Hata isue ya makontena bandarini viongozi walikuwepo pia!!;xo usishangae!!Nakwambia katika nchi za ajabu moja ni hii,kwani utawala uliopita ulikuwa haujui hawa watoto ni faliure??kama kweli mnataka kuondoa taifa la vilaza kwanini wasije na maboresho ambayo hayata athiri mpango ulio kuwepo,sidhani kama watangulizi walikuwa wana niambaya kiasi hicho japo kunamapungufu katika mkakati wao
Hakika. Anawanyoosha sana. Sijui wale vilaza watasemaje tena
Isue ya sukar imeisha mmekuja na udom!!;waiter leta serengeti bariiidii!!;sijui baada ya movie hii itakuja ipi!!?Vilaza utawajua tu
tukianza kuwa categorise watu wetu kama vilaza au si vilaza haifai maana hata wazee wetu kule kijiini tutawita vilaza.Mkuu, ahsante sana kwa hii video. Kuna kipande pia Rais ameongea kuwa kuna wanasiasa walipinga kufukuzwa kwa vilaza kwa sababu na wao ni vilaza. Hapo naona umepapotezea sijui kwa sababu gani
Ndugu yangu nimeifuatilia Hotba ilyowekwa humu. Pale 1.8 hadi 1.26: Raisi kasema: Mie namsifia Purofesa Mkumbo wa ICT (pamoja na kuwa mimi (yaani Mhe Rais) ni wa CCM, Kwa sababu alitoa mwongozo..... Na hapa nimeona vema. Nimeona kamera ilihamia kwa Mkumbo Kitila. Ana miwani na amenyoa upara....Ndiye! Je, huyu siku hizi ni wa ICT....ama Mheshimiwa alikuwa anamaanisha wa ACT..?Jaribu kufuatilia tena. Kama umesikia basi umesikia vibaya sana tena sana. Tuliza kichwa
Mkuu Shemeji yako alikua pale...si unajua walikua wanapata boom asilimia mia..umeridhika?,jifunze uungwana ukiwaunawajibu wakubwa wenzio.Tulia wewe!!...una mtoto kihiyo nini
Waliowadahili c ndo walotumbuliwa sasa unauliza nn!!?;acha kashfa wewe!!;hii nchi ilioza!!Mimi naeleza fact tu wewe ninakupuuza. Unachokifanya ni ushabiki wa kijinga tu. Mfumo wa nchi umeoza we idiot tambua hilo. Jiulize hapo UDOM nani aliwaleta hao wanafunzi? Unajua alichoongea Waziri wa elimu kuhusu wanafunzi hao bungeni? Na anachoongea Rais sasa umewianisha? Tumia akili we mjinga. Mjinga ni sifa yako.
Mkumbo ni huyo huyo. Na si kweli ICT. Kwanza hakuna chama kilichosajiliwa kwa jina hilo. Tulikuwepo hapo kiwanjani. ACT mkuu.Ndugu yangu nimeifuatilia Hotba ilyowekwa humu. Pale 1.8 hadi 1.26: Raisi kasema: Mie namsifia Purofesa Mkumbo wa ICT (pamoja na kuwa mimi (yaani Mhe Rais) ni wa CCM, Kwa sababu alitoa mwongozo..... Na hapa nimeona vema. Nimeona kamera ilihamia kwa Mkumbo Kitila. Ana miwani na amenyoa upara....Ndiye! Je, huyu siku hizi ni wa ICT....ama Mheshimiwa alikuwa anamaanisha wa ACT..?
Anazidiwa na mtoto wa darasa la nneSasa mbona Magu hataki kusema ukweli kuwa yeye ni phd's holder ambae lugha aliyojifunzia miaka yote hiyo haipandi?