona impact kwenye maisha halisi ya mwananchi ni utoto uliopita kipimo. Tunachokiona ni vitisho kwa watumishi wa umma na ahadi kibao kama tulivyozoea.
mkuu inakatisha tamaa sanaaaMimi ni mmojawapo simuelwi na simkubali kabisa, ukijumlishan na teuzi kama za watu kama Muhongo ,Znzibar case nk
Wananchi wa kawaida hawaamini kinachoendelea. Wanashuhudia tu fukuzafukuza ya watendaji Serikalini pamoja na mikwara iliyokwenda Shule. Wanamshuhudia Rais,Makamu, Waziri Mkuu,Mawaziri na watendaji wengine wakiendelea kutema mikwara kwa wa chini yao pamoja na kumwaga ahadi kana kwamba uchaguzi bado.
Wananchi wa kawaida wanamshuhudia Rais na serikali yake wakiizungumzia na kuiimarisha Dar es Salaam kana kwamba Tanzania ni Dar pekee. Wananchi wa kawaida wanamshuhudia Rais akitumbua majipu halafu hakuna impact ya moja kwa moja katika maisha yao.
Bei za vyakula zimepanda. Bei za vifaa vya ujenzi zinazidi kupaa. Bei ya hata maji safi inapaa kila uchao. Makazi yao duni. Matibabu yao duni. Lishe hafifu. Hawakuelewi. Hawaioni thamani ya kutumbua majipu. Wananchi wa kawaida,walio wengi mijini na vijijini wanahitaji maisha yao yabadikike hata kidogo. Kuwe na direct impact ya kutumbua majipu kwenye maisha ya watanzania!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kwa uandishi huu,fikra hizi,mbinu hizi za siasa za fisi kuvizia mkono uanguke ni dalili za kukosa dira,ila hili bomu la fikra potofu litaitafuna chadema kama siasa za mtandao zilivyoitesa ccm...hakika mkigundua project ya EL ndani ya chadema ninavyowajuwa bavicha mtakula nyama DJ...nakusikitikia nawewe umekuwa msukule!...naweka akiba ya maneno.
Mkuu ntoa mada ni CCM yuko Lumumba unamhusisha vipi na CHADEMA au Bavicha?Kwa uandishi huu,fikra hizi,mbinu hizi za siasa za fisi kuvizia mkono uanguke ni dalili za kukosa dira,ila hili bomu la fikra potofu litaitafuna chadema kama siasa za mtandao zilivyoitesa ccm...hakika mkigundua project ya EL ndani ya chadema ninavyowajuwa bavicha mtakula nyama DJ...nakusikitikia nawewe umekuwa msukule!...naweka akiba ya maneno.
manufaa binafsi yakisiasa yanaitikisa nchi yetu, ni haki kwa watanzania kuhoji hatima yao ila kwa mwendo wa raisi unaleta matumain makubwa sio kidogo so maon yangu tuache siasa mda huu ila tuongee au mda mnaotumia kupiga kelele hizo tutumie kupiga kelele nn kifanyike ila kujinasua kwenye umasikin au sio ndugu yanguWakati ufike siasa tuziweke pembeni tuweke uhalisia. unaposema bei zinazidi kupaa kila kukicha tuwekee na mifano. mie nina mfano wa bei ya Mafuta, alipoingia Magufuli madarakani nilikua nanunua petroli lita 1 kwa sh 2194 kwa sasa nanunua petroli lita moja kwa sh 1920
Ninyi ni vibaraka tu,,,,, ulitegemea Magu afanyaje kwa mfano ili useme anafanya vema?Inaudhi jamaa hataki kumsifia Magufuli wakati sasa hivi ni fashion kumsifia. Ukiachia jazba uliyoionyesha na kutumia utetezi dhaifu wa ubaguzi wa kikanda ulipaswa kuonyesha kama kweli, bei za vyakula, vifaa vya ujenzi na gharama nyingine za maisha zimeshuka kulingana na huo utumbuaji majipu? Hii tabia ya kusifia kuadhibu bila kuona impact kwenye maisha halisi ya mwananchi ni utoto uliopita kipimo. Tunachokiona ni vitisho kwa watumishi wa umma na ahadi kibao kama tulivyozoea.
