Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Ameandika swahiba #Dk_Levy
Kama anafanya kazi vizuri. Kama anajenga miundo mbinu, kaleta nidhamu ya kazi serikalini. Kama amedhibiti mafisadi na kubana matumizi ya hovyo. Kama anakusanya mapato vizuri na kugawa keki ya taifa kwa usawa. Kama ujenzi wa kiwanja cha ndege Chato na mbuga ya Burigi, ni jambo la faida kwa taifa. Kama kweli anatoa elimu bure na huduma za afya hivi sasa ziko sawa. Hofu kwa wapinzani inatoka wapi?
Kama kweli CCM ya sasa ni mpya. Kama kweli kadhibiti mapato na mali za chama. Na kama kweli CCM wote wanamuunga mkono.
Huyo Membe akitaka kuomba ridhaa ya kugombea 2020 kupitia CCM. Nani atampa kura kama CCM ya sasa yote ni mpya?
Hofu ya Membe inatokea wapi?
#UtawalaWaMazingaombwe
Kama anafanya kazi vizuri. Kama anajenga miundo mbinu, kaleta nidhamu ya kazi serikalini. Kama amedhibiti mafisadi na kubana matumizi ya hovyo. Kama anakusanya mapato vizuri na kugawa keki ya taifa kwa usawa. Kama ujenzi wa kiwanja cha ndege Chato na mbuga ya Burigi, ni jambo la faida kwa taifa. Kama kweli anatoa elimu bure na huduma za afya hivi sasa ziko sawa. Hofu kwa wapinzani inatoka wapi?
Kama kweli CCM ya sasa ni mpya. Kama kweli kadhibiti mapato na mali za chama. Na kama kweli CCM wote wanamuunga mkono.
Huyo Membe akitaka kuomba ridhaa ya kugombea 2020 kupitia CCM. Nani atampa kura kama CCM ya sasa yote ni mpya?
Hofu ya Membe inatokea wapi?
#UtawalaWaMazingaombwe