Comment kama hzi ndo zinahitajika kwa serikali ya sasa.Wewe utakuwa mpiga dili au CDM mawakala wa mabeberu nyie, mnataka kuichonganisha Serikali na Wananchi..Watu kama nyie ndio mnamkatisha tamaa Rais wetu kipenzi..
Awamu ya tano chini ya Jemedari Dr JPM haiwezi kuwa na uzembe wa hivyo, nidhamu kwa sasa imerudi makazini, watu wanawahi makazini na wanapiga kazi kama mchwa, heko awamu ya tano, heko Rais wetu kipenzi Dr JPM..
Hata wewe!
Hujitambui kiasi hiki?
Mimi nilichukua majeruhi eneo la ajali, jambo la kwanza nilipiga simu polisi kuwa naleta majeruhi waandae pf3, nilipofika niliwapelekesha na dk 3 maelezo tayari nikaelekea hosp ya Mount Meru.
Sikuamini macho yangu
Wauguzi na madaktari
Hawajali, naomba kitanda cha kubebea mgonjwa hakuna anayejigusa.
Nilipiga kelele vibaya mno wakatawanyika
Kutafta kitanda cha kubebea, ghafla kila mmoja aksja na kitanda chake.
Baada ya majeruhi kuingizwa akawa anaangaliwa tu hakuna huduma za dharura hadi nilipie.
Nikaenda kufuata taratibu zote na kulipa.
Akapewa kitanda lkn hakuna cha huduma.
Niliingia kwa daktari kwa mkwara mzito...yaani ghafla walijaa kumshughulikia majeruhi...waliniogopa balaa..
Wakawa wanasema huyu ni polisi na kila mtu akawa ananihofu lkn nilifurahi majeruhi alihudumiwa na baada ya siku 3 akaruhusiwa.
Tuwandekeza sana hawa...
Hivi ulinyamaza je mnawekwa bila huduma na mijitu inacheza cheza hapo?
Ungemkaba mmoja na kumtishia kumpiga na wananchi wangekusapoti.
Sent using Jamii Forums mobile app
..exactly.
..hakuna kitu kimewaumiza ccm kama kupona kwa Tundu Lissu.
Ukiwa mjeshi tu,wewe ni zaidi ya raia,una vitu vya hali ya juu,ndiyomaana JPM anawafanyia chochote aonacho kitawafurahisha.shida ni kujaza WANAJESHI MADAKTARI hapo ndio sababu ya yote haya! JPM hajui kuwa hao ni wavivu wa kazi magwanda tu yanawasitiri! afanye utafit atajua
..ila kuna waTz wana roho mbaya.
..yaani wanakaa vikao kabisa na kupanga mauaji ya namna ile kisa siasa!?
..na juu yake wanamnyima matibabu.
Nadhani kwa sasa matibabu ndo yanatanhulia then PF3.
Sasa Mnyika unataka afanye nini mbona unajitoa ufahamu sana wewe?Nikisema mnyika amelitelekeza jimbo la kibamba amejipa ubunge wa taifa kama zzk mbunge wa kigoma mjini yupo mabibo sokoni,kkoo,temeke na mbagala anakusanya kero za wafanyabiashara wakati ujiji masoko kibao na hawajawahi kumuona
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
shida ni kwamba hawako serious na wagonjwa wetu pale mloganzila! pamekuwa machinjioniUkiwa mjeshi tu,wewe ni zaidi ya raia,una vitu vya hali ya juu,ndiyomaana JPM anawafanyia chochote aonacho kitawafurahisha.
Na bado na yeye pia, akiumwa atapelekwa hapo hapo. Sisemi hata yeye atorudi mzima kama ndugu yake, hapana, hiyo ni mipango ya Mungu. Atapelekwa pale pale ili apatiwe huduma dhaifu ajifunze zaidi.Huna lolote umejaza tope tu, hapa umeumizwa na kifo cha nduguyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio Earthmover..exactly.
..hakuna kitu kimewaumiza ccm kama kupona kwa Tundu Lissu.
Form four alipata division 5 au 4 ?..halafu NDUGAI alikuwa anasisitiza LISSU atibiwe hapa nchini.
..nakwambia yule angekufa kwa tatizo dogo sana na siyo majeraha aliyoyapata.
..kati ya maamuzi ya busara kabisa ya Mh.Mbowe, pamoja na zero aliyopata form 6, ni kumuwahisha Lissu Nairobi.
..MUNGU pia ambariki Dr.Mpoki aliyesisitiza kuwa Lissu apelekwe Nairobi na siyo Muhimbili.
Cc tindo
Form four alipata division 5 au 4 ?