Wew ndie mpumbavu namba moja kwamba mpaka sasa hivi bado unazumgusha....mabadiliko ni hayo anayofanua magufuli mzee acha kuwa mtumwa wa kisiasaFicha upumbavu wako, kwani huo utumbuaji umeleta impact gani kwenye maisha ya wananchi zaidi ya kuuza sura tu kwenye media!!! Badala ya kujibu hoja unamshambulia mtoa mada wakati anaongelea hali halisi ya maisha ya wananchi. Hayo maigizo hayawasaidii wananchi. Wajipange kimikakati, sio kufanya mambo kwa kutaka sifa ili waonekane wanachapa kazi lakini hakuna matokeo chanya.
Wakati ufike siasa tuziweke pembeni tuweke uhalisia. unaposema bei zinazidi kupaa kila kukicha tuwekee na mifano. mie nina mfano wa bei ya Mafuta, alipoingia Magufuli madarakani nilikua nanunua petroli lita 1 kwa sh 2194 kwa sasa nanunua petroli lita moja kwa sh 1920
ujinga ni kuamini kuwa ndani ya siku 100 baada ya uchaguzi kila kitu kitakuwa poa...ujinga ni kuamini kuwa ndani ya muda huo impact ya kusimamia mapato na matumizi itapunguza mfumuko wa bei na ujinga mbaya zaidi ni kuamini kuwa porojo zenu hizi zinaweza kumzuia jamaa aache kuwatumbua!!!!!tunajua kuwa nyie ni mamluki wa wahujumu uchumi ambao wanahaha kila kona na kwa mbinu mbalimbali kuionyesha/kuiaminisha jamii kuwa anachofanya JPM si sahihi.hii sio short term project....tuonane 2020.Ficha upumbavu wako, kwani huo utumbuaji umeleta impact gani kwenye maisha ya wananchi zaidi ya kuuza sura tu kwenye media!!! Badala ya kujibu hoja unamshambulia mtoa mada wakati anaongelea hali halisi ya maisha ya wananchi. Hayo maigizo hayawasaidii wananchi. Wajipange kimikakati, sio kufanya mambo kwa kutaka sifa ili waonekane wanachapa kazi lakini hakuna matokeo chanya.
Mkuu uko wapi na una shughuli gani waje wakutumbue ili ukome kuuliza maswali?Wananchi wa kawaida hawaamini kinachoendelea. Wanashuhudia tu fukuzafukuza ya watendaji Serikalini pamoja na mikwara iliyokwenda Shule. Wanamshuhudia Rais,Makamu, Waziri Mkuu,Mawaziri na watendaji wengine wakiendelea kutema mikwara kwa wa chini yao pamoja na kumwaga ahadi kana kwamba uchaguzi bado.
Wananchi wa kawaida wanamshuhudia Rais na serikali yake wakiizungumzia na kuiimarisha Dar es Salaam kana kwamba Tanzania ni Dar pekee. Wananchi wa kawaida wanamshuhudia Rais akitumbua majipu halafu hakuna impact ya moja kwa moja katika maisha yao.
Bei za vyakula zimepanda. Bei za vifaa vya ujenzi zinazidi kupaa. Bei ya hata maji safi inapaa kila uchao. Makazi yao duni. Matibabu yao duni. Lishe hafifu. Hawakuelewi. Hawaioni thamani ya kutumbua majipu. Wananchi wa kawaida,walio wengi mijini na vijijini wanahitaji maisha yao yabadikike hata kidogo. Kuwe na direct impact ya kutumbua majipu kwenye maisha ya watanzania!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Ficha ujinga wako wewe......So akimfukuza Mkurugenzi wa Hospitali basi Chakula kishuke bei,tumeeni akili mnataka direct impact gani nyinyi.....Faida ya haya majibu yanayo tumbuliwa utaiona baadae!Inaudhi jamaa hataki kumsifia Magufuli wakati sasa hivi ni fashion kumsifia. Ukiachia jazba uliyoionyesha na kutumia utetezi dhaifu wa ubaguzi wa kikanda ulipaswa kuonyesha kama kweli, bei za vyakula, vifaa vya ujenzi na gharama nyingine za maisha zimeshuka kulingana na huo utumbuaji majipu? Hii tabia ya kusifia kuadhibu bila kuona impact kwenye maisha halisi ya mwananchi ni utoto uliopita kipimo. Tunachokiona ni vitisho kwa watumishi wa umma na ahadi kibao kama tulivyozoea.
Mkuu tatizo wanaona kila analofanya liko sawa hawataki akoselewe,huo ni udhaifu mkubwa sana.Sijui nani ampelekee salam, amwambie sisi hatumwelewi kabisaa, maisha magumu kodi kubwaa, yaani shida tupu, hayo majipu huku kwetu matombo hayana msaada kwetu, atoe hizo ela benk watu tufanye biashara